GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.
Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.
Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.