Mambo ya CHADEMA yawe gumzo Marekani??Kwa maana hiyo Edo alilipa hadi kodi kwenye hayo manunuzi??Weka hizo stakabadhi tuzione maanake hakuna maana ya kwenda kuwaonesha wamarekani ilhali wanaokutuhumu ni wamatumbi.
Ni vichekesho hawa ccm huwa wanafanyaga, eti slaa awe na risiti akae nazo hadi leo. Na risiti za nini hasa, ni sawa na mtu kusema ana risiti za mahari. Wanapendaga tu kuchekesha humu jamvini