Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,283
- 105,503
Ndugai alikuwa na dharau sana, alishawahi kumpiga mtu bakora mpaka akaanguka, kwenye mkutano wa kampeni.Aibu ikamtengua kabla ya kutenguliwa saivi kimyaa asee dharau na kiburi mafikio yake mabaya
Halafu, kama ile haikuwa aibu ya kutosha, akaja kukumbushia huku anajisifu.