Nani alisema kuwa wachagga hawachezi mpira wakati golikipa wa Tanzania leo ni Deo Mushi?
Pole sana mpiganaji wetu popote ulipo,nafikiri lengo lilikuwa kukupunguza kasi yako kimchezo usijali;hata hivyo umeiweka timu mahali pazuri hadi hivi sasa.Nauheshimu mchango wako kila lakheri katika kazi yako.Chuji kaumizwa na kutolewa nje
sasa wandugu-
Nini kilitokea sisi kufungwa na Somalia???????????????
Manake hata ni vigumu kuamini!
Na wewe ni Mchagga nini mazee?
Na wewe ni Mchagga nini mazee?
Mpira umekwisha Tanzania 2 Rwanda 0 , timu yetu inaongoza kundi lao A hadi baada ya mpira kati ya Uganda na timu nyingine
nasikia alimpenda sana Mwameja, akwa anaokota mpira nyuma yake kwa muda mrefu..
Nani alisema kuwa wachagga hawachezi mpira wakati golikipa wa Tanzania leo ni Deo Mushi?
so Rwanda is very poor kwa sababu tumewafunga, hapo una bias, kwa nini usiseme "this time Tanzania is very good tumewafunga Rwanda iliyoenda hadi cup of nations!'
sasa wandugu-
Nini kilitokea sisi kufungwa na Somalia???????????????
Manake hata ni vigumu kuamini!
vipi matoke ,Je tumeshinda ngapi?
Ni kweli Rwanda is so weak this yr walipigwa 4-0 na Uganda!
Hongera yanga kwa ushindi