Naomba msada kama kuna uwezekano wa kupata kumbumbu za simu nilizo piga au kupigiwa pamoja sms ambazo kwa bahati mbaya nilizifuta kutoka kwenye simu yangu na pia kama kuna uwezekano wa kupata maongezi yaliyo kuwapo na pia kujuwa simu ninayo wasiliana nayo iko sehemu gani niliambiwa kwamba kampuni hizi za simu hurekodi simu zote lakini sijajuwa jinsi ya kupata kumbukumbu hizo