mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,071
- 7,793
Remi ongola aliimba "wemaaa kweli wema kumanyooooko"!.
Kabla ya kuomba kitu lazima ufikirie cha kutoa in return. Kinyume na hapo lazima nyama kwa nyama ihusike haijalishi wew ombaomba na unae muomba mnajinsia zipi. Mjini toa upewe, weka uwekwe, au jaza ujazwe!?
Punguzeni sana wema , Kila mtu ana mtu wake muhimu kuliko wewe..!!!adiossssssss!
Kabla ya kuomba kitu lazima ufikirie cha kutoa in return. Kinyume na hapo lazima nyama kwa nyama ihusike haijalishi wew ombaomba na unae muomba mnajinsia zipi. Mjini toa upewe, weka uwekwe, au jaza ujazwe!?
Punguzeni sana wema , Kila mtu ana mtu wake muhimu kuliko wewe..!!!adiossssssss!