Eli24
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 165
- 361
Habari za Jioni wana JF,
Moja Kwa moja Naomba niende kwenye mada yangu napenda kufahamu kitu flani hvi- Kuna jamaa angu aliomba kazi US- Embassy hapa DSM na akafanya usaili wa kingereza akapita, akafanya usahili wa kazi yenyewe nayo ameonekana kupita maana ameshakabidhiwa conditional offer letter lakini cha kushangaza sasa hivi ameitwa kufanya security interview.
Nakuja kwenu kuuliza watu waliwahi kufanya kazi huku US embassy au usahili hvi hii security interview ikojeee na Je kama mtu anataka kujitayarishaaa material anapata wapi maana nimesearch naye YouTube na google mpk sasa ni bila bila.
Tunaomba msaada wenu wabobezi wa haya mambo.
Moja Kwa moja Naomba niende kwenye mada yangu napenda kufahamu kitu flani hvi- Kuna jamaa angu aliomba kazi US- Embassy hapa DSM na akafanya usaili wa kingereza akapita, akafanya usahili wa kazi yenyewe nayo ameonekana kupita maana ameshakabidhiwa conditional offer letter lakini cha kushangaza sasa hivi ameitwa kufanya security interview.
Nakuja kwenu kuuliza watu waliwahi kufanya kazi huku US embassy au usahili hvi hii security interview ikojeee na Je kama mtu anataka kujitayarishaaa material anapata wapi maana nimesearch naye YouTube na google mpk sasa ni bila bila.
Tunaomba msaada wenu wabobezi wa haya mambo.