CHADEMA chama cha kidalali na wapiga dili asema Dr. Slaa

CHADEMA chama cha kidalali na wapiga dili asema Dr. Slaa

Status
Not open for further replies.
Lies never work.

Dr. Slaa hasn't said anything of such kind.

Nashangaa watu wanajadili hoja ya mpuuzi isiyo na supporting evidence yeyote.
Kwa huyo Slaa kwa sasa hata aseme nini kama angesema nani ata msikiliza mtu mzima anayejivunjia heshima kwa kujisaliti kisa mchumba!
 
Hii habari kwanini iletwe na gamba?Msishange hii habari kesho kuripotiwa pia na gazeti la chama cha magamba tu.
 
Hata nilipo taka kufikiria ili nijiunge na chama kimoja wapo cha upinzani nilipata jibu la haraka sana kama vyama vya upinzani vya tz havina viongozi makini na wenye nia ya upinzani wa dhati zidi ya chama tawala ccm.
Nilijiuliza wako wapi hawa..JIDAWI, MAPALALA, LAMWAI, NGAWAIYA, MREMA, MARANDU, WALID AMAN KABARU,TAMBWE HIZA.HAMAD RASHID, SAID ARFI NA LEO DR SLAA.
Hawa ni watu waliojiaminisha kwa wtz kama wao ni viongozi shupavu wanao taka mabadiliko.
Na wtz wakawaamini wakawafuata na wako watz walifungwa waliopata vilema walipoteza wapendwa wao kwa ajili yao lakini leo jiulizeni waliko watu hawa na misimamo yao ya kisiasa.
Ndio maana mm nimeamua kutomuamini kiongozi yeyote yule wa vyama vya upinzani tz.
Waswahili wanamsemo wao.. Jini ukisha lilijua jina lake nirahisi kuliita na kulipandisha.
Sitoshangaa siku nikimuona mbowe au mbatia wakibadilika na wakiwa kama dr slaa na wengine niliotangulia kuwataja.
Nitabaki ccm na nitakuwa wa mwisho kuondoka.
 
Slaa, CHADEMA, Marekani, vyombo vitatu vya habari (havina majina). Source ya habari yenyewe haijawekwa, sijui kama ni mojawapo ya vyombo vya habari vilivyokuwepo wakati wa press conference hiyo ya Dr. Slaa ma vyombo vitatu vya habari.
 
Scan uzirushwe humu. Zilikuwa stakabadhi za kitu gani hasa? Kwa ninajiunga UKAWA kwa tshs... VAT..... Peleka uongo huu kwa wenye akili za kuambiwa
 
Hana chake huo babu. Asijifanye haoni yaliopo ccm.
 
Babu Slaa hawezi kufanya ujinga huo.Isitoshe chama chake anachokipenda kimeshinda urais.
 
Naunga mkono hoja
Chama chetu kimebadilika sana,kinawapa ububge viti maalum akina mama wasio kipigania chama kwa lolote lile

Wanawatosi akina dada waliokuwa hadi wanafungwa jela kwa kukitetea chama!Tuache tu CCM waendelee kushika dola
 
Imezua gumzo nchini humo,?! Yaani cdm ni gumzo Marekani?!!! Acha utapeli wewe
 
Mi nafikiri kuna mambo mengi ya kujadili yenye tija zaidi kuliko kila siku kuanzisha mada za kujadili uchadema na usisiem, uchaguzi umepita , tubadilike wana jf
 
Slaa atoke hapa asituletee risti za Photoshop hapa. Huyu anaogopa usalama wake baada ya usaliti wake kwa Chadema.
 
Hata sasa hivi bado babu kwani amekuwa kijana lini?

Nimecheka sana..Dr bado anaishi kwa mm...huwa wanashirikiana kuandika kuhusu Negative issue za cdm

Hela mbaya saana..huwezi amini Dr.Slaa na MM kama wangesaliti dakika za majeruhi
 
Hivi moderators wameuliza mtoa mada source ya habari hii? Naona watu wanapoteza muda na kutoka povu kwa porojo za kuokota...

JF ya sasa haina moderators uliopata kuwajua kabla...

Siku hizi ukitaka porojo kama hizi we jisogeze JF hutazikosa...
 
Dr.Slaa si mzalendo kwani hana huruma Na watoto wake,hana huruma Na mume Wa Josephine hana huruma Na kanisa katoliki
 
wewe waache wahangaike na ccm ni ile ile wakati hawajui mtu waliyelazimisha hadi akaingia magogoni.atawamaliza wote. Bunduki yao wenyewe itawalipua na hawatakuwa na cha kumfanya as madaraka wamemrundikia wenyewe. ndio maana tunaambiwa siku zote dhuluma hailipi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom