Chadema dogmatism and it's rise...!

the horse

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
652
441
Bahati mbaya ya walio wengi wanajadili siasa bila kuwa na ufahamu wa siasa, na hivyo kubaki wakikubali matokeo ya mambo ya kisiasa na kujaribu kupinga yale mambo yaletayo matokezeo hayo; nitajaribu kuandika kwa ufupi sana ili niweze kueleweka;
1; migongano ya mawazo na mikwaruzano katika chama chochote cha siasa ndio kujizatiti kwake, kwani siasa siku zote haitaki wala haihusudu sera ama falsafa ya "dogmatism" kuwa mmoja akisema basi neno lake halibadilishwi wala halipingwi.,kutohoji mambo katika chama hakuwapi watu nafasi ya kujisikia kuwa wao wanamiliki chama kama wanachama na kujaribu kuendesha chama cha siasa kama kanisa kuwa msemaji ni "padri" pekee na wengine hawana ruhusa ya kuhoji basi ni "kukiua" chama hiko. Upevuko wa kisiasa na kuimarika ni kukubali kuishi katika malumbano ya hoja ambayo hayaharibu lengo la chama cha siasa husika-fahamu kuwa lengo la chama cha siasa ni kushika dola na kutawala.,hivyo mifarakano na majibizano katika kufikia lengo hili ni kitu kisichozuilika kulingana na experience, uwezo wa kutafakari, elimu na mazingira na wakati wa kutumia wazo fulani. Nasema haya kwa kuwa hivi sasa kuna mtazamo katika chama changu kuwa mtu yeyota ambae anamawazo tofauti ama fikra yeyote inayopingana na mwenyekiti ama "wenye chama'' KAULI ama wazo hilo si la sawasawa na hivyo litapingwa wazo hilo lakini mbaya zaidi kupingwa mtuo wazo hilo.,nasema haya kwa kuwa yaminifika binafsi, na pia bado mifano hallsi na ya wazi ipo kwa watu ambao ni prominent katika chama lakini wanafanyiwa fitna na majungu kwa kuwa wanamawazo tofauti juu ya uendeshaji na usimamiaji wa shughuli za kichama.
2; Historia ya vyama vya siasa duniani na hata hapa nchini kwetu imeprove notion kuwa malumbano na mitazamo tofauti inakuza na kuimarisha chama, nitakumbuka John Adams alivyotofautiana na wanachama wenzake kuhusu mamlaka ya bunge na hata baadae kuhusu quasi-war na hata mwanawe John Quincy Adams akiwa kama ex-president aliwahi kusimama mahakamani kama mwanasheria akitetea kuachwa huru kwa watumwa na kufutwa kwa biashara hiyo hali ya kuwa chama chake na Rais wa wakati huo Andrew Jackson..,ukiachana na historia katika siasa za kimataifa, bado hapa nchini kwetu watu walitofautiana ndani ya vyama tangu wakati tanu haiko madarakani "akina sykes na kitwana" lakini hata baada ya kupata dola bado mifarakano ilikuwepo baina ya nyerere na wadau wengine kwenye chama watu wakawekwa vizuizini wengine in partition bado hata akina kawawa waliwahi kurushiana ngumi baada ya mgongano na akina oscar ndani ya mikutano ya chama na hili halikuwafanya kutomiliki na kutawala dola sawasawa.
3; Leo zipo hisia na mitazamo kuwa malumbano ya hoja na mivutano ndani ya chama ni kitu hatari kwa maendeleo ya chama na kushika hatamu, tupo tunaozuiliwa kusema kwa kuwa tuliwahi kusema kitu tofauti na mawazo ya wangine hapo nyuma, wapo tunaokaribia kutolewa ndani ya chama kwa kupinga baadhi ya mambo ambayo tunaamini kuwa hayapo sawa ndani ya CHADEMA na tulithibitisha na kutoa hoja za msingi juu ya misimamo na kupinga kwetu. Lakini nasema kuwa hili haliwezi kutufikisha katika malengo yetu makuu bali litatuvuruga.,haikuwahi kutokea mtu kuendesha kundi lolote la watu kwa mawazo yake tu " hata ikiwa kundi hilo ni familia yake ya yeye, mkewe na mtoto wao" vipi kwa chama cha siasa.??? Sisemi kuwa mimi binafsi nahitaji kubaki mwanachama na kiongozi wa chama lakini pia nakiri na naweza kuthibitisha kuwa TUNAWAHITAJI PIA MHESHIMIWA ZITTO NA SHIBUDA hata wakiwa na mitazamo inayopingana na msimamo fulani wa chama.
4; Kama migongano na mivutano ya kimawazo katika chama ingelikuwa ni hatari kwa chama, yanayoendelea ccm yalitosha kukiondolea nguvu ya moja kwa moja ya chama hiko lakini tumeshuhudia kuwa bado hayajakishusha chama hiko kisiasa,.tumeshuhudia matokea ya ubunge hivi karibuni na matokea ya chaguzi ndogo za madiwani jinsi ccm ilivyoweza kujishindia viti vingi.,ni kuonyesha kuwa mifarakano ndani ya chama hakiharibu lengo kuu la kushika dola.. TUSOMA, TUJIFUNZE NA TUKOMAE KISIASA.,HAKIKA TU WACHANGA SANA KATIKA HILI.
 
