CECAFA Kagame Cup 2014, Rwanda

Acha wivu wewe mnazi wa Yanga. Azam mashine kubwa.

Poleni sana kwa kuajiri galasa Marcio.

Huyo Phiri mmemuajiri kwa mara ya ngapi? Angekuwa mali si angebaki Msimbazi milele? Mkimtimua safari hii mtamtafuta yule Siang'a wa Kenya.
 
Huyo Phiri mmemuajiri kwa mara ya ngapi? Angekuwa mali si angebaki Msimbazi milele? Mkimtimua safari hii mtamtafuta yule Siang'a wa Kenya.

Ha ha haaa! We jamaa kiboko; na hiyo avatar yako ya Patrice Lumumba. Mimi sijawahi kuwa shabiki wa Simba. Kama Azam ina uhusiano na Simba, hilo ni suala jingine kabisa. Mimi ni shabiki wa Azam tu. Timu nyingine zilizobaki Tz, naziona ni wababaishaji tu. Nimekuwa shabiki wa timu za west europe kwa zaidi ya 15 yrs wakati naishi huko.

Kwa taarifa yako: baadhi ya viongozi wa juu wa timu yako ya Yanga ni watu wangu wa karibu.
 
simba wamepotea katika soka wamebakia kushabikia azam

maskini simba wanafungwa na azam wanashangilia oooho!!!
 

Asante Mkuu kwa ku-declare interest, mpinzani pekee wa Yanga ni Simba na kama huipendi Simba, wewe ni Yanga, by implication or conduct! Hata Yesu alikuwa na wafuasi kwa njia ya siri. Huwezi kuwa Azam peke yake, kitimu chenyewe kilikuwa cha Soko la Mbagala!
 

ROBO FAINALI

[TABLE="class: jsm_restable, width: 189, align: center"]
[TR]
[TD="class: match_date, colspan: 3, align: center"]19-08-2014 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: team_thome, align: right"][/TD]
[TD="class: match_result, align: center"]Polisi 0 : 0 Atletico
Polisi wins 9-8 for Penalty kicks
[/TD]
[TD="class: team_taway, align: left"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: jsm_restable, align: center"]
[TR]
[TD="class: match_date, colspan: 3, align: center"]19-08-2014[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: team_thome, align: right"][/TD]
[TD="class: match_result, align: center"]APR 2 : 2 Rayon
APR wins 4-3 on Penalty kicks
[/TD]
[TD="class: team_taway, align: left"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Leo, 20 Agosti

13:00​
vs
KCCA FC

13:00​
vs
Azam FC
 
Mkuu, Soko la Mbagala nadhani walikuwa Afrikan Lyon ambao walinunuliwa na mhuni Dewji walipomshinda akamuuzia yule mama wa Zanzibar nae ikamshinda akamuuzia Rahimu Kangezi
 
ndetichia, leo tunaingia uwanjani kucheza na matajiri wa Sudan, nipe matumaini ya kusonga mbele.
 
Last edited by a moderator:
Kutoka ukurasa wa Facebook wa Azam FC
 
Mkuu, Soko la Mbagala nadhani walikuwa Afrikan Lyon ambao walinunuliwa na mhuni Dewji walipomshinda akamuuzia yule mama wa Zanzibar nae ikamshinda akamuuzia Rahimu Kangezi

Uko sahihi Mkuu, kumbukumbu zilikaa kushoto. Asante kwa masahihisho.
 
Kutoka Nyamirambo, vikosi ndio vinatajwa hapa. Live TBC1 na SS9 EAST
 
Uko sahihi Mkuu, kumbukumbu zilikaa kushoto. Asante kwa masahihisho.
Kuna kathread nimekafufua ka tangu 2009, kanazungumzia dhamira ya 'dhati' ya Dewji kuendeleza soka wakati alipoinunua Mbagala MAkert
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…