#COVID19 CHADEMA: Chanjo ya COVID-19 iwe ya lazima

Hiyo mandate unayoiongelea Marekani si ya serikali federal au state, ni ya waajiri, shule etc, ambayo nishaizungumzia hapo juu..
Marekani ina vaccine mandates katika taasisi lakini kuna nchi ambazo tayari zina utaratibu huo ulioidhinishwa na serikali zikiwemo baadhi ya nchi za Ulaya kama nilivyosema.

Ufaransa kwa mfano, serikali imepitisha hivi karibuni ulazima wa chanjo kwa baadhi ya watu hususani katika sekta ya afya. Uingereza nayo iko katika uelekeo huohuo hivi sasa. Ugiriki, Urusi nazo zimekwisha fanya hivyo.

Marekani nayo inaelekea huko, tusubiri chanjo zipate full approval. Hali jinsi inavyokwenda, ulazima katika utaratibu wa utoaji wa chanjo utakuwepo na utaongezeka zaidi.
 
Tulazimishwe kwa kuwa yeye kaishadungwa yake au?!...

Chanjo ambayo serikali yenyewe haitaki kubeba dhamana ndo tulazimishwe asee....?!

Au kaka mkubwa kaanza kazi ya kudalalia afya zetu eeeh?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeomba huduma ya utoaji chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19), iwe ya lazima badala ya hiari kama ilivyotangazwa na Serikali...
Mwambie awalazimishe wanasaccos wenzie huko kwenye Saccos ya Chadema.
 
Marekani ina vaccine mandates katika taasisi lakini kuna nchi ambazo tayari zina utaratibu huo ulioidhinishwa na serikali zikiwemo baadhi ya nchi za Ulaya kama nilivyosema.

Ufaransa kwa mfano, serikali imepitisha hivi karibuni ulazima wa chanjo kwa baadhi ya watu hususani katika sekta ya afya. Uingereza nayo iko katika uelekeo huohuo hivi sasa. Ugiriki, Urusi nazo zimekwisha fanya hivyo.

Marekani nayo inaelekea huko, tusubiri chanjo zipate full approval. Hali jinsi inavyokwenda, ulazima katika utaratibu wa utoaji wa chanjo utakuwepo na utaongezeka zaidi.
Una option ya kuacha kazi!
Na hii imetokana na ku avoid unnecessary isolation. Wafanyakqzi wa mahospitali ulaya ndio wanaongoza kwa isolation. Lakini kila mfanyakazi akiwa ameshapata chanjo zote mbili ana haja ya kuji isolate hata kama alikutana na mtu mwenye COVID
 
Alishaona wapi majaribio ya kitafiti yakifanyika kwa lazima, anajua kwa nini wametoa consent form.....au ameshapiga cha Arusha.
 
Nchi hii kuna ufala mwingi sana, ukichunguza vizuri wanaopinga chanjo chanzo ni Gwajima alipoanza kuipinga mwaka jana, mbona chanjo zote tulizochanjwa ni za wazungu?

Kwanini tusiachane nazo?

Hebu pingeni chanjo kwa hoja za kisayansi ili tuwaunge mkono basi?
Chanjo ya corona bado iko kwenye research ndiyo maana hata watengenezaji wamejiondoa kulaumiwa au hata kushitakiwa kama ukiathirika na chanjo yenyewe. Hivyo Serikali haiwezi kuwalazimisha wananchi wake kuchanja chanjo isiyokuwa na uhakika.
 
Marekani ina vaccine mandates katika taasisi lakini kuna nchi ambazo tayari zina utaratibu huo ulioidhinishwa na serikali zikiwemo baadhi ya nchi za Ulaya kama nilivyosema.

Ufaransa kwa mfano, serikali imepitisha hivi karibuni ulazima wa chanjo kwa baadhi ya watu hususani katika sekta ya afya. Uingereza nayo iko katika uelekeo huohuo hivi sasa. Ugiriki, Urusi nazo zimekwisha fanya hivyo.

Marekani nayo inaelekea huko, tusubiri chanjo zipate full approval. Hali jinsi inavyokwenda, ulazima katika utaratibu wa utoaji wa chanjo utakuwepo na utaongezeka zaidi.
Serikali ikilazimisha watu wa sekta ya afya wachanjwe haijawalazimisha raia wachanjwe.

