gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Wana jamvi,
I was thinking that we real need to have center for new technologies or emerging technologies here in Tanzania. Nimejaribu kuangalia kwa nchi kama Kenya, Cameroon, Nigeria Ghana na nyinginezo za Afrika wanazo hizi center tena ambazo zinadevelop kwenye applied researches kuliko hapa kwetu ambako tafiti zetu nyingi ni promotional kind of research.
Aina ya centre, kwa mtazamo wangu nafikiri iwe ni center ambayo wanafunzi wa sayansi hasa wa levels za masters na PHD watakuwa sponsored kufanyia tafiti zao na kuwe na vifaa vizuri na vya kisasa na mwisho wa siku kila kazi ya kisayansi ituletee product sokoni kwa manufaa ya mwanafunzi mwenyewe na taifa lenyewe.
Mfano: Mwanafunzi wa physics anapoweza kutengeneza polymers kwa kutumia x-ray diffractions na polymer hii yaweza kutumika kwa matibabu so mwanafunzi ataweza kuipatent na kupata hela huku akisaidia taifa kwa usomi wake.
Naombeni mchango wenu, juu ya hili na pia kama mnaafiki basi tujadili tuanzie wapi manake watu wa ku-collaborate nao wapo na wanatamani ila kwa hapa kwetu sijui nianzie wapi.
I was thinking that we real need to have center for new technologies or emerging technologies here in Tanzania. Nimejaribu kuangalia kwa nchi kama Kenya, Cameroon, Nigeria Ghana na nyinginezo za Afrika wanazo hizi center tena ambazo zinadevelop kwenye applied researches kuliko hapa kwetu ambako tafiti zetu nyingi ni promotional kind of research.
Aina ya centre, kwa mtazamo wangu nafikiri iwe ni center ambayo wanafunzi wa sayansi hasa wa levels za masters na PHD watakuwa sponsored kufanyia tafiti zao na kuwe na vifaa vizuri na vya kisasa na mwisho wa siku kila kazi ya kisayansi ituletee product sokoni kwa manufaa ya mwanafunzi mwenyewe na taifa lenyewe.
Mfano: Mwanafunzi wa physics anapoweza kutengeneza polymers kwa kutumia x-ray diffractions na polymer hii yaweza kutumika kwa matibabu so mwanafunzi ataweza kuipatent na kupata hela huku akisaidia taifa kwa usomi wake.
Naombeni mchango wenu, juu ya hili na pia kama mnaafiki basi tujadili tuanzie wapi manake watu wa ku-collaborate nao wapo na wanatamani ila kwa hapa kwetu sijui nianzie wapi.