shelumwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 516
- 188
Zari kama mwenyewe anavyojiita bosslady wiki aliopita alisaini mkataba wa kuwa Brand ambassador wa GSM mall zilizopo Pugu na Msasani.
Tayari ameshafanya tangazo bado kutoka tu, pia jana alikuwa Pugu mall kutimiza majukumu take
View attachment 471982
Cha kujiuliza Bongo tuna celebrities wa kike kibao kuanzia Wema sepetu mwenye wafuasi kibao, jokate, Kajala, Shilole, Wolper, Uwoya, Vanessa mdee, na wengine kibao, Hawa nawakosa mini kupata madeal ya maana kama haya? MTU katoka Uganda kapata deal
Tatizo ni mini hapa?
Jibu ni rahisi wamekosa akili na kujali muda wanaona vikojoleo na matandamo ndo kila kuti