Mi naona raha mwenzio...kwa raha zangu.Wewe mbona huwa unachakazwa kila siku?
Wanataka picha za kupeleka kwa wafadhili wao ulaya ili waombee pesaMagari yanapita kuhamasisha wananchi
Ili wananchi jumatano waandamane
wao wakae majumbani kwao...
Wanavuta bangiHivi kwanini CHADEMA wanatumia nyimbo za kiingereza ?
Mimi siwakandii chadema kisa ccmWanataka picha za kupeleka kwa wafadhili wao ulaya ili waombee pesa
Nisamehe bure kabisaa😀😀😀Mimi siwakandii chadema kisa ccm
Inshort sipo popote pale najaribu kuongea ukweli...
Na wewe ujitahidi kusimamia ukweli usiwape chama chako sifa za kijingaa
Ukifanya hivyo nitakufundisha karate!