CCM’s svengali hold


Kesi ya awali ilifutwa, ndio ikafunguliwa nyingine ambayo Mh Mbowe akaunganishwa. Tatizo unaongea bila kujiridhisha.
 
Hwataki kuamini kama Samia keshawazidi kete! Ila wanajaribu kujifariji kwamba Magufuli ndio alimkamata Mbowe!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mataga ndio wamenuna na kufura!
 
Hakukuwa na haja ya kumkamata Mbowe, period!

Si 2020, si 2021.

Yeye kakamatwa 2021. Kakamatwa Samia akiwa Rais.

The buck stops with her. Period, end of sentence.
Wanajaribu kumkubali Samia ili kumkomoa Magu ila sasa nature inawapiga chenga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mataga wengi hawaamini haya maneno yako!
 
Eee?

Kwamba mataga ndio walikamatwa wakatiwa ndani na Mbowe baada ya kusota rumande miezi 8 wakatolewa na kwenda kusujudu kwa mbowe?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
We

Wewe ndio wakuhurumiwa. Juzi ulimwita Mbowe gaidi leo unamlaumu kwanini ameenda kumuona Samiah aliyemuweka ndani. Unahitaji ushauri nasaha.
Sijamlaumu!

Ila nashangaa alikaza fuvu alafu kaenda kusujudu kwa mtesi wake kindezi namna ile

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1] hii nchi ngumu saa bwashee
 
Eee?

Kwamba mataga ndio walikamatwa wakatiwa ndani na Mbowe baada ya kusota rumande miezi 8 wakatolewa na kwenda kusujudu kwa mbowe?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ona mataga wenzako wanachosema!
 
Inauma lakini ukweli, alitakiwa akutane na sisi tuliopaza sauti kwanza.
Nahisi ameshafika bei kama mashinji au wale covid19
Sauti zenu zilisaidia nini pindi anasota sero? Aje azungumze na mioga isiyoweza kuandamana hata dakika 2, mbowe yajenge na Maza akutupie kipande Cha keki na wewe upoze machungu. Sio miaka nenda Rudi we ni kutetea mapumbavu yaliyojikatia tamaa.
 
Sasa kama ilifutwa hii nyingine iliyomfanya akae rumande miezi 8 inakuwaje ilifunguliwa na jiwe?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Tatizo unajifanya hujafuatilia kesi kuanzia inaanza. Swilla anadai alifungua jalada la kesi kabla watuhumiwa hawajakamatwa mwezi July 2020, baadaye watuhumiwa walikamatwa huku Mbowe akiwa mtuhumiwa mkuu.

Walishindwa kumkamata Mbowe wakitegeshea uchaguzi mkuu Ili waje wammalize vizuri akishindwa ubunge. Ndio maana Mama Samiah alisema BBC kuwa Mbowe alijua anafutwa ndio maana akakimbilia Dubai.
 
Una uhakika? Lissu hakutaka Mbowe atoke mahabusu
 
Kesi ya awali ilifutwa, ndio ikafunguliwa nyingine ambayo Mh Mbowe akaunganishwa. Tatizo unaongea bila kujiridhisha.
Hiyo ya awali ilifunguliwa wapi na ilikuwa namba ngapi?
Bange za mchana mbaya sana kwa kweli!
 

Wewe ndio utofautishe serikali na CCM .
CHADEMA na CCM Ni vitu viwili tofauti. Ila Serikalii kupitia DPP ndio walikuwa na maslahi na kesi, na wao ndio wameifuta Kesi. Kesi imefutwa na nolle prosequi ambayo haina masharti.

Kama nolle prosequi haina Masharti basi masharti unayo wewe. Katafute kesi ya Zitto kabwe ya uchochezi ambapo alipewa masharti ya kuachiwa huru kwamba asifanye uchochezi wa kisiasa kwa mwaka mmoja. Kafuatie kesi ya sheikh Ponda ya kwanza kabisa alipewa masharti akaachiwa nk.

Lakini niambie sharti moja alilopewa Mbowe ili kuachiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…