jamani msaada kwa yoyote anayefahamu wapi naweza pata modem inayosuport CDMA, nina lSIM card ya TTCL.
sina uhakika kama hizi modem nyingine zenye kusupport WCDMA,EDGE,HSPDA,GPS etc inaweza faa, niliyo nayo ni ya voda siwezi kuitest kwa TTCL
Why usingewaona wao TTCL wenyewe? Alternatively modem za Zantel na Sasatel zinweza kukubali but zitakutaka uzichakachue first. Ushauri; nenda na modem of any type among those I mentioned kwa TTCL waambie unataka waifanyie mambo ili iingie chip yao. I do hope watakusaidiajamani msaada kwa yoyote anayefahamu wapi naweza pata modem inayosuport CDMA, nina lSIM card ya TTCL.
sina uhakika kama hizi modem nyingine zenye kusupport WCDMA,EDGE,HSPDA,GPS etc inaweza faa, niliyo nayo ni ya voda siwezi kuitest kwa TTCL