CHADEMA Digital na kadi za Papo kwa hapo za Augustino Mrema kuna tofauti gani?

Vingi lkn vya zamani mkuu, acha ningoje vipya na vyenye tija ambavyo vitanishawishi mimi kuja huko.
Kama unawadai kjani itakiwa ngumu kutoja kwani wapo wanaosema ukifika getini kwanza unasalimisha akili, ichukuwe uje kuliko noga hivi sasa.
 
Back
Top Bottom