Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
Mkuu avatar yako huwa inanitisha huyo jamaa alikuwa noma mbaya kwenye prison break, tuko wote mkuu!!!Kwa kweli Refa amechemka vibaya sana.....Haruna Niyonzima alipaswa kulambwa Straight Red card............
ngoja ngoja kidogo,mpira bwana hudunda dakika zote 90!!hii sasa inabidi tuifute tena tuifunge jiwe la kusagia na tuitupe kwenye kilindi cha maji baharini...nilijawa na wasiwasi mnoooo!!!
Tumekoswakoswa........
Najisikia raha kweli maana hawa wametutesa siku nyingi
hivi hatuwezi kupata copy ya huo wimbo kwa mchungaji mt.ikila!
Mkuu unaharibu sasa......Mambo ya Simba, Yanga na Azam hayana nafasi hapa.....heehee safi sana tukimuongezea na okwi mtakoma mwaka huu..
Back to topic tunachezaje mkuu wanajitahidi au wanazingua tu..
mkuu unataka kusema majirani rafiki hawakuwa na uwezo wa kushinda ila walibebwa na sir God!!Mkuu Masuke umeanza kuamini maenno yangu niliyosema kwamba,tunaweza tukawezeshwa na mwenyezi Mungu kam livyofanya kwa wazenji?!
Mkuu tumebana sana pale kiungo mkuu midfielders tumetupia wa kutosha kwa hiyo Rwanda wanashindwa kutushambulia kwa sababu hawana natural winger wanategemea katikati wakati watu tumeweka visiki.
Muuaji wao D.Biroli leo analazimika kutafuta mipira mwenyewe.Haruna Niyonzima ame-panic hamna chochote anachofanya.
Tumewakosakosa!!!!!!!!!!
ngoja ngoja kidogo,mpira bwana hudunda dakika zote 90!!
ngoja ngoja kidogo,mpira bwana hudunda dakika zote 90!!
Hiki ndio nilikua nakitamani, Kili kukaza kwenye kiungo na ndio maana basi sasa hivi tunaongea lugha ya ushindi...
Dakika ya 70
Rwanda 0-2 Tanzania
Mkuu ahsante kwa updates, wengine tunafuatilia hapa kwenye screen. Kazi nzuri!!!Mkuu unaharibu sasa......Mambo ya Simba, Yanga na Azam hayana nafasi hapa.....
Hapa ni Stars na Heroes basi....
Tunacheza vizuri sana, kiungo kimetulia, na beki pia....
What a shot by Bocco.......Jean Claude Ndoli anaokoa