CHADEMA + CUF: Maandamano ya kitaifa

Chadema yasemekana imekosa sababu ya kufanya maandamano dsm. Wakati mambo ya kutetea watanzania dsm yapo mengi.yapuuza imani yake katika maandamano ya dsm.kiongoz mmoja wa cdm akesha ofc za igp kumwambia 'ukiruhusu cuf waandamane na cc tutaandamana fanyeni lolote muwezalo kuhakikisha cuf awaandamani,'igp hamshangaa amwambia aliekutuma siku zake zina hesabika.
Join Date : 10th June 2011Posts : 3
 
Nkipata muda ntawaunga mkono kwa kuwa uongo wa kamanda kova ni kama uhaini. Nashukuru chama changu cdm kimekuwa mbogo kukataa kunyimwa haki. Pia cuf msikubali pia. Kova anasema ati kesi ziko mahakamani,kesi ipi ya mauaji ya Urambo iko mahakamani?au kumkamata mbunge sakaya ndo kesi ya kuwashtaki wauaji mapolisi? Au kesi ya kumfunga Tundu lissu ndo kesi inayowashtaki wauaji mapolisi wa nyamongo? Ok,hata mie sikutegemea cuf wapewe kibali wakati washitakiwa na walalamikiwa mapolisi ndo wanatoa kibali. CUF andamana,tunataka haki wala si ushabiki,polisi wapelekwe kwa pilato!
 
Hivi waliouliwa Urambo ni wanachama wa CUF, CDM, CCM...?
Wawe wafuasi wa chama chochote, waliouawa ni Watanzania, ni wananchi wa nchi hii.
Kwa nini wajitokeze CUF na kutaka kuandamana peke yao?
CDM mko wapi? CCM mko wapi? Watanzania mkomwapi? Wananchi mko wapi?
Kwa matukio kama haya ambayo tayari yamekuwa mengi, napendekeza tunapoandamna kuyapinga,
tusiandamane kama wafuasi wa chama fulani bali kama Watanzania,
ambapo Watanzania wasio wenzetu (polisi) wanauwa Watanzania wenzetu.

Tuwachane na malengo ya kisiasa ya chama fulani bali tuungane kama Watanzania kuikomboa Tanzania.
 
Hivi waliouliwa Urambo ni wanachama wa CUF, CDM, CCM...?
Wawe wafuasi wa chama chochote, waliouawa ni Watanzania, ni wananchi wa nchi hii.
Kwa nini wajitokeze CUF na kutaka kuandamana peke yao?
CDM mko wapi? CCM mko wapi? Watanzania mkomwapi? Wananchi mko wapi?
Kwa matukio kama haya ambayo tayari yamekuwa mengi, napendekeza tunapoandamna kuyapinga,
tusiandamane kama wafuasi wa chama fulani bali kama Watanzania,
ambapo Watanzania wasio wenzetu (polisi) wanauwa Watanzania wenzetu.

Tuwachane na malengo ya kisiasa ya chama fulani bali tuungane kama Watanzania kuikomboa Tanzania.

Ingawa mimi si mwanachama wa CUF ,nitaungana nao kwani wanaandamana kudai haki na kukemea vitendo vya Jeshi la Polisi kutumiwa vibaya na serikali ya magamba...Badala ya kulinda haki na usalama wa wa raia,hivi sasa wanatoa uhai wa raia kiulaini..Jeshi la Polisi linaiingilia uhuru wa vyama kufanya maandamano ambayo ni haki,hii yote ni kutumiwa na serikali ya magamba!!
 
Hivi waliouliwa Urambo ni wanachama wa CUF, CDM, CCM...?
Wawe wafuasi wa chama chochote, waliouawa ni Watanzania, ni wananchi wa nchi hii.
Kwa nini wajitokeze CUF na kutaka kuandamana peke yao?
CDM mko wapi? CCM mko wapi? Watanzania mkomwapi? Wananchi mko wapi?
Kwa matukio kama haya ambayo tayari yamekuwa mengi, napendekeza tunapoandamna kuyapinga,
tusiandamane kama wafuasi wa chama fulani bali kama Watanzania,
ambapo Watanzania wasio wenzetu (polisi) wanauwa Watanzania wenzetu.

Tuwachane na malengo ya kisiasa ya chama fulani bali tuungane kama Watanzania kuikomboa Tanzania.
Sijui kwanini watanzania tuwaoga kiasi hiki watu wananyanyasika wamekaa tu sijui mpaka washikwe makalio na polisi ndiyo watanzania kupingana na polisi kwa vitendo...tunaogopa mabomu ya machozi na virungu lakini maumivu tunayo yapata kwa uonga wetu ni makubwa mno....
 
