Kwa wale waliosoma alichokiandika aliyekuwa CEO wa Simba na Yanga Senzo atawaonea huruma Yanga wakienda Afrika Kusini Wiki ijayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,876
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Mikia poleni sana
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Rejea uzi wako ulioandika baada ya mechi na pyramid
 
Marumo kukosa bao la ugenini huku wakiwa wamefungwa goli 2, ni disadvantage kubwa sana na kwao ni advantage kubwa sana kwa Yanga.

Yanga hawezi kwenda kupaki basi South, sana sana atapambana kupata bao la ugenini na hapo Marumo atakuwa na kazi ngumu sana kupindua meza.
Sawa Chambuzi Popoma la JamiiForums.
 
Back
Top Bottom