Bahati mbaya ya walio wengi wanajadili siasa bila kuwa na ufahamu wa siasa, na hivyo kubaki wakikubali matokeo ya mambo ya kisiasa na kujaribu kupinga yale mambo yaletayo matokezeo hayo; nitajaribu kuandika kwa ufupi sana ili niweze kueleweka;
1; migongano ya mawazo na mikwaruzano katika chama chochote cha siasa ndio kujizatiti kwake, kwani siasa siku zote haitaki wala haihusudu sera ama falsafa ya "dogmatism" kuwa mmoja akisema basi neno lake halibadilishwi wala halipingwi.,kutohoji mambo katika chama hakuwapi watu nafasi ya kujisikia kuwa wao wanamiliki chama kama wanachama na kujaribu kuendesha chama cha siasa kama kanisa kuwa msemaji ni "padri" pekee na wengine hawana ruhusa ya kuhoji basi ni "kukiua" chama hiko. Upevuko wa kisiasa na kuimarika ni kukubali kuishi katika malumbano ya hoja ambayo hayaharibu lengo la chama cha siasa husika-fahamu kuwa lengo la chama cha siasa ni kushika dola na kutawala.,hivyo mifarakano na majibizano katika kufikia lengo hili ni kitu kisichozuilika kulingana na experience, uwezo wa kutafakari, elimu na mazingira na wakati wa kutumia wazo fulani. Nasema haya kwa kuwa hivi sasa kuna mtazamo katika chama changu kuwa mtu yeyota ambae anamawazo tofauti ama fikra yeyote inayopingana na mwenyekiti ama "wenye chama'' KAULI ama wazo hilo si la sawasawa na hivyo litapingwa wazo hilo lakini mbaya zaidi kupingwa mtuo wazo hilo.,nasema haya kwa kuwa yaminifika binafsi, na pia bado mifano hallsi na ya wazi ipo kwa watu ambao ni prominent katika chama lakini wanafanyiwa fitna na majungu kwa kuwa wanamawazo tofauti juu ya uendeshaji na usimamiaji wa shughuli za kichama.
2; Historia ya vyama vya siasa duniani na hata hapa nchini kwetu imeprove notion kuwa malumbano na mitazamo tofauti inakuza na kuimarisha chama, nitakumbuka John Adams alivyotofautiana na wanachama wenzake kuhusu mamlaka ya bunge na hata baadae kuhusu quasi-war na hata mwanawe John Quincy Adams akiwa kama ex-president aliwahi kusimama mahakamani kama mwanasheria akitetea kuachwa huru kwa watumwa na kufutwa kwa biashara hiyo hali ya kuwa chama chake na Rais wa wakati huo Andrew Jackson..,ukiachana na historia katika siasa za kimataifa, bado hapa nchini kwetu watu walitofautiana ndani ya vyama tangu wakati tanu haiko madarakani "akina sykes na kitwana" lakini hata baada ya kupata dola bado mifarakano ilikuwepo baina ya nyerere na wadau wengine kwenye chama watu wakawekwa vizuizini wengine in partition bado hata akina kawawa waliwahi kurushiana ngumi baada ya mgongano na akina oscar ndani ya mikutano ya chama na hili halikuwafanya kutomiliki na kutawala dola sawasawa.
3; Leo zipo hisia na mitazamo kuwa malumbano ya hoja na mivutano ndani ya chama ni kitu hatari kwa maendeleo ya chama na kushika hatamu, tupo tunaozuiliwa kusema kwa kuwa tuliwahi kusema kitu tofauti na mawazo ya wangine hapo nyuma, wapo tunaokaribia kutolewa ndani ya chama kwa kupinga baadhi ya mambo ambayo tunaamini kuwa hayapo sawa ndani ya CHADEMA na tulithibitisha na kutoa hoja za msingi juu ya misimamo na kupinga kwetu. Lakini nasema kuwa hili haliwezi kutufikisha katika malengo yetu makuu bali litatuvuruga.,haikuwahi kutokea mtu kuendesha kundi lolote la watu kwa mawazo yake tu " hata ikiwa kundi hilo ni familia yake ya yeye, mkewe na mtoto wao" vipi kwa chama cha siasa.??? Sisemi kuwa mimi binafsi nahitaji kubaki mwanachama na kiongozi wa chama lakini pia nakiri na naweza kuthibitisha kuwa TUNAWAHITAJI PIA MHESHIMIWA ZITTO NA SHIBUDA hata wakiwa na mitazamo inayopingana na msimamo fulani wa chama.
4; Kama migongano na mivutano ya kimawazo katika chama ingelikuwa ni hatari kwa chama, yanayoendelea ccm yalitosha kukiondolea nguvu ya moja kwa moja ya chama hiko lakini tumeshuhudia kuwa bado hayajakishusha chama hiko kisiasa,.tumeshuhudia matokea ya ubunge hivi karibuni na matokea ya chaguzi ndogo za madiwani jinsi ccm ilivyoweza kujishindia viti vingi.,ni kuonyesha kuwa mifarakano ndani ya chama hakiharibu lengo kuu la kushika dola.. TUSOMA, TUJIFUNZE NA TUKOMAE KISIASA.,HAKIKA TU WACHANGA SANA KATIKA HILI.

Umeingia na kasi sana .Una uchungu gani kaka .Una beef na mtu huko ndani ? Maana si kawaida mtu mgeni una anza kutokwa povu mapema hivi .Naachia wengine waseme .
 
Umeingia na kasi sana .Una uchungu gani kaka .Una beef na mtu huko ndani ? Maana si kawaida mtu mgeni una anza kutokwa povu mapema hivi .Naachia wengine waseme .

Huyo siyo mgeni, yumo humu muda mrefu tu.
 
kaka umetishiwa kunyang'anywa tonge nini..,ndo maisha ya siasa kaka..,umeingia kwenye siasa acha uishi kisiasa..,ila pole...!
 
Bahati mbaya ya walio wengi wanajadili siasa bila kuwa na ufahamu wa siasa, na hivyo kubaki wakikubali matokeo ya mambo ya kisiasa na kujaribu kupinga yale mambo yaletayo matokezeo hayo; nitajaribu kuandika kwa ufupi sana ili niweze kueleweka; 1; migongano ya mawazo na mikwaruzano katika chama chochote cha siasa ndio kujizatiti kwake, kwani siasa siku zote haitaki wala haihusudu sera ama falsafa ya "dogmatism" kuwa mmoja akisema basi neno lake halibadilishwi wala halipingwi.,kutohoji mambo katika chama hakuwapi watu nafasi ya kujisikia kuwa wao wanamiliki chama kama wanachama na kujaribu kuendesha chama cha siasa kama kanisa kuwa msemaji ni "padri" pekee na wengine hawana ruhusa ya kuhoji basi ni "kukiua" chama hiko. Upevuko wa kisiasa na kuimarika ni kukubali kuishi katika malumbano ya hoja ambayo hayaharibu lengo la chama cha siasa husika-fahamu kuwa lengo la chama cha siasa ni kushika dola na kutawala.,hivyo mifarakano na majibizano katika kufikia lengo hili ni kitu kisichozuilika kulingana na experience, uwezo wa kutafakari, elimu na mazingira na wakati wa kutumia wazo fulani. Nasema haya kwa kuwa hivi sasa kuna mtazamo katika chama changu kuwa mtu yeyota ambae anamawazo tofauti ama fikra yeyote inayopingana na mwenyekiti ama "wenye chama'' KAULI ama wazo hilo si la sawasawa na hivyo litapingwa wazo hilo lakini mbaya zaidi kupingwa mtuo wazo hilo.,nasema haya kwa kuwa yaminifika binafsi, na pia bado mifano hallsi na ya wazi ipo kwa watu ambao ni prominent katika chama lakini wanafanyiwa fitna na majungu kwa kuwa wanamawazo tofauti juu ya uendeshaji na usimamiaji wa shughuli za kichama. 2; Historia ya vyama vya siasa duniani na hata hapa nchini kwetu imeprove notion kuwa malumbano na mitazamo tofauti inakuza na kuimarisha chama, nitakumbuka John Adams alivyotofautiana na wanachama wenzake kuhusu mamlaka ya bunge na hata baadae kuhusu quasi-war na hata mwanawe John Quincy Adams akiwa kama ex-president aliwahi kusimama mahakamani kama mwanasheria akitetea kuachwa huru kwa watumwa na kufutwa kwa biashara hiyo hali ya kuwa chama chake na Rais wa wakati huo Andrew Jackson..,ukiachana na historia katika siasa za kimataifa, bado hapa nchini kwetu watu walitofautiana ndani ya vyama tangu wakati tanu haiko madarakani "akina sykes na kitwana" lakini hata baada ya kupata dola bado mifarakano ilikuwepo baina ya nyerere na wadau wengine kwenye chama watu wakawekwa vizuizini wengine in partition bado hata akina kawawa waliwahi kurushiana ngumi baada ya mgongano na akina oscar ndani ya mikutano ya chama na hili halikuwafanya kutomiliki na kutawala dola sawasawa.3; Leo zipo hisia na mitazamo kuwa malumbano ya hoja na mivutano ndani ya chama ni kitu hatari kwa maendeleo ya chama na kushika hatamu, tupo tunaozuiliwa kusema kwa kuwa tuliwahi kusema kitu tofauti na mawazo ya wangine hapo nyuma, wapo tunaokaribia kutolewa ndani ya chama kwa kupinga baadhi ya mambo ambayo tunaamini kuwa hayapo sawa ndani ya CHADEMA na tulithibitisha na kutoa hoja za msingi juu ya misimamo na kupinga kwetu. Lakini nasema kuwa hili haliwezi kutufikisha katika malengo yetu makuu bali litatuvuruga.,haikuwahi kutokea mtu kuendesha kundi lolote la watu kwa mawazo yake tu " hata ikiwa kundi hilo ni familia yake ya yeye, mkewe na mtoto wao" vipi kwa chama cha siasa.??? Sisemi kuwa mimi binafsi nahitaji kubaki mwanachama na kiongozi wa chama lakini pia nakiri na naweza kuthibitisha kuwa TUNAWAHITAJI PIA MHESHIMIWA ZITTO NA SHIBUDA hata wakiwa na mitazamo inayopingana na msimamo fulani wa chama.4; Kama migongano na mivutano ya kimawazo katika chama ingelikuwa ni hatari kwa chama, yanayoendelea ccm yalitosha kukiondolea nguvu ya moja kwa moja ya chama hiko lakini tumeshuhudia kuwa bado hayajakishusha chama hiko kisiasa,.tumeshuhudia matokea ya ubunge hivi karibuni na matokea ya chaguzi ndogo za madiwani jinsi ccm ilivyoweza kujishindia viti vingi.,ni kuonyesha kuwa mifarakano ndani ya chama hakiharibu lengo kuu la kushika dola.. TUSOMA, TUJIFUNZE NA TUKOMAE KISIASA.,HAKIKA TU WACHANGA SANA KATIKA HILI.
In your first phrase you get it wrong..,could you please provide any mathematical prove it...?
 