Kwa sababu watu wanaweza kuacha kazi sekta ya afya na wasichanjwe.

Mimi kuna jirani yangu ni nurse anakataa chanjo, kazini wanataka kumfukuza. Lakini hilo halimlazimishi apigwe chanjo, kwa sababu anaweza kuacha kazi akafanya kazi ambayo haimlazimishi apigwe chanjo.

Unaelewa kwamba kanuni za maadili za kitabibu zinakataza mtu kulazimishwa kupigwa chanjo?

Unaelewa kwamba ukishalazimisha chanjo umeshazipa nguvu conspiracy theories nyingi sana zitakazo undermine ufanisi wa chanjo?

Unaelewa kwamba kulazimisha chanjo ni kuvunja haki ya kibinadamu ya mtu?

Unaelewa kitabibu kuna makundi mengi tu ya watu ambao hawatakiwi kupewa chanjo?
 
Una option ya kuacha kazi!
Na hii imetokana na ku avoid unnecessary isolation. Wafanyakqzi wa mahospitali ulaya ndio wanaongoza kwa isolation. Lakini kila mfanyakazi akiwa ameshapata chanjo zote mbili ana haja ya kuji isolate hata kama alikutana na mtu mwenye COVID
Sijaipata vyema hoja yako mwishoni!

Kupoteza kazi ni consequence ya hizo chanjo za lazima. Hakuna anayeacha kazi bila sababu ama shinikizo lolote.
 
Serikali ikilazimisha watu wa sekta ya afya wachanjwe haijawalazimisha raia wachanjwe.

Kwa sababu watu wanaweza kuacha kazi sekta ya afya na wasichanjwe.

Mimi kuna jirani yangu ni nurse anakataa chanjo, kazini wanataka kumfukuza. Lakini hilo halimlazimishi apigwe chanjo, kwa sababu anaweza kuacha kazi akafanya kazi ambayo haimlazimishi apigwe chanjo.

Unaelewa kwamba kanuni za maadili za kitabibu zinakataza mtu kulazimishwa kupigwa chanjo?

Unaelewa kwamba ukishalazimisha chanjo umeshazipa nguvu conspiracy theories nyingi sana zitakazo undermine ufanisi wa chanjo?

Unaelewa kwamba kulazimisha chanjo ni kuvunja haki ya kibinadamu ya mtu?

Unaelewa kitabibu kuna makundi mengi tu ya watu ambao hawatakiwi kupewa chanjo?
Kulazimisha chanjo ninakokusema mimi ni kuhusiana na hizo vaccine mandates. Ukishapitisha mandates kama hizo tayari kuna ulazima wa watu fulani ambao pia ni raia wa nchi husika kuchanjwa hata kama hawataki kuchanjwa.

Katika mazingira hayo, wanaochanjwa wanachanjwa kwa sababu wamelazimika kuchanjwa baada ya masilahi yao (ajira) kuwa hatarini. Hii ni tofauti na mazingira ambayo chanjo ingekuwa ni hiari tu.

Wewe unazungumzia kulazimisha kwa namna gani? Kushikiwa bunduki?
 
Kulazimisha chanjo ninakokusema mimi ni kuhusiana na hizo vaccine mandates. Ukishapitisha mandates kama hizo tayari kuna ulazima wa watu fulani ambao pia ni raia wa nchi husika kuchanjwa hata kama hawataki kuchanjwa.

Katika mazingira hayo, wanaochanjwa wanachanjwa kwa sababu wamelazimika kuchanjwa baada ya masilahi yao (ajira) kuwa hatarini. Hii ni tofauti na mazingira ambayo chanjo ingekuwa ni hiari tu.

Wewe unazungumzia kulazimisha kwa namna gani? Kushikiwa bunduki?
Naongelea alichosema Mbowe.Mbowe kasema hivi.

“Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iweke utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania”

Hapo hakuna mandate ya healthcare. Anaongelea vaccines kuwa lazima kwa Watanzania wote.

This is wrong.

Mtu anatakiwa kuweza kukataa vaccine na asilazimishwe. Achanjwe kwa kukubali mwenyewe bila kushurutishwa.

