CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

faulo imeshapigwa goaal lo mwamba umezuia
 
Mwaikimba alisajiliwa azam kufanya nin....ndo 2seme ngasa hana nafac tena azam mpaka sasa yuko bench mzee wa west ham
 
Hao Azam hawabwebi leo?

Mkuu unauliza Nazi Kisiju, wewe huoni redcard ilivyotoka katika mazingira ya kutatanisha ile....ninachojiuliza ni lini Azam wataacha kushinda baada ya wapinzani wao kupungukiwa mchezaji?
 
Mwaikimba alisajiliwa azam kufanya nin....ndo 2seme ngasa hana nafac tena azam mpaka sasa yuko bench mzee wa west ham

Hawa Azam kweli dugu 1 na Simba,maana viongozi wao ni "viazi" kama viongozi wa Msimbazi,wakati Yanga walipowabishia hodi kutaka kumrudisha Ngassa nyumbani kwa gharama watakayoitaja hawakutaka hata kufungua room ya majadiliano,wakasisitiza hauzwi ksbb bado wanamuhitaji,sasa kumuhitaji kwenyewe kumbe ni kule kwenye benchi...wanauua kweli mpira wa Dogo,ukichukulia umri unakwenda huu
 
Kwa mwendo huu hii timu ya Azam haitafika kokote...
 

Atatumika robo fainali, haraka ya nini?
 
Kwa mwendo huu hii timu ya Azam haitafika kokote...

Mimi sioni chochote wanachocheza humo ndani,yaani hii ndo team iliyo na kila kitu,uwanja mzuri wa kufanyia mazoezi,Gym iliyosheheni vifaa vya kisasa,na vifaa vingine vya kisasa vya kufanyia mazoezi,imekaa kambini muda mrefu sana,imeshiriki kombe la Urafiki hadi fainali lkn bado inacheza kama team iliyookotezwa
 
Atatumika robo fainali, haraka ya nini?

Hiyo robo fainali wana uhakika gani kama wataipata,yaani wanahifadhi silaha kwa vita ambayo hawana uhakika kama wataipigana,hizo ni akili au maji ya uhai?
 
Huyo Boko bora hata alivyokataa kujiunga na Yanga,kipindi kile walivyotaka kumsajili mana'ke angeongeza idadi ya kina Mwape tu
 
Halafu wakikutana na Yanga wanawakamia mpaka basi....
 
Mkuu unauliza Nazi Kisiju, wewe huoni redcard ilivyotoka katika mazingira ya kutatanisha ile....ninachojiuliza ni lini Azam wataacha kushinda baada ya wapinzani wao kupungukiwa mchezaji?

ndio maana Mwasika anawapiga ngumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…