mbna bdo cjaelewa vizuri..always no reseach no right to speak...au umandazi unakusumbua..tupe mathematical proof
 
Wenzako wanajenga matofali wewe unakazania kumwagilia wakati sment haijakauka kwa nini wasikutoe baru?
Usilinganishe vyama ambavyo vimeshaota mizizi na vyama vinavyojijenga,
 
By ABDULWAKIL SAIBOKO, 18th October 2011 Daily News

THE World Bank has called for introduction of cash transfer to people as poverty is on rise among individuals in Tanzania despite general economic growth.

The WB's report issued on Tuesday with a title; 'Tanzania: Poverty, growth and public transfers' noted that
(1) poverty in the country was widely spread.

"The report
(2) proposes that for the country to have a sustainable economic development, two options should be enforced, one of which is cash transfer and another is public works", said the WB Lead Social Protection Specialist, Ms Anush Bezhanyan.

Ms Bezhanyan observed that
(3) cash transfer involves giving cash to individuals who are unable to work in which the government is supposed to dictate modalities of expenditure and make a follow-up to get feedbacks.

"The government can, for example, direct the beneficiaries of the cash transfer to use the monies in taking their children to school, and then a follow-up must be made to see whether the target has been achieved," she said.

On public works, Ms Bezhanyan said the government was required to
(4) allocate some public works in people's localities from where the poor would earn something in terms of cash.

Citing examples, she said Ethiopia was one of the African countries which could provide best practice on how the two modes could effectively transform lives of individuals, hence, lead to overall economical growth.

WB's Consultant, Mr Jim Smith said
(5) 83 per cent of the poor are in rural areas but there are many poor people in non-poor areas. "Targeting specific areas basing on geographical locations is not proper, the report shows that poverty in the country was evenly spread," he said.

The report also shows that
(6) over 6.4 million people live below the food poverty line, some (7) 10 million people are facing severe seasonal food insecurity and about (8) 12.7million people are below the basic needs line.

According to the report, the existing projects on poverty reduction have a limited coverage which is less than one per cent of the poor and
(9) there are inclusion and exclusion errors due to generalization approach.

It suggests that "the government should move towards a single national programme large enough to cover the country and big enough to make a difference".

The Tanzania Social Action Fund (TASAF) System Manager, Mr Ladislaus Mwamanga, said the fund has already started working on some of the WB report's recommendations.

"We have already started cash transfer as a pilot project in three districts whereby some
10 (Tsh 16,000/-) US dollars (What ?) are disbursed to every household per month," he said.

He said that the pilot project which began in 2008 covers Bagamoyo, Kibaha and Chamwino districts in Cost and Dodoma regions respectively.

"Already 200 households have benefited and the project has already received some 1.9 million USD from Japan Social Development Fund and 4.5 million USD from WB to support the project's implementation", he said.

MAMBO MAZITO YALIOIBULIWA NA WATAALAM WA BENKI YA DUNIA KUHUSU WA-TANZANIA TULIVYOCHAKAZWA NA UMASIKINI CHINI YA UONGOZI WA CCM NA UENDEKEZAJI YA UFISADI NA SOKO HOLELA NCHINI


tab-A1-01_zm.jpg


(1) poverty in the country was widely spread.

Benki ya Dunia imebaini kwamba umasiki sasa umesambaa kile pembe ya taifa letu kuliko wakati wowote katika historia ya Tanzania hivyo kuhimiza hatua kadhaa za dharura kuokoa meli ya 'MV Walazwahoi' nchini tuzame jumla.

Kwa maoni ya wataalam hawa wa Benki ya Dunia na uchambuzi makini wa mienendo ya uchumi wa nchi yetu, wao wanaona kwamba kama umasikini ungekua ni maji baharini basi tayari yameanza kupanda juu kidogo ya mustachi kuelekea kabisa puani.

(2) proposes that for the country to have a sustainable economic development

Pendekezo lao la jumla ni kwamba nchini Tanzania ni wakati mwafaka tukaanza kuzingatia misingi imara ya kujenga Uchumi wa nchi yetu wenye uwezo wa KUJINAWIRISHA YENYEWE bila kulazimika kubughudhi hasa mataifa ya Magharibi kila siku kuruka na mi-dege kwenda kutembeza bakuli.

Ndugu zangu unposemwa vibaya hivi, kwa mtu mstaarabu ni sharti ukakae chini na kujichunguza mwenye kwa kujiuliza maswali kibao juu ya hali hiyo huku ukitangulia na swali zito zaidi la 'KULIKONI'? Na mimi hapa najiuliza swali kwamba kulikoni Benki ya Dunia watuambie hivi?

Pengine ni kwamba mambo yenyewe yaliotufikisha hapo ni pamoja na haya haya mambo ya UFISADI ambayo ndio mpaka hivi sasa yametufanya tusitake kusikia hata baadhi ya majina ya wenzetu wakiwemo Edward Lowassa na Richmond, Chenge na Vijisenti, Mhajemi Rostam Aziz na Dowans na JK naye kauli ya kwamba hajui kwa nini tu masikini - mambo ambayo ni kwa kiasi kikubwa ni matokeo ya kuendeshwa kwa Uchumi unaofuata mfumo wa Soko Holela?


