CHADEMA bila Dr Slaa inawezekana?

CHADEMA bila Dr Slaa inawezekana?

Mwanajamii

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2008
Posts
7,063
Reaction score
71
Kuna kila dalili kwamba CHADEMA hakitamsimamisha DR. SLAA kugombea Urais kupitia Chama hicho mwaka 2015 na kwamba mbadala wake anaandaliwa kutoka ndani ya CCM. Habari zilizopatikana toka ndani ya CHADEMA zinasema, uongozi wa Chama hicho hauridhishwi na utendaji kazi wa Katibu Mkuu huyo kwa kile kinachosemekana kwamba anaingilia shughuli za Chama ngazi za chini kwa mfano MKOA WA KILIMANJARO, uongozi ngazi ya Wilaya na Mkoa hususani BAZIL LEMA, PHILEMON NDESAMBURO, na LUCY OWENYA wanamlalamikia Dr.SLAA kuendesha uchaguzi katika Kata ya NJORO bila kuwashirikisha , ambapo JOHN JOMBA NKOY alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya NJORO na ABDULRAHMAN YUSUF SHARIFF kuwa Katibu. Aidha Dr. SLAA alijaribu kulipa deni la CHADEMA linalokadiriwa kuwa Tsh. Mil.94 kwa TRA, kitendo ambacho Uongozi wa Chama uliona kama huko ni kujipendekeza kwani kuna madeni mengi tena makubwa ya kulipa hasa yale ambayo anayedai ni Mwenyekiti au swahiba zake. Swali ni, je huwenda ukawa mwisho wa Dr. SLAA ndani ya CHADEMA?MAONI YANGU: Watakuwa hawajamtendea haki Dr SLAA kwa vile ni yeye aliyeng’arisha nyota za watu wa aina mbalimbali na hata Chama kikapata idadi kubwa ya wabunge na kufakiwa kuunda kambi ya upinzani bungeni. Toa maoni yako.
 
Ili mradi sasa hivi hamuwezi kulala bila kuota CHADEMA! kweli mmekamatwa pabaya.
 
HIZO DALILI UMEZIPATA WAPI?
Lete mambo yenye vyanzo rasmi!
 
Kuna kila dalili kwamba CHADEMA hakitamsimamisha DR. SLAA kugombea Urais kupitia Chama hicho mwaka 2015 na kwamba mbadala wake anaandaliwa kutoka ndani ya CCM. Habari zilizopatikana toka ndani ya CHADEMA zinasema, uongozi wa Chama hicho hauridhishwi na utendaji kazi wa Katibu Mkuu huyo kwa kile kinachosemekana kwamba anaingilia shughuli za Chama ngazi za chini kwa mfano MKOA WA KILIMANJARO, uongozi ngazi ya Wilaya na Mkoa hususani BAZIL LEMA, PHILEMON NDESAMBURO, na LUCY OWENYA wanamlalamikia Dr.SLAA kuendesha uchaguzi katika Kata ya NJORO bila kuwashirikisha , ambapo JOHN JOMBA NKOY alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya NJORO na ABDULRAHMAN YUSUF SHARIFF kuwa Katibu. Aidha Dr. SLAA alijaribu kulipa deni la CHADEMA linalokadiriwa kuwa Tsh. Mil.94 kwa TRA, kitendo ambacho Uongozi wa Chama uliona kama huko ni kujipendekeza kwani kuna madeni mengi tena makubwa ya kulipa hasa yale ambayo anayedai ni Mwenyekiti au swahiba zake. Swali ni, je huwenda ukawa mwisho wa Dr. SLAA ndani ya CHADEMA?MAONI YANGU: Watakuwa hawajamtendea haki Dr SLAA kwa vile ni yeye aliyeng'arisha nyota za watu wa aina mbalimbali na hata Chama kikapata idadi kubwa ya wabunge na kufakiwa kuunda kambi ya upinzani bungeni. Toa maoni yako.