Hebu ndugu nisaidieni jibu, hao polisi wamekataa hayo maandamano kwa kigezo gani?
Wanadai kesi iko mahakamani lakini kumbuka issue ya Arusha Pinda alikubali kuizungumuzia wakati alijua kabisa iko mahakamani, JK alisimama jukwaani akasema Pesa mbili Mramba ni safi wakati alijua anakase inaendelea mahakamani lakini linapo kuja upande wa upinzani tunaambiwa liko mahakama yaani wananiuzi.........
 
Ingawa mimi si mwanachama wa CUF ,nitaungana nao kwani wanaandamana kudai haki na kukemea vitendo vya Jeshi la Polisi kutumiwa vibaya na serikali ya magamba...Badala ya kulinda haki na usalama wa wa raia,hivi sasa wanatoa uhai wa raia kiulaini..Jeshi la Polisi linaiingilia uhuru wa vyama kufanya maandamano ambayo ni haki,hii yote ni kutumiwa na serikali ya magamba!!
kama alivyosema MAMMAMIA hapo juu, ngekuwa vyema vyama vyote vikaungana kwenye maandamano haya vyama vya upinza wakumbuke ilikuwa kwa CHADEMA na SASA kwa CUF je kesho chama gani?
 
Wanadai kesi iko mahakamani lakini kumbuka issue ya Arusha Pinda alikubali kuizungumuzia wakati alijua kabisa iko mahakamani, JK alisimama jukwaani akasema Pesa mbili Mramba ni safi wakati alijua anakase inaendelea mahakamani lakini linapo kuja upande wa upinzani tunaambiwa liko mahakama yaani wananiuzi.........

Ifike mahali hata sisi CDM tuwaunge mkono CUF, they have very good reasons for this course.
 
Wanaogopa bi hilaly asiyaone kama wataandamana itabidi polisi wawe wapole hawawezi kuua watu wakati boss wa boss wa boss wao yupo nchini
 
hakuna lolote,polisi hwana mamlaka kisheria kuzuia maandamano wala mikusanyiko yoyote,isipokuwa tu wawe na sababu za msingi kufanya hivo,jukumu lao ni kulinda maandamano yaan waandamanaji dhidi ya mambo mengine
soma hii kidogo,sura ya 322 ya sheria za nchi

[FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold]
43. A ssemblies and processions in public places​
[/FONT][/FONT][/FONT]
(1) Any person who is desirous of convening, collecting, forming or organising anyassembly or procession in any public place shall, not less than forty eight hours before thetime when the assembly or procession is scheduled to take place, submit a writtennotification of his impending assembly or procession to the police officer in charge of thearea specifying–(a) the place and time at which the meeting is to take place;(b) the purpose in general of the meeting; and(c) such other particulars as the Minister may from time to time, by notice published inthe​
[FONT=Arial,Italic][FONT=Arial,Italic]Gazette[/FONT][/FONT], specify.(2) Where a person submits a notification in accordance with subsection (1), he mayproceed to convene, collect, form or organise the assembly or procession in question asscheduled unless and until he receives an order from the Police Officer in charge of the areadirecting that the assembly or procession shall not be held as notified.(3) A Police Officer to whom a notification has been submitted pursuant to subsection (1),shall not give a stop order under subsection (2) in relation to the notification unless he issatisfied that the assembly or procession is likely to cause a breach of the peace or toprejudice the public safety or the maintenance of public order or to be used for any unlawfulpurpose.(4) The officer in charge of Police may stop or prevent the holding or continuance of anyassembly or procession in a public place which has been convened, collected, formed ororganised otherwise than in accordance with the notification under subsection (1) or inregard to which any particular specified by the Minister under paragraph (c) of subsection (1)has been or is being contravened and may, for any of the purposes aforesaid, give or issuesuch orders as he may consider necessary or expedient, including orders for the dispersal ofany such assembly or procession as aforesaid.(5) The Minister may by order declare that the provisions of this section shall not apply toany assembly or procession convened, collected, formed or organised exclusively for one ormore of or a combination of one or more such purposes as may be specified in such order.(6) Any person who is aggrieved by the terms of a stop order issued under subsection (3)or, any order given by a police officer under subsection (4), may appeal to the Ministerwhose decision on the matter shall be final.[s. 40]
[FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold]
44. P ower to disperse assemblies and processions wherever held​
[/FONT][/FONT][/FONT]
The officer in charge of Police may stop or prevent the holding or continuance of anyassembly or procession in any place whatsoever if, in the opinion of such officer the holdingor continuance, as the case may be, of such assembly or procession breaches the peace orprejudices the public safety or the maintenance of peace and order and may, for any of thepurposes aforesaid, give or issue such orders as he may consider necessary or expedient,including orders for the dispersal of any such assembly or procession as aforesaid.[s. 41]​
[FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold]
45. W hen assembly or procession unlawful​
[/FONT][/FONT][/FONT]
Any assembly or procession in which three or more persons attending or taking partneglect or refuse to obey any order for dispersal given under the provisions of subsection (4)of section 43 or section 44, shall be deemed to be an unlawful assembly, within the meaningof section 74 of the Penal Code *(9).[s. 42]​
[FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold][FONT=Arial,Bold]
46. P enalties​
[/FONT][/FONT][/FONT]
(1) Any person who–(a) neglects or refuses to obey any order given or issued under the provisions ofsubsection (4) of section 43 or section 44; or(b) contravenes any particular specified by the Minister in accordance with paragraph(c) of subsection (1) of section 43,shall be guilty of an offence and may be arrested without a warrant and shall be liable onconviction to a fine not exceeding fifty thousand shillings or to imprisonment for a term notexceeding three months or to both such fine and imprisonment.(2) Subject to the provisions of any order made under subsection (5) of section 43, whereany assembly or procession in a public place has been convened, collected, formed ororganised otherwise than in accordance with subsection (1) of section 43–(a) every person taking part in convening collecting, forming or organising suchassembly or procession shall be guilty of an offence and may be arrested without awarrant and shall be liable on conviction to a fine not exceeding two hundredthousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding one year or to bothsuch fine and imprisonment;(b) every person attending such assembly or taking part in such procession, whoknows or has reasons to believe that such assembly or procession has beenconvened, collected, formed or organised otherwise than in accordance with theprovisions of subsection (1) of section 43, shall be guilty of an offence and may bearrested without a warrant and shall be liable on conviction to a fine not exceedingone hundred thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding six​
months or to both such fine and imprisonme
 
Watanzania wenzangu tujitokeze kuunga mkono wenzetu cuf bila kujali itikadi za vyama shime tanzania tuwai ubungo watuue tena kesho mm si cuf ila nimelaani kitendo cha kinyama kilichofanywa na police kuua ndugu zetu wamezoea tayari wana hamu ya ku ua ua tukiacha watakuja kutuvua hata nguo mbele za mama zetu atutaki uonevu hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii........sawa kwa wote asiependa haki huyo si mwenzetu ingawa yupo kwetu
 
my support katika kudai haki,usawa na mabadiliko ya kifikra na maendeleo ni kwa kiwango cha maelezo ya poem hii,niliandika nikiwa nasubiri kuingia chuo kikuu.........................................................




MARCH WE IN LINES;

March we in lines​
Harmlessly, we no soldiers​
But disciplined:​
To face our common foe​
Our arms are slogan on posters​
That annoys them, with the crown​
The furious murderous faces​
Trained to kill and detain:​
With fire arms and tanks​
We are not afraid of the whip and torture​
A thousand bullets with a million deaths​
We must die for the changes we aspire​
March we in lines bravely to face death​
And get what we most desire​
Though we know the first bullets will grant us death​
For this dirty life we lead​
Let the first bullet be upon my head:​
Cc 2005​
 
Chadema yasemekana imekosa sababu ya kufanya maandamano dsm. Wakati mambo ya kutetea watanzania dsm yapo mengi.yapuuza imani yake katika maandamano ya dsm.kiongoz mmoja wa cdm akesha ofc za igp kumwambia 'ukiruhusu cuf waandamane na cc tutaandamana fanyeni lolote muwezalo kuhakikisha cuf awaandamani,'igp hamshangaa amwambia aliekutuma siku zake zina hesabika.[/QUOTE

vipi ulikuwa unafukuzwa? naona umeandika msg ukiwa unahemahema.
 
