Yakuza
Senior Member
- May 22, 2011
- 114
- 43
Wana JF
Kuna tetesi kuwa CUF tayari wanawasiliana na CHADEMA juu ya maandamano ya Kitaifa dhidi ya kamata kamata ya waheshimiwa wabunge wa vyama vya upinzani.
Kumbukeni hadi leo Mh. Magdalena Sakaya (CUF), Mh. E. Mbowe (CDM) na Mh. Zitto Z. Kabwe (CDM) wako mikononi mwa Polisi.
Je, inawezekana CUF na CDM kuungana ktk hili? Kama ni kweli, maandamano hayo ya kitaifa yamepangwa lini na kikomo chake ni lini? Yatakuwa na mtindo wa yale ya Tunisia na Misri?
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu tubariki wale tupendao haki sawa kwa wote:mwaaah:
Kuna tetesi kuwa CUF tayari wanawasiliana na CHADEMA juu ya maandamano ya Kitaifa dhidi ya kamata kamata ya waheshimiwa wabunge wa vyama vya upinzani.
Kumbukeni hadi leo Mh. Magdalena Sakaya (CUF), Mh. E. Mbowe (CDM) na Mh. Zitto Z. Kabwe (CDM) wako mikononi mwa Polisi.
Je, inawezekana CUF na CDM kuungana ktk hili? Kama ni kweli, maandamano hayo ya kitaifa yamepangwa lini na kikomo chake ni lini? Yatakuwa na mtindo wa yale ya Tunisia na Misri?
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu tubariki wale tupendao haki sawa kwa wote:mwaaah: