Abuubakar munis
Member
- Dec 14, 2011
- 51
- 5
Hivi yule m'TZ aliyekua anatengeneza helikopta ameishia wapi ??
Kama inaanzishwa iwe imebase in private mode coz government facility zote naona kama zimefail, then again our companies have to embrace R&D, because wao ndio wanunuzi wakuu wa technology!
uko sahihi lakin sasa wafikir tufayeje ili kushawish serikali yetu tuwe na tafiti zenye tija??? nimejiuliza sana kwann wengi hata wanasayansi mwisho wa siksu wanakimbilia kufanya tafiti ambazo ni za social sciences like factors........... ama ways to............... nilio ongea nao walinijibu sisi tunafanya hizi manake msuli wake ni mdogo na mwisho wa siku na graduate na situmii hela na huyu anayesema haya unakuta ni mfamasia ama ni muhandisi. nikajisemea hivi ingekuwa tafiti hizi ni industrial based mtu anakomaaa lkn mwisho wa siku anapata cheti na bidhaa iko sokoni wafikiri wangekuwa wavivu?? wasomi hasa wanafunzi wa vyuo vyetu wanajaituma sana kama tu wakitengenezewa mazingira mazuri ya kujituma na kupata faida.
sasa hapo umeongea, but am sure kwenu matokeo ya utafiti wenu yatamzalishia aliye wa-fund hela zaid ya hizo. labda nikuulize swali kuna sababu gani ya mtu kama wa chemi cotex kuagiza lysosome nje ya nchi kitu ambacho mfamasia anaweza kumtengenezea maabara tena akiwa hapo kiwandan mwake je wafikiri anapata hasara kiasi gani???Nakubaliana na wewe kabisa most reaseach zinafanyika bongo ni za namna hiyo but then again funding ni critical sana to get a good research nakupa mfano currently am working on fatigue of composite materials and my department estimate it will cost around $100000 for the three of us to have good data! Our companies have to play a major role in this, let us start there, we convince them they need research once they avail money quality research will follow
Wana jamvi,
I was thinking that we real need to have center for new technologies or emerging technologies here in Tanzania. Nimejaribu kuangalia kwa nchi kama Kenya, Cameroon, Nigeria Ghana na nyinginezo za Afrika wanazo hizi center tena ambazo zinadevelop kwenye applied researches kuliko hapa kwetu ambako tafiti zetu nyingi ni promotional kind of research.
Aina ya centre, kwa mtazamo wangu nafikiri iwe ni center ambayo wanafunzi wa sayansi hasa wa levels za masters na PHD watakuwa sponsored kufanyia tafiti zao na kuwe na vifaa vizuri na vya kisasa na mwisho wa siku kila kazi ya kisayansi ituletee product sokoni kwa manufaa ya mwanafunzi mwenyewe na taifa lenyewe.
Mfano: Mwanafunzi wa physics anapoweza kutengeneza polymers kwa kutumia x-ray diffractions na polymer hii yaweza kutumika kwa matibabu so mwanafunzi ataweza kuipatent na kupata hela huku akisaidia taifa kwa usomi wake.
Naombeni mchango wenu, juu ya hili na pia kama mnaafiki basi tujadili tuanzie wapi manake watu wa ku-collaborate nao wapo na wanatamani ila kwa hapa kwetu sijui nianzie wapi.
sasa hapo umeongea, but am sure kwenu matokeo ya utafiti wenu yatamzalishia aliye wa-fund hela zaid ya hizo. labda nikuulize swali kuna sababu gani ya mtu kama wa chemi cotex kuagiza lysosome nje ya nchi kitu ambacho mfamasia anaweza kumtengenezea maabara tena akiwa hapo kiwandan mwake je wafikiri anapata hasara kiasi gani???
kimsingi hakuna haja ya viwanda vyetu kubaki kuwa watu wa kuassemble tu wakati twaweza kutumia vichwa vya wasomi wetu kutengeneza products.......... ugumu niuonao ni pesa lkn sasa hebu tuzifanye shule zetu zetu apart from academia but also an industry uone tutakavyopiga bao umaskini???
Exactly my point yani our companies have to embrace R&D first ndio tusonge mbele, there must be close link between researchers and manufacturing!
now i believe in the say that, ugumu wa maisha kipimo cha akili. i was thinking of this just from what am doing and nikajiualiza hivi pangekuwa na mahali pa kuuza ninayoyafanya where will i be?? je nitauza haya wapi?? nikajikuta nabaki kulalamika tu kwamba nala chaki lkn ukweli science exhibition ninazofanya na wanafunzi wangu ni bidhaa tosha kwenye soko la elimu but nauza wapi??I like the idea. However, the main obstable will be funding. Most companies in Tanzania don't invest in R&D. There has to be established a center of excellence/center for technology and science after which both the government and private sectors should fund and promote it. All key players in science and tech filed in this country must be fully comitted and involved e.g. FoE, Tz Tech Comission, Math ans science students and academicians etc.
Addionally, we should aso have schools of math and science for every region in the nation e.g. Dar school of math & science, Arusha, mwanza etc. South Korea is where it is today because of this idea of yours.
Thanks
ngoja nikwambie, unajua hapa wizara ya viwanda na biashara ikiweka sera kwamba technolojia iliyoko ndani itumiwe kwenye viwanda vyetu, na huku watu wa quality assurance wakikazana kuahakiki kiwango cha ubora cha teknolojia husika lazima viwanda vitanunua tu manake kwanza itakuwa ni lazima lkn pia itakuwa ni cheap. ni mtazamo wangu tu niko tayari kukosolewa
That will be kinda trick, kumbuka at the end of the day every company will go for quality so the best way for it to work will be to let companies fund their research that is the practice all over!
haya nashukuru sasa hapa umenielewesha vizuri sasa je wafikir hivi viwanda vitashawishiwa na nani??
now i believe in the say that, ugumu wa maisha kipimo cha akili. i was thinking of this just from what am doing and nikajiualiza hivi pangekuwa na mahali pa kuuza ninayoyafanya where will i be?? je nitauza haya wapi?? nikajikuta nabaki kulalamika tu kwamba nala chaki lkn ukweli science exhibition ninazofanya na wanafunzi wangu ni bidhaa tosha kwenye soko la elimu but nauza wapi??
haya ni kwa mm ambaye ni mwl wa phy na chem sasa kwa mtu baki kama mfamasia na IT specialist?? si zaid yangu?? ama je vipi kwa biotechnologist na microbiologist si watakuwa mbali zaid???
hebu propose tuanzie wapi na real am ready kujitoa mhanga kushinikiza.
Why don't you start by going to register a company or organization, then once you are done wth the registration come back and let's know?