Mkuu ktk tangazo kama walikutaka ufanye hivyo nadhani itakufanya ukose sifa.
Inamaana ukifanya hivyo unakuwa nauhakika wa kupata kazi au huu ni mwendelezo wa kuendelea kutuchukulia hata hizi hela kidogo tulizo nazo,lakin nakushauri fata wanachotaka,sijui ni kweli waliosema "mtaka cha uvunguni sharti ai............