Ah … Kumbe mandamano ya CHADEMA ni Muhimu
Nimekuwa nikifuatilia hoja zinazoibuliwa na CHADEMA nyakati mbalimbali na pia wakati wa mandamano ambayo Ah … Kumbe mandamano ya CHADEMA ni Muhimu
Nimekuwa nikifuatilia hoja zinazoibuliwa na CHADEMA nyakati mbalimbali na pia wakati wa mandamano ambayo
yamefanyika maeneo mbalimbali ya nchi. Mfano:-

Suala la bei ghali ya bidhaa na ugumu wa maisha: Baada ya Kikwete kuona CDM imeibua suala hili muhimu, alikuja na kusema bei ya sukari ipungue. Baadhi ya sehemu ilipungua na sehemu zingine haikupungua.

Bei ya mafuta (dizeli, petrol na mafuta ya taa): Bajeti ya ahadi iliyowasilishwa hivi karibuni imeonesha kama
inawajali wananchi. Kama serikali ikiweza kusimamia kushuka kwa bei ya mafuta (mfano kufikia 1,600 au 1,800 kwa lita) serikali inaweza kuaminiwa kidogo. Hata hivyo ni kufanyia kazi masuala yanayoibuliwa na CDM.

Suala la mafisadi: Wote tunajua kuwa CCM haina uwezo wa kupambana na mafisadi na kupitia mjumbe wa
Halmashauri kuu ya Taifa ambaye pia ni waziri mkuu, Mizengo Pinda, alisema mafisadi hawawezekani. Lakini kwa sasa CCM inajifanya kuwa inaweza kupambana na mafisadi ili kuwahadaa wananchi. Lakini aliyeibua hoja hii si mwingine ni CDM kwa nyakati mbalimbali.

Katiba mpya: Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana na katika mandamano, CDM walidai uandikwaji wa katiba
mpya ni lazima na ikaungwa mkono na wasomi mbalimbali na wapenda uzalendo. Leo hii bado katiba ni suala nyeti
(hot issue) ambalo si la CDM tena bali la kitaifa. Mpaka Tanzania Law Society (TCS) wameunda kamati maalum ya
katiba na taasisi nyingi zinazojihusisha na haki za binadamu zimeanzisha harakati kuhakikisha uwepo wa katiba
mpya ya Tanzania.

Katika mambo hayo yote, kama CDM wasingeandamana, lini selikali ingetoa tamko juu ya hayo?
Itabidi tuanze kuhakiki ahadi zilizotolewa na wagombea kujua zipi zimetekelezwa na nani bado.
yamefanyika maeneo mbalimbali ya nchi. Mfano:-


Suala la bei ghali ya bidhaa na ugumu wa maisha: Baada ya Kikwete kuona CDM imeibua suala hili muhimu, alikuja
na kusema bei ya sukari ipungue. Baadhi ya sehemu ilipungua na sehemu zingine haikupungua.


Bei ya mafuta (dizeli, petrol na mafuta ya taa): Bajeti ya ahadi iliyowasilishwa hivi karibuni imeonesha kama
inawajali wananchi. Kama serikali ikiweza kusimamia kushuka kwa bei ya mafuta (mfano kufikia 1,600 au 1,800 kwa
lita) serikali inaweza kuaminiwa kidogo. Hata hivyo ni kufanyia kazi masuala yanayoibuliwa na CDM.


Suala la mafisadi: Wote tunajua kuwa CCM haina uwezo wa kupambana na mafisadi na kupitia mjumbe wa
Halmashauri kuu ya Taifa ambaye pia ni waziri mkuu, Mizengo Pinda, alisema mafisadi hawawezekani. Lakini kwa
sasa CCM inajifanya kuwa inaweza kupambana na mafisadi ili kuwahadaa wananchi. Lakini aliyeibua hoja hii si
mwingine ni CDM kwa nyakati mbalimbali.


Katiba mpya: Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana na katika mandamano, CDM walidai uandikwaji wa katiba
mpya ni lazima na ikaungwa mkono na wasomi mbalimbali na wapenda uzalendo. Leo hii bado katiba ni suala nyeti
(hot issue) ambalo si la CDM tena bali la kitaifa. Mpaka Tanzania Law Society (TCS) wameunda kamati maalum ya
katiba na taasisi nyingi zinazojihusisha na haki za binadamu zimeanzisha harakati kuhakikisha uwepo wa katiba mpya
ya Tanzania.


Katika mambo hayo yote, kama CDM wasingeandamana, lini selikali ingetoa tamko juu ya hayo?
Itabidi tuanze kuhakiki ahadi zilizotolewa na wagombea kujua zipi zimetekelezwa na nani bado.

Karibu kwa nyongeza
 
Back
Top Bottom