snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
yani alichotendwa konnie na zombie ni zaidi ya matumizi ya kawaida ya mwanadamu!LOL!The new Mtawa Konie....
Lol, sijui wa katoliki au wapi!
Hii single ndio inakutoa Binamu
yani alichotendwa konnie na zombie ni zaidi ya matumizi ya kawaida ya mwanadamu!LOL!The new Mtawa Konie....
Lol, sijui wa katoliki au wapi!
Hii single ndio inakutoa Binamu
mamaaaaaaaa! mi sijaona hii!hakyanani tena sijaona!unafikir uongo?
nataka kujua do's and dont's zake
ili nisije haribu mahali
Nimecheka sana mpaka mama Ngina ananishangaa................
sa si bora kutamka mbona na kuitenda sioni aibu!ah na mi bana sumtyms yes aza tyms no!ah twende tu!mbona ni rahisi sana kwako kutamka neno SEX, sasa tofauti iko wapi.....?
kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili sanifu nitakupa tafsiri:
Jamii- Ingilia mwanamke; t.o.m.b.a
~ia, ~ika, ~isha, ~iwa, ~iana.
Do's na Dont's zake zinategemea na jinsia, sasa sijui jinsia yako na ndio maana nashikwa na kigugumizi...
Hahahahahahaaaaaaa... Kiswahili kigumu sijawahi ona!!! Maana hapa najiuliza kuingilia mwanamke kwa kutumia nini na wapi? Mathalani nikiingiza vidole ukeni mwake kwa lengo la kumtekenya, nimemjamia? Akilamba uume wangu kwa lengo la kunitekenya, amenijamia, au tumejamiana? Nikiingiza ulimi wangu masikioni mwake, au mdomoni mwake, nimemjamia? Au lazima sehemu za mwili ndizo ziingiliane?
Hahahahahahaaaaaaa... Kiswahili kigumu sijawahi ona!!! Maana hapa najiuliza kuingilia mwanamke kwa kutumia nini na wapi? Mathalani nikiingiza vidole ukeni mwake kwa lengo la kumtekenya, nimemjamia? Akilamba uume wangu kwa lengo la kunitekenya, amenijamia, au tumejamiana? Nikiingiza ulimi wangu masikioni mwake, au mdomoni mwake, nimemjamia? Au lazima sehemu za mwili ndizo ziingiliane?
Hebu ngoja nitafute neno "t.o.m.b.a" kwenye hili kamusi langu maana lina vumbi mbaya, lazima nivae mask kwanza...
kujamiiana kunaweza fanywa na any person with no regard kua ni mwana ndoa or not bt tendo la ndoa ni specifically kwa wanandoa simply ni kwa wale waliofunga pingu za maisha, upo hapoKujamiiana na kwenyewe hakuna definition kamili mkuu... au nimekosea?