Celebrity aliye mzuri kupita wote hapa Bongo ni huyu

Sanchi kweli ana tako la kufa mtu lakini uzuri hana kuna tofauti kati ya mwanamke mwenye tako na mwanamke mzuri mkuu hebu tafakari kidogo.

Mkuu inaonekanwa wewe ni wale wanaobabaika na rangi nyeupe, mana huyo demu mimi sijaona kitu kabisa.

Na kuhusu tako mkuu, hivi wewe kipimo cha uzuri wa mwanamke kwako ni nini? Mana tako ndio kiungo namba moja kwa mwnamke kinachovutia. Na ndio mana ukaambiwa Uzuri wa Nyumba ni Choo.
 
Mkuu inaonekanwa wewe ni wale wanaobabaika na rangi nyeupe, mana huyo demu mimi sijaona kitu kabisa.

Na kuhusu tako mkuu, hivi wewe kipimo cha uzuri wa mwanamke kwako ni nini? Mana tako ndio kiungo namba moja kwa mwnamke kinachovutia. Na ndio mana ukaambiwa Uzuri wa Nyumba ni Choo.
Wambie master

Ova
 
Username yake ya instagram?
Wanajamvi,
Kuna msemo usemao "Beauty lies in the eyes of beholder"
Leo naomba nimtambulishe huyu mdada mbongo sijui nimuite MC , sijui Bongo Movie au Bongo Fleva artist anaitwa Menina Abdulkarim, kwa macho yangu ni mzuri sana yaani kawapita wote na hana makuu (skendo za kila leo) hakika hapa Mungu aliumba kuanzia sura, jicho,shepu, mguu hadi sauti Basi sifa zimrudie Muumba
Nawasilisha kwa Heshima
 
Mkuu embu nipe hii elimu.. Naihitaji sana
Midomo mikubwa na mipana huyo ni mama huruma. Hamnyimi mtu bali huwahurumia wanapomlilia. Midomo membamba na kidomo kidogo ni msemaji kama kameza betri ya chapa paka pacha. Akiwa na macho maangavu huyo ni kicheche tena chunga sana pochi yako. Vifundo vimevimbiana na miguu milonjo jua huyo ni mtera
 
Duh, hii kitu acha kabisa

Pepo linipitie mbali la haya madude
tapatalk_1566195937806.jpeg
 
Ahhh tusemage ukweli jmn
Bila kupepesa macho huyu dada ni mzuri

Tatizo linakujaga kwa wadada kama hao unajikuta unaweka matarajio makubwa kweli yani unadhani mashine itakuwa tamu kama uzuri wake ukienda kupiga unakuta kawaida ndio hapo utashangaa mtu kama huyo hadumu na wanaume kwenye mahusiano sababu body ni la v12, engine ni ya passo sasa inakuwaga shida kwakweli....
 
Back
Top Bottom