(3) cash transfer involves giving cash to individuals who are unable to work

Vile vile kumedhihirika kwa Benki ya Dunia kwamba kuna UKAPA mkubwa wa Umasikini wa kipato kiasi kwamba wamegundua wazi kwa Wa-Tanzania kibao tusiokua ama na ajira au uwezo wa kufanya kazi (sisi vijana wa vijiweni kila kona ya nchi, akina mama wanaokatiliwa na mfumo dume kutopata ajira, wato na wazee - mfano wastafu wa Afrika Mashariki - ambao kwa misingi tu wa umri wao hawawezi tena kufanya kazi) n hivyo kusababishiwa umasikini wa kipato kutokana na maelezo ya hapo juu, tufike mahala tupangiwe utaratibu mwanana wa KUFIKISHA FEDHA TASLIM huku tulipo.

Mpaka hapa, laiti Mzee John Mimose Cheyo wa UDP asingalikua kwamba ndiye mlinda mlango wa mapato na matumizi ya serikali kupitia kamati yake ya miaka nenda rudi na hata kudaiwa kusaidia kuidhinisha ufisadi wa Richmond, Dowans, EPA na nyinginezo nyingi tu kutokea kwa masikitiko makubwa taifa zima, hadi hapa pengine ningempa heko kwamba mwisho wa siku Benki ya Dunia imeamua kuazima SERA YAKE YA KUTAKA KUTUJAZA MA-PESA MINGI mifukoni ili tupate kuendelea.

Lakini ni bahati mbaya mno kwa Benki Kuu hivi sasa wameazimia kushinikiza serikali ya CCM kutekeleza AZIMIO LA BENKI YA DUNIA KUTAFUTA KILA NJIA KUHAKIKISHA KWA WALAZWAHOI TUNAJAZWA MA-PESA hasa huku sehemu z vijijini; hatua ambayo kwangu mimi naona kama vile sera hii nzuri ya Mzee Ma-Pesa imelazimika kuazimwa na Benki ya Dunia LAKINI kwa kusudio la KUTIBU VIDONDA ALIVYOVISABABISHIA WA-TANZANIA yeye mwenyewe ama kwa kunyamazia au kwa kuazimia kuungana na ngurue pori (CCM) kula mabua kwa pamoja milithi ya Chama Cha Wananchi CUF ndoa ya kuchumia tumbo huko Visiwani.


(4) allocate some public works in people's localities from where the poor would earn something in terms of cash.

Ndio, miongoni mwa nji mbalimbali zilizopendekezwa na Benki ya Dunia (BD) ni pamoja na kupendekeza kwamba kukitokea kwamba barabara inajengwa kwenda Mtwara basi kila kiungo cha barabara hiyo wapewe wale Masikini wa Mwisho wa kipato katika jamii yetu.

Lengo kuu hapa ni kule kutafuta kuwafanya na wao Maskini wa kipato wanaopatikana katika eneo fulani ya barabara hiyo inakopita ndio washughulike kufanya zile kazi za mikono chini ya maelekezo na usimamizi ya wataalam ili kutokee mambo mawili makubwa; (1) taifa lipate barabara yenye kiwango cha lami kufungua zaidi uchumi wa nchi, pia nao (2) wanavijiji (si wana-CCM) wale ambao ni masikini wa kutupwa wa kipato nao wawe hawajapata tu barabara bali pia fedha za kupeleka watoto shule, kula yao, mavazi na makazi bora.


Hakika sura halisi ya hivi sasa nchini unasliti kabisa msingi huu ambao sasa imelazimika wenzetu wa ngozi nyeupe ndio waje wakatueleze ndio tupate kufanya. Nakumbu kipindi fulani Mzee Cheyo alipokua akizungumza hili, wakati ambapo bdo nilikua mwanafunzi wa sekondari tu pale Mwanza, kwa kuwa tulikua hatuelewi kwamba siku moja wazo lake lingeibukia Ulaya sisi letu lilikua ni kucheka hatuna mbavu kwa yale tulioona ni mzaha mkubwa mtu yeyote kuja KUTUJAZA MA-PESA mifuko yote kujaa.

Ama kweli hata naye Mtaalam haheshimiki kwao kama huyu Mzee Cheyo, British trained accountant na maono yake kwa Wa-Tanzania yalimwagwa mbali kabisa na yale ya akina Tambwe Hizza, Sheikh Yahaya, Lusinde wa Mtera na Mwigulu Nchemba kuonekana ya maana na kutiliwa maanane zaidi.

(5) 83 per cent of the poor are in rural areas but there are many poor people in non-poor areas.

Kwa hali ya ajabu sana ni kwamba BD miongoni mwetu Wa-Tanzania tulio masikini wa kutupwa wengi wetu tuko sehemu za vijijini.

Hawajaishia hapo tu, BD wanaongeza kwamba kwenye kundi hilo kubwa la watu masikini hohehahe ukiwapanga Wa-Tanzania hao masikini kwa mafungu ya watu kumi kumi basi utakuta kwamba katika kila Wa-Tanzania masikini hohehahe 8 kati yao wanaishi vijijini na kwamba wale masikini wa kutupwa 2 tu ndio wanahimili mikiki mikiki ya kuendelea kuganga njaa mijini huku wakitimuliwa vumbi bila huruma na walanchi wenye meno kwenye magari ya kifahari. Jamani sasa mtu akija kuuliza tena swali kwa nini sehemu za vijiji CCM huhonga pishi la ubwabwa tu na kupata kura karibu zote, siri yote ndio hiyo takwimu heshimiki walioumwaga hapa ndugu zetu wa Benki ya Dunia.

Hii inamaan kwamba miradi kibao hiyo ambayo iko njiani kuletwa Tanzania ikitekelezwa vizuri basi Gala la Kura kwa CCM vijijini nalo litakua limeteketea kwa kuwa ubwabwa, T-Sheti, kofia na vijisenti vitaakua si dili tena - tuko pamoja mpaaka hapo?


Mpaka hapo maelezo haya, ya taasisi hii inayoheshimika sana duniani, yanatuelekeza watu tupende kujua kwamba ni iddi gani hasa wanaozungumzi hapa wenzetu. Tazama hapo chini.

(6) over 6.4 million people live below the food poverty line

Watalaam hawa wa benki ya Dunia waanatuambia kwamba kati ya Wa-Tanzania milioni 48, milioni 6.5 wetu ni watu ambao hatuna hata uwezo wa kupata mlo mmoja kwa maana kwamba kipato chetu kwa siku ni chini ya Dola 1 ya ki-Marekani (yaani tunaishi kwa chini ya kipato cha Tsh 1,600 kwa mmoja katika familia anayejihangaisha wakati watu tunaomtegemea kipato hicho hicho si chini ya watu 10). na

(7) 10 million people are facing severe seasonal food insecurity

Mbali na wale watu milioni sita unusu masikini wale, BD inatufahamisha kwamba umasikini nchini umeongezeka kwa namna ambayo zaidi Wa-Tanzania zaidi ya milioni 10 kumi ni watu ambao ni kama Matonya ambao hata mahitaji ya msingi kama upatikanaji wa chakula kwao ni mgogoro mkubwa sana.

Kwa maana hii ni kwamba tunasema ya kwamba kati ya Wa-Tanzania wote kwa ujumla wetu milioni 48, wale wengine milioni 38 hawako salama hata kidogo kutokana na zaidi ya wenzetu milioni 10 ambao kila wakati upatikanaji wa chakula kwao ni kwa kubahatisha.

