Tinker, nyinyi ndio mnao tuharibia jf yetu!. Mzee Edwin Mtei amepost as a member na mawazo yake ni yake binafsi na sio ya Chadema!. Kuyatumia mawazo yake na kuyalazimisha ndio yawe ya Chadema ni kuto mtendea haki!. Huku ni kumlisha maneno mdomoni na kumsingizia na hata kumuogopesha kuwa next time kila atakacho sema yeye kitachukuliwa ndio msimamo wa Chadema wakati sii kweli, huku ni kuingilia uhuru wa member humu!.I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.
sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.
Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.
Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.
Yeah waacha wawe wengi kama watatoa Mapendekezo Mazuri, Miafaka Mizuri sidhani hiyo ni Tatizo
Mnakumbuka Kenya? Walikuwa na Wahindi Majaji wawili ambao ndio viongozi wa Muafaka wa Katiba ndio wao waliokuwa
na Mawaidha ya Mwisho Angalia Katiba ya Kenya Ilivyotoka hakuna aliyeipinga kila mtu anaikumbatia
Wahindi Kenya ni alilima 2 ya Ididi ya Wananchi wa Kenya lakini wametoa Katiba bora kwa Wananchi wa Aina yote wa
Kenya
Tusihangaike na nani na nani katajwa, kitu tunataka ni nini kilichoko akilini mwano kitaisaidia Taifa la Tanganyika na
Zanzibar
Na Sio Maumbile yao Unene wao, Mapaja yao, Vidole Vyao... lakini ukiwafinya hao woote watatokwa na damu nyekundu?
Binafsi sijapata kauli kamili aliyoitoa mzee wetu Mtei (CHADEMA founder) lakini kutokana na malalamiko ya wengi waliochangia thread hii inaonyesha kwama amezungumzia uwakilishi wa tume kaktika mtazamo wa kibaguzi kidini.mtei anatakiwa apumzike siasa amezeeka mno!anaanza kurudi utotoni,cdm wawe makini na maneno yake sometimes
pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei
I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.
sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.
Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.
Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.
Wameshaanza kulewa sifa hao ss mtei anasema eti ina waislam wengi alitaka wawekwe watu wa kaskazin nn........ am very much disapointed ckutegemea huyu mzee anaweza kutoa mawazo mufilisi kama hayo......
Huyu mtu anaitwa PASKO ni nani hasa kati ya watanzania miliona45?.
ni kweli kabisa hiyo tume inawalakini,haiwezekani tume kati ya wati 15 wa 4 tu ndiyo wakristu,hapo lazima twe na wasiwasi sana tu. Mimi siyo mkristu lakini hawa wenzetu lazima wawe na wasiwasi kwa uchaguzi huu. Tuweke embeni hisia zetu na utofati wetu na tutendee wenzetu haki.ingekuwa ni sisi waislamu ninavyo jua tungepiga kelele misikitini mpaka basi.nisawa tume pendelewa lakini pendeleo hu sio wa haki tunahitaji uwasawa katika kila eneo.hi ni katiba ya wananchi wote,nani moyo wa nchi tunataka itungwe kwa makini na isiache lawama kwa hata mmoja wetu.nilifahamu hili lazima litokee,sicho taka kutendewa usintendee mwenzako na kkimbilia HOJA YA UDINI,
Hoja hii niya msingi wenzetu wasikilizwe.
Kimsingi almost wajumbe wote ni waislamu. Lazima kuna ajenda ya siri hapa. Yeyote anayejifanya haoni hii atakuwa muislam pia hivyo anatetea waislam wenzake.
Huu udini ni mbaya sana, ikizingatiwa anayefanya hivi ni Rais mwenyewe. Narudia tena karibuni wajumbe wote ni Waislamu, hapa kutakuwa na maslahi ya waislamu au wanataka katiba kama ya Nigeria na nchi nyingine za Kiislamu.
Siungi mkono wajumbe wengi kuwa waislamu.
