WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Katika Kipindi cha Tuongee Magazeti cha Star TV Alfajiri hii kuna habari ya Makada wa CDM katika Wilaya ya Ilemela kutwangana makonde wakati wakiwa kwenye kikao cha kamati ya utendaji ya wilaya hiyo. Katika patashika hilo inasemekana Mbunge wa Ilemela Kiwia alijificha chini ya meza ili kukwepa makonde hayo.
My Take: Hili fukuto la CDM Mwanza linahitaji tiba ya kudumu. Nadhani kuna tatizo kubwa hapa.
Note: Source ya habari hii ni Gazeti la Mtanzania la Leo Sept.24,2012
My Take: Hili fukuto la CDM Mwanza linahitaji tiba ya kudumu. Nadhani kuna tatizo kubwa hapa.
Note: Source ya habari hii ni Gazeti la Mtanzania la Leo Sept.24,2012