mpira umeisha na tumeshinda.
Kilimanjaro 3 - Burundi 2
Sasa nguvu zetu kwa mashindano ya CHAN.
Well done Kili Stars. Kila la heri CHAN
Mkuu hapa umeegemea upande mmoja..tukumbuke CHAN wanaenda Taifa Stars (The Blues of Africa) na si Kilimanjaro Stars..
Cranes wanaongoza kwa bao 1Wadau vipi mechi ya fainali ngapi ngapi?
Hongra sana vijana wetu, afadhali mmetufuta machozi. Ila kuna kitu nimekigundua kuhusu kili/taifa stars. TUNA MATATIZO KTK DEFENCE SYSTEM. Why kila mechi ndani ya dk 45 za mwanzo lazima tupigwe? Refer somalia, znz, Uganda, Kenya, na Burundi games. Wadau wa Soka mnalionaje hili?
Thanx!!!
Aljuniortz