Cement za Dangote zinapatikana wapi?

Cement za Dangote zinapatikana wapi?

Amoflo

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
207
Reaction score
13
Habari wadau, hivi cement za Dangote zimeshaingia kwenye soko la Dar es salaam na wapi zinapatikana?
 
Bado kiwanda hakijaanza uzalishaji.ila tayari kimeshazinduliwa rasmi.
 
ImageUploadedByJamiiForums1444807343.418683.jpg unamaanisha hii mkuu?
 
Kwa nchi hii ilivyo na maajabu, bado wanaruhusu sementi ya nje ya nchi kuingizwa nchini.
 
Hayo ndio madhara ya kua na serikali.inayo ongozwa na mafisadi...

Acha uongo shinda sio serikali ni sisi wenyewe na urafi wetu, nawisho ni rahisi kusingizia serikari, kwani wanaouza bei hio ni serikari?????
 
Acha uongo shinda sio serikali ni sisi wenyewe na urafi wetu, nawisho ni rahisi kusingizia serikari, kwani wanaouza bei hio ni serikari?????

Hujanielewa,nimesema serikali inayo ongozwa na mafisadi.sio serikali by itself.shda iko kwenye aina ya viongozi
 
Back
Top Bottom