Rugby Union
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 402
- 255
Al-Merreikh, mabingwa wa CECAFA Kagame Cup 2014
Mheshimiwa 'Spika' naomba kutoa taarifa kuwa mashindano ya CECAFA yamefanyika na kukamilika kwa muda uliopangwa. Aidha timu ya Azam ilitolewa na El-Merreikh na kwamba hao El-Merreikh wameifunga timu ya APR 1-0 katika mchezo wa fainali. Kwa matokeo hayo El-Merreikh wamevikwa taji la ubingwa wa Vilabu vya Musonye Afrika Mashariki na Kati mwaka 2014.
Mheshimiwa 'Spika' naomba kutoa hoja.