CECAFA KAGAME INTER-CLUB CUP 2014 FIXTURES
MON 11. AUG
14:00vsBenadir SC
16:00vsGor Mahia
18:00vsVital O
Mleta thread hii fanya mchakato wa kuweka matokeo ya mechi hapo juu...
Ikiwezekana weka na msimamo wa makundi kulingana na matokeo ya mechi zote...
Jaribu kupitia thread hii hapa chini uone mfano wa namna ya kuweka matokeo ya kila mechi:
https://www.jamiiforums.com/sports/558556-special-thread-cecafa-senior-challenge-cup-2013-a.html
Mkuu, bonanza za CECAFA zinahusisha nchi kwa vilabu na timu za taifa. Zanzibar ni nchi kiCECAFA sawa na Tanganyika (inayovaa koti la Tanzania), Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Sudani, Sudani Kusini, Eritrea, Somalia n Djibuti. Sasa TBC kuweka bendera za nchi TANO tu huo ndio 'ukweli na uhakika?' Kama unadhamiria kufanya jambo basi ni heri kulifanya KIKAMILIFU na si vinginevo.Teh, usiniambie ni mambo ya Zanzibar si Nchi?
Nimekusoma mkuu, nilikuwa nafanya jokes tu...Mkuu, bonanza za CECAFA zinahusisha nchi kwa vilabu na timu za taifa. Zanzibar ni nchi kiCECAFA sawa na Tanganyika (inayovaa koti la Tanzania), Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Sudani, Sudani Kusini, Eritrea, Somalia n Djibuti. Sasa TBC kuweka bendera za nchi TANO tu huo ndio 'ukweli na uhakika?' Kama unadhamiria kufanya jambo basi ni heri kulifanya KIKAMILIFU na si vinginevo.
we nadhani ni moja ya viongozi wa ile timu inayohonga mil150 ili tu kushinda ligi kuu ya mil70. Mapovu naona yanakutoka na mwaka huu utakonda sana,utahonga na utapigwa
Azam FC leo tarehe 12.08.2014 inaingia tena dimbani hapa Kigali Rwanda katika uwanja Kigali Regional Stadium maarufu kama Nyamirambo Stadium, kucheza mchezo wa tatu wa CECAFA KAGAME CUP ambapo itacheza na Atlabala ya Sudan Kusini. Ushindi wowote kwa Azam FC utaifikisha katika hatua ya robo fainali. Mechi itaanza saa 12 jioni majira ya nyumbani Tanzania na 11 jioni Rwanda.
Wanaotuwakilisha leo ni hawa hapa;
1 . AISHI MANULA
2. SHOMARI KAPOMBE
3. GADIEL MICHAEL
4. SAID MORAD
5. AGGREY MORIS
6. BOLOU MICHAEL
7. HIMIDI MAO
8. SALUM ABUBAKAR
9. GAUDENCE MWAIKIMBA
10. KIPRE TCHETCHE
11.LEONEL SAINT PREUX
AKIBA
MWADINI ALI
DAVID MWANTIKA
DIDIER KAVUMBAGU
FARID MUSSA
KHAMISI MCHA
ERASTO NYONI
MUDATHIR YAHYA
Mungu ibariki Azam FC, Mungu ibariki Tanzania!