Pengine watafiti wetu wakichagua kwenda mbele zaidi huenda wakatueleza kwamba kati ya hawa Wa-Tanzania wenzetu wenye kukodolewa macho na hatari ya kutokua na uhakika na chakula katika nchi yenye rutuba na pana sana ka hili la kwetu, ni wangapi kati yao amba huenda watakua wamesukumwa katika michepuo ama ya (1) kuuza mwili ili chakula kipatikane, (2) ujambazi ili mkono uende kinywani, au na (3) mikopo isiorudishwa ilmradi 'bora lawama kuliko fedheha ya kufa' na baa la njaa.

Vile vile itakua muhimu wakatueleza kwamba ni (4) watoto wangapi wanaoachia ngazi kutafuta elimu kwa kuwa michango kibao inayohitajika ma-shuleni wazazi wanaonelea kwamba ni bora wale katika ujinga kuliko wafe wakipiga danadana ya elimu ambayo hata matunda yake mwisho wa siku ni kwa misingi ya kubagwana ... naamini watafiti wetu watatuletea majibu murua sana tu!!!


(8) 12.7million people are below the basic needs line.

Naam, Benki ya Dunia haikuishia tu kihivyo hapo juu. Wameenda mbali kidogo kutufunulia siri ambayo uongozi wa CCM siku zote ungependa kuuficha kwa kutumwagia takwimu kibao isioleta maana yoyote kwa maana ya mlo kwenye meza yetu nyumbani.

Kile wananchosema hawa waheshimiwa ni kwamba kama mtu uliona ajabu ya wale watu milioni 10 hapo juu bsi tangu leo ujue kwamba wewe unapokula mlo wa miraba mitatu na kumwaga kwenye pipa pale nyumbani, nguo ikipatawa tu na doa dogo tu unapigia deki na uhaywani mwingine kama huo basi ujue kwa kuna Wa-Tanzania zaidi ya milioni 13 ambao kama si aibu tu usoni tungepashwa kujimwaga pembeni mwa barabara kila mmoja kibakuli cha kutafutia msaada.

Misaada hii ingalikua ni kwa minajili ya kununulia mahitaji ya msingi sana kama vile nguo, na chakula kulala ni kwamba hadi hivi sasa tunalala kwenye viota vya vindege ambavyo vinatufanya tusiwe salama hata kidogo na binadamu wenzetu na hata wanyama wakali porini - tafakari mwenzangu haya si masimulizi ndio hali halisi huku ukisikia wengine kukukwapulia kodi yako.


(9) there are inclusion and exclusion errors

Kama utani vile, Benki ya Dunia kumbe nao wanayo taarifa kwamba hata kwa miradi michache tulionayo nchini naayo inaaelekezwa mahala kwa kufuata vigezo fulani visivyo rasmi na kujulikana kwa Wa-Tanzania wote.

Kwa mfano tu hapo juu ukiwauliza TASAF ni jinsi gani walifikia kugawa miradi michache hiyo ya Wa-Tanzania tunaoishi katika mikoa yote 26 na wao kupeleka mradi mmoja mkoa wa Dodoma na miwili iliobaki kwenda mkoa wa Pwani kwa maana ya Kibaha na Bagamoyo ... kero tupu!!!!!!!!

Sura kama hii inajulikana mahali pengi sana ikiwa ni pamoja na kupembuliwa wasio Wana-CCM kunyimwa baadhi ya huduma kama vile upatikanaji umeme, maji safi, mikopo benki, ajira serikalini (serikali ndiye mwajiri mkuu nchini mwetu), mikopo kwenda elimu ya juu, ufadhili kusoma Ughaibuni, kuganywa kwa miradi ya serikali na mambo kama hayo.

NB: Pindi unapomaliza kusoma tathmini hii ya Benki ya Dunia kama ambavyo nimejaribu kuisogeza jirani zaidi na uelewa wa wengi wakiwemo Bibie Ngonda, FaisaFoxy, Tropical, Omr, Malaria Sungu, Kishingo, Selemani na wengine wengi wa kundi hilo la kishabiki zaidi, kavute pumsi kubwa ndani na kisha upumue kwa nguvu huku ukimalizia hasira zako kwa kusema

TANGU SASA NATAMBUA WAZI KWA MABADILIKO YA KWELI TANZANIA YANAANZA NA MIMI NA NI JUKUMU LANGU WAKATI WOTE BILA KUSUKUMWA NA MTU, KUBEMBELEZWA WALA KURUHUSU KIWINGU CHA TOFAUTI ZA ITIKADI TU ZA KISIASA NA KI-DINI KUNITENGANISHA NA WATANZANIA WENZANGU KATIKA HARAKATI ZA KUTAFUTA HAKI NA USAWA KWA WOTE.

Mwisho.
 
Huyu jamaa hajatoa wazo muda mrefu nn,mbona watu wanaweka ujumbe mrefu hadi unaboa kuusoma
 
By ABDULWAKIL SAIBOKO, 18th October 2011 Daily News

THE World Bank has called for introduction of cash transfer to people as poverty is on rise among individuals in Tanzania despite general economic growth.

The WB's report issued on Tuesday with a title; 'Tanzania: Poverty, growth and public transfers' noted that
(1) poverty in the country was widely spread.

"The report
(2) proposes that for the country to have a sustainable economic development, two options should be enforced, one of which is cash transfer and another is public works", said the WB Lead Social Protection Specialist, Ms Anush Bezhanyan.

Ms Bezhanyan observed that
(3) cash transfer involves giving cash to individuals who are unable to work in which the government is supposed to dictate modalities of expenditure and make a follow-up to get feedbacks.

"The government can, for example, direct the beneficiaries of the cash transfer to use the monies in taking their children to school, and then a follow-up must be made to see whether the target has been achieved," she said.

On public works, Ms Bezhanyan said the government was required to
(4) allocate some public works in people's localities from where the poor would earn something in terms of cash.

Citing examples, she said Ethiopia was one of the African countries which could provide best practice on how the two modes could effectively transform lives of individuals, hence, lead to overall economical growth.

WB's Consultant, Mr Jim Smith said
(5) 83 per cent of the poor are in rural areas but there are many poor people in non-poor areas. "Targeting specific areas basing on geographical locations is not proper, the report shows that poverty in the country was evenly spread," he said.

The report also shows that
(6) over 6.4 million people live below the food poverty line, some (7) 10 million people are facing severe seasonal food insecurity and about (8) 12.7million people are below the basic needs line.

According to the report, the existing projects on poverty reduction have a limited coverage which is less than one per cent of the poor and
(9) there are inclusion and exclusion errors due to generalization approach.

It suggests that "the government should move towards a single national programme large enough to cover the country and big enough to make a difference".

The Tanzania Social Action Fund (TASAF) System Manager, Mr Ladislaus Mwamanga, said the fund has already started working on some of the WB report's recommendations.

"We have already started cash transfer as a pilot project in three districts whereby some
10 (Tsh 16,000/-) US dollars (What ?) are disbursed to every household per month," he said.

He said that the pilot project which began in 2008 covers Bagamoyo, Kibaha and Chamwino districts in Cost and Dodoma regions respectively.

"Already 200 households have benefited and the project has already received some 1.9 million USD from Japan Social Development Fund and 4.5 million USD from WB to support the project's implementation", he said.

