Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Samata hajawatungua safari hii wanabahati
Huyu B hamadi ni wa kwao au wetu ?
mpira umekwisha stars 2 na chad 1[/QUOTE
vizuri stars, yale mambo ya kulegeza ugenini then uje kukomaa nyumbani hayafai kabisa......tunatumaini game la marudiano mtamaliza kazi.