Very Good,tell them to do fast as they can.Ila siku nyingine acha majungu.
 
vipi ukilala unamuota dr slaa .nani kakutuma kuleta mada hii isio na kichwa wala miguu,,,,cdm inakuwa kila kitu wabunge diwani na ruzuku na kura zinaongezeka kila chaguzi ,,,,kamuulize nape mjipange kwanini perfomance ya ccm inashuka?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kuna kila dalili kwamba CHADEMA hakitamsimamisha DR. SLAA kugombea Urais kupitia Chama hicho mwaka 2015 na kwamba mbadala wake anaandaliwa kutoka ndani ya CCM.
Mkuu inaonyesha uko vizuri sana katika kusoma dalili za kutokea vitu, hebu nisaidie kitu kimoja hapa. Mke wangu anaanza paper za NBAA kesho vipi kuna dalili zozote kwamba atafaulu? na kwa kiwango gani?
 
Na wewe nawe ni Great Thinker?

Kama kila mtu anaamka kitandani na kupost pumba zake za humu sidhani kama tunajadili mambo ya msingi!

tetesi zingine za kwenye mbege tu.
 
Kuna kila dalili kwamba CHADEMA hakitamsimamisha DR. SLAA kugombea Urais kupitia Chama hicho mwaka 2015 na kwamba mbadala wake anaandaliwa kutoka ndani ya CCM. Habari zilizopatikana toka ndani ya CHADEMA zinasema, uongozi wa Chama hicho hauridhishwi na utendaji kazi wa Katibu Mkuu huyo kwa kile kinachosemekana kwamba anaingilia shughuli za Chama ngazi za chini kwa mfano MKOA WA KILIMANJARO, uongozi ngazi ya Wilaya na Mkoa hususani BAZIL LEMA, PHILEMON NDESAMBURO, na LUCY OWENYA wanamlalamikia Dr.SLAA kuendesha uchaguzi katika Kata ya NJORO bila kuwashirikisha , ambapo JOHN JOMBA NKOY alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya NJORO na ABDULRAHMAN YUSUF SHARIFF kuwa Katibu. Aidha Dr. SLAA alijaribu kulipa deni la CHADEMA linalokadiriwa kuwa Tsh. Mil.94 kwa TRA, kitendo ambacho Uongozi wa Chama uliona kama huko ni kujipendekeza kwani kuna madeni mengi tena makubwa ya kulipa hasa yale ambayo anayedai ni Mwenyekiti au swahiba zake. Swali ni, je huwenda ukawa mwisho wa Dr. SLAA ndani ya CHADEMA?MAONI YANGU: Watakuwa hawajamtendea haki Dr SLAA kwa vile ni yeye aliyeng'arisha nyota za watu wa aina mbalimbali na hata Chama kikapata idadi kubwa ya wabunge na kufakiwa kuunda kambi ya upinzani bungeni. Toa maoni yako.

Yawezekana mimi uelewa wangu mdogo kuhusu haya madudu uliyoandika, Je wew unadhani ni kiongozi yupi toka CCM ambaye anaweza kuja kuinajisi CDM ili apigiwe kura na vijana wazalendo wa Tz? Hata kama amengilia hayo mambo kwani kazi ya katibu mkuu kwenye chama ni nini? Nahisi hiyo source yako ya hizi taarifa imeharibiwa na Virus, so jaribu kuiupdates.
 
Peleka majungu hayo kwa wapumbavu wenzako sio hapa kenge usie na maana!
 
Dalili,dalili,dalili,dalili,ndio zinazokuongoza katika maisha yako kuliko hali halisi?
Mhm!Kama ni hivyo kuna kila dalili kuwa una matatizo ya mtindio wa ubongo.
 
Ivi kwann cdm taifa iingilie maamuzi ya ngaz za kata na wilaya?hakuna chain of command ya kueleweka?
 