MAMBO MAZITO YALIOIBULIWA NA WATAALAM WA BENKI YA DUNIA KUHUSU WA-TANZANIA TULIVYOCHAKAZWA NA UMASIKINI CHINI YA UONGOZI WA CCM NA UENDEKEZAJI YA UFISADI NA SOKO HOLELA NCHINI


tab-A1-01_zm.jpg


(1) poverty in the country was widely spread.

Benki ya Dunia imebaini kwamba umasiki sasa umesambaa kile pembe ya taifa letu kuliko wakati wowote katika historia ya Tanzania hivyo kuhimiza hatua kadhaa za dharura kuokoa meli ya 'MV Walazwahoi' nchini tuzame jumla.

Kwa maoni ya wataalam hawa wa Benki ya Dunia na uchambuzi makini wa mienendo ya uchumi wa nchi yetu, wao wanaona kwamba kama umasikini ungekua ni maji baharini basi tayari yameanza kupanda juu kidogo ya mustachi kuelekea kabisa puani.

(2) proposes that for the country to have a sustainable economic development

Pendekezo lao la jumla ni kwamba nchini Tanzania ni wakati mwafaka tukaanza kuzingatia misingi imara ya kujenga Uchumi wa nchi yetu wenye uwezo wa KUJINAWIRISHA YENYEWE bila kulazimika kubughudhi hasa mataifa ya Magharibi kila siku kuruka na mi-dege kwenda kutembeza bakuli.

Ndugu zangu unposemwa vibaya hivi, kwa mtu mstaarabu ni sharti ukakae chini na kujichunguza mwenye kwa kujiuliza maswali kibao juu ya hali hiyo huku ukitangulia na swali zito zaidi la 'KULIKONI'? Na mimi hapa najiuliza swali kwamba kulikoni Benki ya Dunia watuambie hivi?

Pengine ni kwamba mambo yenyewe yaliotufikisha hapo ni pamoja na haya haya mambo ya UFISADI ambayo ndio mpaka hivi sasa yametufanya tusitake kusikia hata baadhi ya majina ya wenzetu wakiwemo Edward Lowassa na Richmond, Chenge na Vijisenti, Mhajemi Rostam Aziz na Dowans na JK naye kauli ya kwamba hajui kwa nini tu masikini - mambo ambayo ni kwa kiasi kikubwa ni matokeo ya kuendeshwa kwa Uchumi unaofuata mfumo wa Soko Holela?


(3) cash transfer involves giving cash to individuals who are unable to work

Vile vile kumedhihirika kwa Benki ya Dunia kwamba kuna UKAPA mkubwa wa Umasikini wa kipato kiasi kwamba wamegundua wazi kwa Wa-Tanzania kibao tusiokua ama na ajira au uwezo wa kufanya kazi (sisi vijana wa vijiweni kila kona ya nchi, akina mama wanaokatiliwa na mfumo dume kutopata ajira, wato na wazee - mfano wastafu wa Afrika Mashariki - ambao kwa misingi tu wa umri wao hawawezi tena kufanya kazi) n hivyo kusababishiwa umasikini wa kipato kutokana na maelezo ya hapo juu, tufike mahala tupangiwe utaratibu mwanana wa KUFIKISHA FEDHA TASLIM huku tulipo.

Mpaka hapa, laiti Mzee John Mimose Cheyo wa UDP asingalikua kwamba ndiye mlinda mlango wa mapato na matumizi ya serikali kupitia kamati yake ya miaka nenda rudi na hata kudaiwa kusaidia kuidhinisha ufisadi wa Richmond, Dowans, EPA na nyinginezo nyingi tu kutokea kwa masikitiko makubwa taifa zima, hadi hapa pengine ningempa heko kwamba mwisho wa siku Benki ya Dunia imeamua kuazima SERA YAKE YA KUTAKA KUTUJAZA MA-PESA MINGI mifukoni ili tupate kuendelea.

Lakini ni bahati mbaya mno kwa Benki Kuu hivi sasa wameazimia kushinikiza serikali ya CCM kutekeleza AZIMIO LA BENKI YA DUNIA KUTAFUTA KILA NJIA KUHAKIKISHA KWA WALAZWAHOI TUNAJAZWA MA-PESA hasa huku sehemu z vijijini; hatua ambayo kwangu mimi naona kama vile sera hii nzuri ya Mzee Ma-Pesa imelazimika kuazimwa na Benki ya Dunia LAKINI kwa kusudio la KUTIBU VIDONDA ALIVYOVISABABISHIA WA-TANZANIA yeye mwenyewe ama kwa kunyamazia au kwa kuazimia kuungana na ngurue pori (CCM) kula mabua kwa pamoja milithi ya Chama Cha Wananchi CUF ndoa ya kuchumia tumbo huko Visiwani.


(4) allocate some public works in people's localities from where the poor would earn something in terms of cash.

Ndio, miongoni mwa nji mbalimbali zilizopendekezwa na Benki ya Dunia (BD) ni pamoja na kupendekeza kwamba kukitokea kwamba barabara inajengwa kwenda Mtwara basi kila kiungo cha barabara hiyo wapewe wale Masikini wa Mwisho wa kipato katika jamii yetu.

Lengo kuu hapa ni kule kutafuta kuwafanya na wao Maskini wa kipato wanaopatikana katika eneo fulani ya barabara hiyo inakopita ndio washughulike kufanya zile kazi za mikono chini ya maelekezo na usimamizi ya wataalam ili kutokee mambo mawili makubwa; (1) taifa lipate barabara yenye kiwango cha lami kufungua zaidi uchumi wa nchi, pia nao (2) wanavijiji (si wana-CCM) wale ambao ni masikini wa kutupwa wa kipato nao wawe hawajapata tu barabara bali pia fedha za kupeleka watoto shule, kula yao, mavazi na makazi bora.


Hakika sura halisi ya hivi sasa nchini unasliti kabisa msingi huu ambao sasa imelazimika wenzetu wa ngozi nyeupe ndio waje wakatueleze ndio tupate kufanya. Nakumbu kipindi fulani Mzee Cheyo alipokua akizungumza hili, wakati ambapo bdo nilikua mwanafunzi wa sekondari tu pale Mwanza, kwa kuwa tulikua hatuelewi kwamba siku moja wazo lake lingeibukia Ulaya sisi letu lilikua ni kucheka hatuna mbavu kwa yale tulioona ni mzaha mkubwa mtu yeyote kuja KUTUJAZA MA-PESA mifuko yote kujaa.

Ama kweli hata naye Mtaalam haheshimiki kwao kama huyu Mzee Cheyo, British trained accountant na maono yake kwa Wa-Tanzania yalimwagwa mbali kabisa na yale ya akina Tambwe Hizza, Sheikh Yahaya, Lusinde wa Mtera na Mwigulu Nchemba kuonekana ya maana na kutiliwa maanane zaidi.

(5) 83 per cent of the poor are in rural areas but there are many poor people in non-poor areas.

Kwa hali ya ajabu sana ni kwamba BD miongoni mwetu Wa-Tanzania tulio masikini wa kutupwa wengi wetu tuko sehemu za vijijini.

