Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,349
- 13,085
CEO wa Simba Bibi Barbara Gonzalez hataki kufananishwa na Ndugu Senzo Mbatha mshauri wa mabadiliko ndani ya klabu ya Yanga. Katika kutilia mkazo hilo akasema hawezi kubali kufananishwa na Senzo sababu Senzo sio class yake na anaamini katika uwezo wake.
Kitu ambacho kina mantiki ili wapate kufananishwa yapasa yeye na na Senzo wawe on the same class aidha Senzo awe CEO na sio mshauri au Barbara awe Mshauri kama Senzo la sivyo they are not on the same class.
Kitu ambacho kina mantiki ili wapate kufananishwa yapasa yeye na na Senzo wawe on the same class aidha Senzo awe CEO na sio mshauri au Barbara awe Mshauri kama Senzo la sivyo they are not on the same class.