Kimsingi almost wajumbe wote ni waislamu. Lazima kuna ajenda ya siri hapa. Yeyote anayejifanya haoni hii atakuwa muislam pia hivyo anatetea waislam wenzake.
Huu udini ni mbaya sana, ikizingatiwa anayefanya hivi ni Rais mwenyewe. Narudia tena karibuni wajumbe wote ni Waislamu, hapa kutakuwa na maslahi ya waislamu au wanataka katiba kama ya Nigeria na nchi nyingine za Kiislamu.
Siungi mkono wajumbe wengi kuwa waislamu.
CDM km akil zenu wakat wote zinafikir udini basi hamtufai kbs kuongoza nchi hii