Hawajaishia hapo tu, BD wanaongeza kwamba kwenye kundi hilo kubwa la watu masikini hohehahe ukiwapanga Wa-Tanzania hao masikini kwa mafungu ya watu kumi kumi basi utakuta kwamba katika kila Wa-Tanzania masikini hohehahe 8 kati yao wanaishi vijijini na kwamba wale masikini wa kutupwa 2 tu ndio wanahimili mikiki mikiki ya kuendelea kuganga njaa mijini huku wakitimuliwa vumbi bila huruma na walanchi wenye meno kwenye magari ya kifahari. Jamani sasa mtu akija kuuliza tena swali kwa nini sehemu za vijiji CCM huhonga pishi la ubwabwa tu na kupata kura karibu zote, siri yote ndio hiyo takwimu heshimiki walioumwaga hapa ndugu zetu wa Benki ya Dunia.

Hii inamaan kwamba miradi kibao hiyo ambayo iko njiani kuletwa Tanzania ikitekelezwa vizuri basi Gala la Kura kwa CCM vijijini nalo litakua limeteketea kwa kuwa ubwabwa, T-Sheti, kofia na vijisenti vitaakua si dili tena - tuko pamoja mpaaka hapo?


Mpaka hapo maelezo haya, ya taasisi hii inayoheshimika sana duniani, yanatuelekeza watu tupende kujua kwamba ni iddi gani hasa wanaozungumzi hapa wenzetu. Tazama hapo chini.

(6) over 6.4 million people live below the food poverty line

Watalaam hawa wa benki ya Dunia waanatuambia kwamba kati ya Wa-Tanzania milioni 48, milioni 6.5 wetu ni watu ambao hatuna hata uwezo wa kupata mlo mmoja kwa maana kwamba kipato chetu kwa siku ni chini ya Dola 1 ya ki-Marekani (yaani tunaishi kwa chini ya kipato cha Tsh 1,600 kwa mmoja katika familia anayejihangaisha wakati watu tunaomtegemea kipato hicho hicho si chini ya watu 10). na

(7) 10 million people are facing severe seasonal food insecurity

Mbali na wale watu milioni sita unusu masikini wale, BD inatufahamisha kwamba umasikini nchini umeongezeka kwa namna ambayo zaidi Wa-Tanzania zaidi ya milioni 10 kumi ni watu ambao ni kama Matonya ambao hata mahitaji ya msingi kama upatikanaji wa chakula kwao ni mgogoro mkubwa sana.

Kwa maana hii ni kwamba tunasema ya kwamba kati ya Wa-Tanzania wote kwa ujumla wetu milioni 48, wale wengine milioni 38 hawako salama hata kidogo kutokana na zaidi ya wenzetu milioni 10 ambao kila wakati upatikanaji wa chakula kwao ni kwa kubahatisha.

Pengine watafiti wetu wakichagua kwenda mbele zaidi huenda wakatueleza kwamba kati ya hawa Wa-Tanzania wenzetu wenye kukodolewa macho na hatari ya kutokua na uhakika na chakula katika nchi yenye rutuba na pana sana ka hili la kwetu, ni wangapi kati yao amba huenda watakua wamesukumwa katika michepuo ama ya (1) kuuza mwili ili chakula kipatikane, (2) ujambazi ili mkono uende kinywani, au na (3) mikopo isiorudishwa ilmradi 'bora lawama kuliko fedheha ya kufa' na baa la njaa.

Vile vile itakua muhimu wakatueleza kwamba ni (4) watoto wangapi wanaoachia ngazi kutafuta elimu kwa kuwa michango kibao inayohitajika ma-shuleni wazazi wanaonelea kwamba ni bora wale katika ujinga kuliko wafe wakipiga danadana ya elimu ambayo hata matunda yake mwisho wa siku ni kwa misingi ya kubagwana ... naamini watafiti wetu watatuletea majibu murua sana tu!!!


(8) 12.7million people are below the basic needs line.

Naam, Benki ya Dunia haikuishia tu kihivyo hapo juu. Wameenda mbali kidogo kutufunulia siri ambayo uongozi wa CCM siku zote ungependa kuuficha kwa kutumwagia takwimu kibao isioleta maana yoyote kwa maana ya mlo kwenye meza yetu nyumbani.

Kile wananchosema hawa waheshimiwa ni kwamba kama mtu uliona ajabu ya wale watu milioni 10 hapo juu bsi tangu leo ujue kwamba wewe unapokula mlo wa miraba mitatu na kumwaga kwenye pipa pale nyumbani, nguo ikipatawa tu na doa dogo tu unapigia deki na uhaywani mwingine kama huo basi ujue kwa kuna Wa-Tanzania zaidi ya milioni 13 ambao kama si aibu tu usoni tungepashwa kujimwaga pembeni mwa barabara kila mmoja kibakuli cha kutafutia msaada.

Misaada hii ingalikua ni kwa minajili ya kununulia mahitaji ya msingi sana kama vile nguo, na chakula kulala ni kwamba hadi hivi sasa tunalala kwenye viota vya vindege ambavyo vinatufanya tusiwe salama hata kidogo na binadamu wenzetu na hata wanyama wakali porini - tafakari mwenzangu haya si masimulizi ndio hali halisi huku ukisikia wengine kukukwapulia kodi yako.


(9) there are inclusion and exclusion errors

Kama utani vile, Benki ya Dunia kumbe nao wanayo taarifa kwamba hata kwa miradi michache tulionayo nchini naayo inaaelekezwa mahala kwa kufuata vigezo fulani visivyo rasmi na kujulikana kwa Wa-Tanzania wote.

Kwa mfano tu hapo juu ukiwauliza TASAF ni jinsi gani walifikia kugawa miradi michache hiyo ya Wa-Tanzania tunaoishi katika mikoa yote 26 na wao kupeleka mradi mmoja mkoa wa Dodoma na miwili iliobaki kwenda mkoa wa Pwani kwa maana ya Kibaha na Bagamoyo ... kero tupu!!!!!!!!

Sura kama hii inajulikana mahali pengi sana ikiwa ni pamoja na kupembuliwa wasio Wana-CCM kunyimwa baadhi ya huduma kama vile upatikanaji umeme, maji safi, mikopo benki, ajira serikalini (serikali ndiye mwajiri mkuu nchini mwetu), mikopo kwenda elimu ya juu, ufadhili kusoma Ughaibuni, kuganywa kwa miradi ya serikali na mambo kama hayo.

NB: Pindi unapomaliza kusoma tathmini hii ya Benki ya Dunia kama ambavyo nimejaribu kuisogeza jirani zaidi na uelewa wa wengi wakiwemo Bibie Ngonda, FaisaFoxy, Tropical, Omr, Malaria Sungu, Kishingo, Selemani na wengine wengi wa kundi hilo la kishabiki zaidi, kavute pumsi kubwa ndani na kisha upumue kwa nguvu huku ukimalizia hasira zako kwa kusema

TANGU SASA NATAMBUA WAZI KWA MABADILIKO YA KWELI TANZANIA YANAANZA NA MIMI NA NI JUKUMU LANGU WAKATI WOTE BILA KUSUKUMWA NA MTU, KUBEMBELEZWA WALA KURUHUSU KIWINGU CHA TOFAUTI ZA ITIKADI TU ZA KISIASA NA KI-DINI KUNITENGANISHA NA WATANZANIA WENZANGU KATIKA HARAKATI ZA KUTAFUTA HAKI NA USAWA KWA WOTE.

Mwisho.
i see it irrelevant fact to the fact on issue...,by the way the major subject above ni unyanyapaa ndani ya vyama vyetu vya siasa.
 
