Kwanini bungeni wanapendekeza vitu ambavyo si vipaumbele?

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Hawa wabunge wanawasemea wananchi gani huko bungeni?
Au wana taifa lao siyo hili la Tanzania?
IQ ya wabunge hawa ipoje,kuna vitu ni vipaombele kwa sasa vinaumiza wananchi.

Unazungumzia vazi la taifa kwani inaliwa?kuanzia 2014 mnahangaika nalo yaani miaka 10 siyo kama ni kutafuta ulaji ni nini au hilo vazi mtaligawa bure.

Unazungumzia chuo cha uchambuzi wa michezo inasaidia nini badala ya Academy .

Unaacha kuzungumza kuhusu umeme tunakaa kwenye giza bishara haziendi unazungumzia picha ya mama kuwekwa kwenye sarafu,akili gani hizi?

Tunahitaji umeme wa uhakika, bei ya sukari ishuke, ajira n.k.

Mbunge kama hana hoja si atulie kuliko kuongea mashudu.
 
Mtu anapendekeza jambo lenye maslahi madogo kwa nchi ila lina gharama kubwa kwa wananchi...
Kama kuweka picha kwa pesa!!!
 
Kuna mwingine ameibuka leo na hoja mfu ya kuweka picha ya Samia kwenye noti za Tanzania eti ndio mwanamke wa kwanza Tanzania kuwa Rais....Hivi anajua kwa nini Bibi Titi Mohamed hayupo hata kwenye sarafu za Tanzania kama hoja ni uanauke kwenye siasa?

Hivi kweli tunahitaji kuwa na wanasiasa wenye akili hizi za kitoto kutuamulia mambo yanayogusa maslahi ya wengi?

Naamini BOT kuna wataalamu ambao wako vizuri kichwani, hawako pale kwa fadhira na kujuana hawatakubaliana na upuuzi huu.
 
Hawa wabunge wanawasemea wananchi gani huko bungeni?
Au wana taifa lao siyo hili la Tanzania?
IQ ya wabunge hawa ipoje,kuna vitu ni vipaombele kwa sasa vinaumiza wananchi.

Unazungumzia vazi la taifa kwani inaliwa?kuanzia 2014 mnahangaika nalo yaani miaka 10 siyo kama ni kutafuta ulaji ni nini au hilo vazi mtaligawa bure.

Unazungumzia chuo cha uchambuzi wa michezo inasaidia nini badala ya Academy .

Unaacha kuzungumza kuhusu umeme tunakaa kwenye giza bishara haziendi unazungumzia picha ya mama kuwekwa kwenye sarafu,akili gani hizi?

Tunahitaji umeme wa uhakika, bei ya sukari ishuke, ajira n.k.

Mbunge kama hana hoja si atulie kuliko kuongea mashudu.
Mara ushoga sijui inatusaidia nini
 
Hawa wabunge wanawasemea wananchi gani huko bungeni?
Au wana taifa lao siyo hili la Tanzania?
IQ ya wabunge hawa ipoje,kuna vitu ni vipaombele kwa sasa vinaumiza wananchi.

Unazungumzia vazi la taifa kwani inaliwa?kuanzia 2014 mnahangaika nalo yaani miaka 10 siyo kama ni kutafuta ulaji ni nini au hilo vazi mtaligawa bure.

Unazungumzia chuo cha uchambuzi wa michezo inasaidia nini badala ya Academy .

Unaacha kuzungumza kuhusu umeme tunakaa kwenye giza bishara haziendi unazungumzia picha ya mama kuwekwa kwenye sarafu,akili gani hizi?

Tunahitaji umeme wa uhakika, bei ya sukari ishuke, ajira n.k.

Mbunge kama hana hoja si atulie kuliko kuongea mashudu.
Mkuu
Unajua kabisa waliopo Bungeni hawakuingia kwa kura zetu.

Wanatekeleza matakwa ya aliyewaingiza Bungeni.

Tukipata Katiba Mpya ndipo tutakuwa na Bunge la wananchi
 
Kuna mwingine ameibuka leo na hoja mfu ya kuweka picha ya Samia kwenye noti za Tanzania eti ndio mwanamke wa kwanza Tanzania kuwa Rais....Hivi anajua kwa nini Bibi Titi Mohamed hayupo hata kwenye sarafu za Tanzania kama hoja ni uanauke kwenye siasa?

Hivi kweli tunahitaji kuwa na wanasiasa wenye akili hizi za kitoto kutuamulia mambo yanayogusa maslahi ya wengi?

Naamini BOT kuna wataalamu ambao wako vizuri kichwani, hawako pale kwa fadhira na kujuana hawatakubaliana na upuuzi huu.
Raisi aliangukiwa na bahati ndo tumwekee hadi kwa not zetu jamani na alivyo kilaza ww kupindukia
 
Hawa wabunge wanawasemea wananchi gani huko bungeni?
Au wana taifa lao siyo hili la Tanzania?
IQ ya wabunge hawa ipoje,kuna vitu ni vipaombele kwa sasa vinaumiza wananchi.

Unazungumzia vazi la taifa kwani inaliwa?kuanzia 2014 mnahangaika nalo yaani miaka 10 siyo kama ni kutafuta ulaji ni nini au hilo vazi mtaligawa bure.

Unazungumzia chuo cha uchambuzi wa michezo inasaidia nini badala ya Academy .

Unaacha kuzungumza kuhusu umeme tunakaa kwenye giza bishara haziendi unazungumzia picha ya mama kuwekwa kwenye sarafu,akili gani hizi?

Tunahitaji umeme wa uhakika, bei ya sukari ishuke, ajira n.k.

Mbunge kama hana hoja si atulie kuliko kuongea mashudu.
Nini kifanyike?
 
Back
Top Bottom