Tinker, nyinyi ndio mnao tuharibia jf yetu!. Mzee Edwin Mtei amepost as a member na mawazo yake ni yake binafsi na sio ya Chadema!. Kuyatumia mawazo yake na kuyalazimisha ndio yawe ya Chadema ni kuto mtendea haki!. Huku ni kumlisha maneno mdomoni na kumsingizia na hata kumuogopesha kuwa next time kila atakacho sema yeye kitachukuliwa ndio msimamo wa Chadema wakati sii kweli, huku ni kuingilia uhuru wa member humu!.
Pili wengi wamemjibu Mzee Mbowe, why umeni quote mimi tuu?!. Huu ni uchonganishi!. Kwa vile mimi najulikana wazi msimamo wangu, na tumeisha wahi kutofautiana na baadhi ya misimamo ya Chadema, hapa umenitumia mimi ili kuwa provoke Chadema kuwa Pasco ametofautiana na Muasisi wao, ili kuendelea kujiaminisha mimi ni CCM damu kwa hiyo nitapingana na chochote cha Chadema no matter ni kizuri kiasi gani!.
Mode: Fungilia mbali thread ni ya uzandiki, uchochezi na uchonganishi!.
Tulikuwa na kina Zitto, Dr. Slaa, Nape, Dr Kigwa etc kama regulars sasa wanakuja once in a while kwa sababu ya kuvunjiwa heshima, au mawazo yao kutotendewa haki, tusiiache hali hii kuendelea tutawapoteza kuweapoteza wana jf wachache muhimu hata kama tutaingiza wengine kwa mamia!
pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei
I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.
sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.
Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.
Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.
nchi hii ina watu wa ajabu sana.
kwani ni uwongo kusema kuwa Waislam ni wengi kwenye tume ya katiba?
kwani ni dhambi kusema kuwa wakristo wa zanzibar wamebaguliwa?
Huu udini hautaisaidia CCM, CDM au CUF. Ila kwa kuuongelea udini wa CDM zaidi muathirika anakuwa ni CCM. I hope CCM strategists know that. On one hand wanawaunganisha wakristo na kuwaamsha kuunga mkono chama fulani at the same time waislam wote wenye uelewa kama mimi tutajiunga na CDM na CCM itakuta imebakia na waislam wachache ambao watagawana na CUF. Tuache udini tuangalie uwezo wa mtu, Tume haina mamlaka ya kutoa final product ya katiba, kama kutakuwa na vipengere vya kupendelea dini fulani basi hatutaipigia kura ya NDIYO hiyo rasimu.
pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei
I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.
sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.
Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.
Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.
idadi ya wakristo Znz ni ndogo kuliko ya baniani hapa bara je baniani nao walilie mwakilishi? Basi htakuwa kazi ya ajabu au mzee Mtei aje na tume itayojumuisha uwakilishi wa kidini,kikabila,rangi,jinsia,kikanda,taaluma,kipato ili kupunguza manung'uniko then JK aibariki hiyo tume yenye mchanganyiko huo,tulitegemea haya madai yatolewe na Chadema masalia sio mzee kama huyu ambae tuliamin ni kisima cha busara kumbe bwawa la chuki!Wakristo wa Zanzibar walistahili kupewa uwakilishi pia. Uwepo wao hauwezi kuwa neglected kiasi hicho. Tukubalini ukweli,
tume ina mapungufu fulani.
Huu udini hautaisaidia CCM, CDM au CUF. Ila kwa kuuongelea udini wa CDM zaidi muathirika anakuwa ni CCM. I hope CCM strategists know that. On one hand wanawaunganisha wakristo na kuwaamsha kuunga mkono chama fulani at the same time waislam wote wenye uelewa kama mimi tutajiunga na CDM na CCM itakuta imebakia na waislam wachache ambao watagawana na CUF. Tuache udini tuangalie uwezo wa mtu, Tume haina mamlaka ya kutoa final product ya katiba, kama kutakuwa na vipengere vya kupendelea dini fulani basi hatutaipigia kura ya NDIYO hiyo rasimu.