Huyu jamaa hajatoa wazo muda mrefu nn,mbona watu wanaweka ujumbe mrefu hadi unaboa kuusoma
hilo ndio tatizo kuu la watz..,hawasomi ni wavivu katika hilo.,wana-alergy na maandishi, i think...!
Kumbe nyie ndo wale wale mnaosign mikataba bila kusoma...!
 
Bahati mbaya ya walio wengi wanajadili siasa bila kuwa na ufahamu wa siasa, na hivyo kubaki wakikubali matokeo ya mambo ya kisiasa na kujaribu kupinga yale mambo yaletayo matokezeo hayo; nitajaribu kuandika kwa ufupi sana ili niweze kueleweka;
1; migongano ya mawazo na mikwaruzano katika chama chochote cha siasa ndio kujizatiti kwake, kwani siasa siku zote haitaki wala haihusudu sera ama falsafa ya "dogmatism" kuwa mmoja akisema basi neno lake halibadilishwi wala halipingwi.,kutohoji mambo katika chama hakuwapi watu nafasi ya kujisikia kuwa wao wanamiliki chama kama wanachama na kujaribu kuendesha chama cha siasa kama kanisa kuwa msemaji ni "padri" pekee na wengine hawana ruhusa ya kuhoji basi ni "kukiua" chama hiko. Upevuko wa kisiasa na kuimarika ni kukubali kuishi katika malumbano ya hoja ambayo hayaharibu lengo la chama cha siasa husika-fahamu kuwa lengo la chama cha siasa ni kushika dola na kutawala.,hivyo mifarakano na majibizano katika kufikia lengo hili ni kitu kisichozuilika kulingana na experience, uwezo wa kutafakari, elimu na mazingira na wakati wa kutumia wazo fulani. Nasema haya kwa kuwa hivi sasa kuna mtazamo katika chama changu kuwa mtu yeyota ambae anamawazo tofauti ama fikra yeyote inayopingana na mwenyekiti ama "wenye chama'' KAULI ama wazo hilo si la sawasawa na hivyo litapingwa wazo hilo lakini mbaya zaidi kupingwa mtuo wazo hilo.,nasema haya kwa kuwa yaminifika binafsi, na pia bado mifano hallsi na ya wazi ipo kwa watu ambao ni prominent katika chama lakini wanafanyiwa fitna na majungu kwa kuwa wanamawazo tofauti juu ya uendeshaji na usimamiaji wa shughuli za kichama.
2; Historia ya vyama vya siasa duniani na hata hapa nchini kwetu imeprove notion kuwa malumbano na mitazamo tofauti inakuza na kuimarisha chama, nitakumbuka John Adams alivyotofautiana na wanachama wenzake kuhusu mamlaka ya bunge na hata baadae kuhusu quasi-war na hata mwanawe John Quincy Adams akiwa kama ex-president aliwahi kusimama mahakamani kama mwanasheria akitetea kuachwa huru kwa watumwa na kufutwa kwa biashara hiyo hali ya kuwa chama chake na Rais wa wakati huo Andrew Jackson..,ukiachana na historia katika siasa za kimataifa, bado hapa nchini kwetu watu walitofautiana ndani ya vyama tangu wakati tanu haiko madarakani "akina sykes na kitwana" lakini hata baada ya kupata dola bado mifarakano ilikuwepo baina ya nyerere na wadau wengine kwenye chama watu wakawekwa vizuizini wengine in partition bado hata akina kawawa waliwahi kurushiana ngumi baada ya mgongano na akina oscar ndani ya mikutano ya chama na hili halikuwafanya kutomiliki na kutawala dola sawasawa.
3; Leo zipo hisia na mitazamo kuwa malumbano ya hoja na mivutano ndani ya chama ni kitu hatari kwa maendeleo ya chama na kushika hatamu, tupo tunaozuiliwa kusema kwa kuwa tuliwahi kusema kitu tofauti na mawazo ya wangine hapo nyuma, wapo tunaokaribia kutolewa ndani ya chama kwa kupinga baadhi ya mambo ambayo tunaamini kuwa hayapo sawa ndani ya CHADEMA na tulithibitisha na kutoa hoja za msingi juu ya misimamo na kupinga kwetu. Lakini nasema kuwa hili haliwezi kutufikisha katika malengo yetu makuu bali litatuvuruga.,haikuwahi kutokea mtu kuendesha kundi lolote la watu kwa mawazo yake tu " hata ikiwa kundi hilo ni familia yake ya yeye, mkewe na mtoto wao" vipi kwa chama cha siasa.??? Sisemi kuwa mimi binafsi nahitaji kubaki mwanachama na kiongozi wa chama lakini pia nakiri na naweza kuthibitisha kuwa TUNAWAHITAJI PIA MHESHIMIWA ZITTO NA SHIBUDA hata wakiwa na mitazamo inayopingana na msimamo fulani wa chama.
4; Kama migongano na mivutano ya kimawazo katika chama ingelikuwa ni hatari kwa chama, yanayoendelea ccm yalitosha kukiondolea nguvu ya moja kwa moja ya chama hiko lakini tumeshuhudia kuwa bado hayajakishusha chama hiko kisiasa,.tumeshuhudia matokea ya ubunge hivi karibuni na matokea ya chaguzi ndogo za madiwani jinsi ccm ilivyoweza kujishindia viti vingi.,ni kuonyesha kuwa mifarakano ndani ya chama hakiharibu lengo kuu la kushika dola.. TUSOMA, TUJIFUNZE NA TUKOMAE KISIASA.,HAKIKA TU WACHANGA SANA KATIKA HILI.
Hizo ndomojawapo ya agenda zilizojadiliwa pale Girrafe Hotel zenye lengo la kuidhoofisha CDM kabla 2013, hongera sana kwa jitihada zako kwani tayari umeshaingiza per Diem.
Join Date : 27th September 2011
Posts : 2

Rep Power : 0
 
hilo ndio tatizo kuu la watz..,hawasomi ni wavivu katika hilo.,wana-alergy na maandishi, i think...!
Kumbe nyie ndo wale wale mnaosign mikataba bila kusoma...!
We chalii umeandika kama unakimbizwa bana!!
Kajipange upya, weka paraghraphs .......at least pangilia hoja ili mtu ajue unasema nini.

Hapa sio sehemu ya kutolea hasira zako kwa style yako.....tutashindwa kukusaidia then utapata heart attach bure.
 
fananisha haya niliyoyasema na kile kilichoandikwa mwanahalisi..,nadhani unaweza kupata hali halisi ya mambo yalivyo huku ndani..!
 
Sawa!hadisi yako inatufundisha tuwe wakomavu wa siasa...tuwe na magamba magumu ya kukinga mabomu na risasi.Tuwe na mdomo mchafu wa kuita wenzetu panya.Sisemi asante
 
We chalii umeandika kama unakimbizwa bana!!Kajipange upya, weka paraghraphs .......at least pangilia hoja ili mtu ajue unasema nini.Hapa sio sehemu ya kutolea hasira zako kwa style yako.....tutashindwa kukusaidia then utapata heart attach bure.
Ni pale watu wanapojilazimisha kutokukubali hoja isiyopingika.,ndio wanapojikuta wakipinga wanayoyakubali....!
 
Back
Top Bottom