Hiyo tabia ya kata, kijiji , taifa ndiyo systems za ccm, CDM hatuna mtindo huo,acha kata, kiongozi wa taifa anaweza hata kufungua shina la wakereketwa lenye watu sita tu basi.
 
kuna kila dalili kwamba chadema hakitamsimamisha dr. Slaa kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2015 na kwamba mbadala wake anaandaliwa kutoka ndani ya ccm. Habari zilizopatikana toka ndani ya chadema zinasema, uongozi wa chama hicho hauridhishwi na utendaji kazi wa katibu mkuu huyo kwa kile kinachosemekana kwamba anaingilia shughuli za chama ngazi za chini kwa mfano mkoa wa kilimanjaro, uongozi ngazi ya wilaya na mkoa hususani bazil lema, philemon ndesamburo, na lucy owenya wanamlalamikia dr.slaa kuendesha uchaguzi katika kata ya njoro bila kuwashirikisha , ambapo john jomba nkoy alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa chadema kata ya njoro na abdulrahman yusuf shariff kuwa katibu. Aidha dr. Slaa alijaribu kulipa deni la chadema linalokadiriwa kuwa tsh. Mil.94 kwa tra, kitendo ambacho uongozi wa chama uliona kama huko ni kujipendekeza kwani kuna madeni mengi tena makubwa ya kulipa hasa yale ambayo anayedai ni mwenyekiti au swahiba zake. swali ni, je huwenda ukawa mwisho wa dr. Slaa ndani ya chadema?maoni yangu: Watakuwa hawajamtendea haki dr slaa kwa vile ni yeye aliyeng'arisha nyota za watu wa aina mbalimbali na hata chama kikapata idadi kubwa ya wabunge na kufakiwa kuunda kambi ya upinzani bungeni. toa maoni yako.
hizi ni stori za kwenye vibaraza vya misikiti
 
Kuna kila dalili kwamba CHADEMA hakitamsimamisha DR. SLAA kugombea Urais kupitia Chama hicho mwaka 2015 na kwamba mbadala wake anaandaliwa kutoka ndani ya CCM. Habari zilizopatikana toka ndani ya CHADEMA zinasema, uongozi wa Chama hicho hauridhishwi na utendaji kazi wa Katibu Mkuu huyo kwa kile kinachosemekana kwamba anaingilia shughuli za Chama ngazi za chini kwa mfano MKOA WA KILIMANJARO, uongozi ngazi ya Wilaya na Mkoa hususani BAZIL LEMA, PHILEMON NDESAMBURO, na LUCY OWENYA wanamlalamikia Dr.SLAA kuendesha uchaguzi katika Kata ya NJORO bila kuwashirikisha , ambapo JOHN JOMBA NKOY alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya NJORO na ABDULRAHMAN YUSUF SHARIFF kuwa Katibu. Aidha Dr. SLAA alijaribu kulipa deni la CHADEMA linalokadiriwa kuwa Tsh. Mil.94 kwa TRA, kitendo ambacho Uongozi wa Chama uliona kama huko ni kujipendekeza kwani kuna madeni mengi tena makubwa ya kulipa hasa yale ambayo anayedai ni Mwenyekiti au swahiba zake. Swali ni, je huwenda ukawa mwisho wa Dr. SLAA ndani ya CHADEMA?MAONI YANGU: Watakuwa hawajamtendea haki Dr SLAA kwa vile ni yeye aliyeng’arisha nyota za watu wa aina mbalimbali na hata Chama kikapata idadi kubwa ya wabunge na kufakiwa kuunda kambi ya upinzani bungeni. Toa maoni yako.

Sidhani kama unapata usingizi bila kumeza piriton
 
Ndiyo hawa NYERERE alisema. Hivi ukimuona Slaa mtaani na Mama yako utasema "kuna dalili kuwa Dr. Slaa atakuwa baba yangu wa kufikia....."

Nyerere kweli alijua sana kuwapa watu maneno yake. Waandishi uchwara wa Kenya wakaufyata.
 
Hahahahaa!!
Manina zake za jumla! Wewe bana!
Ndiyo hawa NYERERE alisema. Hivi ukimuona Slaa mtaani na Mama yako utasema "kuna dalili kuwa Dr. Slaa atakuwa baba yangu wa kufikia....."

Nyerere kweli alijua sana kuwapa watu maneno yake. Waandishi uchwara wa Kenya wakaufyata.
 
Back
Top Bottom