CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Kilimanjaro Stars ni kama vile wachoka, wanashambuliwa sana na hawakai na mpira...kama hii mechi itaongezwa muda kuna uwezekano Zanzibar wakachukua nafasi ya tatu ya CECAFA Challenge Cup...


Mpira umeisha...tusubiri dakika za nyongeza
 
hizi dk za muda wanyongeza wabongo tutapigwa maana tumelizika sana..
 
Mwinyi Kazimoto......anakosa kipa wa Zanzibar Heroes anadaka
 
Masoud Nassoro....anakosaa Kaseja anaidaka

Bado 3 - 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…