serikali ya CCM imeshindwa kabisa kutatua kero mbalimbali za waislam nchini,
Kuna kelele nyingi zinapigwa kuwa CHADEMA kina mtizamo hasi katika mambo ya Waislam,
sasa maoni yangu ni kuwa CHADEMA ahidini kutatua kero za waislam ili kuondoa fikra hizo,
na pia kuongeza wapiga kura wengi zaidi wa chama hicho.
Kuna kelele nyingi zinapigwa kuwa CHADEMA kina mtizamo hasi katika mambo ya Waislam,
sasa maoni yangu ni kuwa CHADEMA ahidini kutatua kero za waislam ili kuondoa fikra hizo,
na pia kuongeza wapiga kura wengi zaidi wa chama hicho.