Kikao kimefanyika saa ngapi, usiku? maana sired yako umeposti saa 4 asubuhi na unatoa maazimio ya kikao kama si kiherehere ni nini.Wakuu nashangaa sana Pro-Chadema JF hawajui habari za ndani za chama chao mpaka Ritz anaingia jikoni kuchukuwa data na kuleta JF subiri basi habari kutoka kwa Tumaini Makene.
Watanzania wepi unaowaongelea? Kama ni hao ninaowajua na mie mbona wanayasubili maandamano ya CDM popote yatakapo anzishwaCHADEMA tupeni burudani, tusije kufika Juni 2012 bila ya maandamano; mie nafurahi mnaposhindwa KUTII SHERIA!! Hatahivyo nawapa pole watanzania wamechoka maandamano yenu yasiyo na tija
Nilitaka kusema hili bora umeniwahi,chadema mara zote si watu wa kuaminika sana hata hivyo.Inashangaza sana Chadema kinamjadili Shibuda kuhusu kuunga mkono posho bungeni wakati huo huo Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika wote wanaendelea kuchukuwa posho bungeni.
vipi?mkuu wa magogoni kashakamilisha list ya mawaziri wapya
Tumaini Makene jitokeze tufahamishe dhumuni la hayo maandamano ni nini?
Tumaini Makene jitokeze tufahamishe dhumuni la hayo maandamano ni nini?
Kikao kimefanyika saa ngapi, usiku? maana sired yako umeposti saa 4 asubuhi na unatoa maazimio ya kikao kama si kiherehere ni nini.
Wanabodi.
Chadema imefanya mkutano wake jijini Dar es Salaam pamoja na mambo mengine ilimjadili John Shibuda kutokana na msimamo wake wa kuunga mkono posho.
Ofisa habari wa Chadema, Tumaini Makene alisema kuwa watatoa taarifa rasmi kuhusu kikao hicho.
Miongoni mwa mambo mengine yaliyojadiliwa na kikao hicho ni kuandaa maandamano nchi nzima.
Ningeshangaa sana wewe kutofautiana na ritz, maana kondoo wote huongozana vichwa chini.Nilitaka kusema hili bora umeniwahi,chadema mara zote si watu wa kuaminika sana hata hivyo.
Sio vikao kumalizika wewe umeleta hata kikao hakijaanza, nafikiri umekurupushwa na simu ya Nepi kuja kuwahi kupost hata mswaki hujapiga, yale yale ya Washili, KJ sana wewe.Mbona kuna habari nyingi za vikao vya vyama zinakuja humu JF kabla ya vikao kumalizika sikukuona kusema kiherehere?
Sio vikao kumalizika wewe umeleta hata kikao hakijaanza, nafikiri umekurupushwa na simu ya Nepi kuja kuwahi kupost hata mswaki hujapiga, yale yale ya Washili, KJ sana wewe.
Wewe unatapatapa tu na CDM huiwezi weye kajilalie zako JK mwenyewe kaishindwa utakuwa wewe mtumwa.Mkuu siku zote mie nadhani upo karibu na chama kumbe ni Chadema-Kata.
Hata hujui kikao kimeanza lini kwa taarifa yako mie napata data za ndani za Chadema kuzidi wewe Chadema-Kata wewe endelea kusubiri muda si mrefu ndio utajua ukweli wa habari ya Ritz.
MTACHONGA SANA LAKINI CCM ITABAKI KUWA NUMBERI ONE SIKU ZOTE MPAKA MWISHO WA DUNIA..ONA WATU NA RAHA ZETU 2FWATE ZAKO SIDA ILI SIWEJE...ona kwenye picha 2nafurahia Maisha Ww kila wakati unalia na kununa2