Serikali ijenge ushawishi mpaka watu wakubali kuchanjwa bila kushurutishwa.

Marekani mimi nimepigiwa simu na idara ya afya ya state yangu wananiomba niende kupiga chanjo. Hawanilazimishi, wananiomba. Nikawaambia mimi nilishachanja miezi minne iliyopita. Nilimaliza second vaccine in March.

Kuna watu hawataki chanjo, hawataki hata kuongezewa damu. Kwa sababu za kidini. Kwa imani yao Jehovah Witnesses hawataki chanjo wala damu.

Hao utawalazimisha wachanjwe na kuvunja haki zao za kiimani?
 
Mbowe anapaswa kucheza na ''appetite '' ya umma na sio facts,hili litaharibu pakubwa
 
Naongelea alichosema Mbowe.Mbowe kasema hivi.

“Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iweke utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania,”

Hapo hakuna mandate ya healthcare. Anaongelea vaccines kuwa lazima kwa Watanzania wote.

This is wrong.

Mtu anatakiwa kuweza kukataa vaccine na asilazimishwe. Achanjwe kwa kukubali mwenyewe bila kushurutishwa.

Serikali ijenge ushawishi mpaka watu wakubali kuchanjwa bila kushurutishwa.

Marekani mimi nimepigiwa simu na idara ya afya ya state yangu wananiomba niende kupiga chanjo. Hawanilazimishi, wananiomba. Nikawaambia mimi nilishachanja miezi minne iliyopita. Nilimaliza second vaccine in March.

Kuna watu hawataki chanjo, hawataki hata kuongezewa damu. Kwa sababu za kidini. Kwa imani yao Jehovah Witnesses hawataki chanjo wala damu.

Hao utawalazimisha wachanjwe na kuvunja haki zao za kiimani?
Hapo sasa inatakiwa Mbowe aulizwe kuwa huo utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania wote ni wa namna gani?

Tusikimbilie kuhukumu kauli ya mtu mapema kwa sababu katika suala la chanjo za lazima, kuna kitu kinachoitwa vaccine mandates ambacho kinafahamika duniani, pia kinafanyika katika nchi nyingi tu tena kwa kufuata taratibu zilizowekwa na WHO.

Kwenye hoja yangu ya mwanzoni kabisa wakati tunajadili nilisema kwamba, hoja kubwa hapa ni kuhusu utekelezaji wa huo "ulazima" anaousema Mbowe, ukizingatia kuwa Tanzania katika suala la Covid iko nyuma ya muda na haijatoa chanjo yoyote rasmi kwa raia yeyote yule hadi sasa ukilinganisha na mataifa mengine ambayo yamekwisha tangulia.

Waandishi wa habari waliokuwa pale, ama pengine hawakuona umuhimu juu ya suala hilo au walisahau kumuuliza chochote kuhusiana na hilo. Labda wajaribu kumtafuta kwa wakati mwingine.
 
Hapo sasa inatakiwa Mbowe aulizwe kuwa huo utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania wote ni wa namna gani?

Tusikimbilie kuhukumu kauli ya mtu mapema kwa sababu katika suala la chanjo za lazima, kuna kitu kinachoitwa vaccine mandates ambacho kinafahamika duniani, pia kinafanyika katika nchi nyingi tu tena kwa kufuata taratibu zilizowekwa na WHO.

Kwenye hoja yangu ya mwanzoni kabisa wakati tunajadili nilisema kwamba, hoja kubwa hapa ni kuhusu utekelezaji wa huo "ulazima" anaousema Mbowe, ukizingatia kuwa Tanzania katika suala la Covid iko nyuma ya muda na haijatoa chanjo yoyote rasmi kwa raia yeyote yule hadi sasa ukilinganisha na mataifa mengine ambayo yamekwisha tangulia.

Waandishi wa habari waliokuwa pale, ama pengine hawakuona umuhimu juu ya suala hilo au walisahau kumuuliza chochote kuhusiana na hilo. Labda wajaribu kumtafuta kwa wakati mwingine.
You carry water for the guy, that much is known!!you want to infringe the rights of individuals under the guise of community safety.this is how dictactorships start... His statement came from a devastating personal experience and not from an objective mind
 
Back
Top Bottom