Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,619
- 218,041
Ndio kama mnavyosoma hapo juu, Style inayotumika sasa inaitwa ZIGZAGA, huyu kule huyu huku, ni mwendo wa mashambulizi bila kukoma.
Kwa siku mbili mfululizo Mwenyekiti wa Bawacha Mh Sharrifa Suleyman ameweka kambi Kasulu Kigoma kwa ajili ya Usajili wa Kisasa wa Chadema digital, HAKUNA KIJIJI KITAKACHOACHWA.
Kwa siku mbili mfululizo Mwenyekiti wa Bawacha Mh Sharrifa Suleyman ameweka kambi Kasulu Kigoma kwa ajili ya Usajili wa Kisasa wa Chadema digital, HAKUNA KIJIJI KITAKACHOACHWA.