Pia HAKAINDE HICHILEMA rais wa sasa wa ZambiaKwa kuwa wewe si mwanasiasa unapaswa kusamehewa kwa ulichokiandika. Tuna references nyingi sana za matukio kama hayo duniani, lakini hazikuwamaliza watu kisiasa bali ziliwapaisha
Hiyo ni mifano miwili iliyotokea hapa jirani kwetu, mazungumuzo,majadiriano,na watawala ndio njia pekee inayoweza kumfikisha mbowe na CHADEMA kwenye malengo yao.
- NELSON MANDELA: Hakuna binadamu aliekaa jela kwa wakati mrefu kwa kesi ya mchongo ya uhaini kama yeye lakini hakuomba msamaha kwa watesi wake ili wamwachie ingawa walitamani sana afanye hivyo, alipotoka Gerezani hakuwasusa maadui zake kisiasa waliomfunga na kumtesa kwa miaka 27 alikaa nao wakazungumuza kichozaliwa ndio hiyo afrika kusini ya sasa.
- JOMO KENYATTA: Alifungwa kwa kesi ya uhaini ya kuchonga na kukaa gerezani kapengurya,alipotoka alikaa chini na watawala wakajadiriana ndio hiyo kenya unayoiona leo.
Njia anayopaswa kuipita mbowe ni ile waliyopita kina Nelson Mandela mashujaa wa afrika,Kwa hiyo akisusa atakuwa anamkomoa nani?
Kamwe Mbowe hataingia kwenye njia za kihaini na kigaidi ili kupigania haki za watanzania, na njia halali ndio hiyo ya kuzungumuza.
Lakini kwenu vijana poleni sana maana ujana ni maji ya moto.
We hakuna anakuchukia isipokuwa unaandika ujingaNa wewe hii post yako imeongozwa na chuki kwangu!
Wasukuma bana mlichelewa wapi? Sasa Raisi akikuomba ukitoka gerezani pita ikulu nikukombe msamaha uende zako kuna shida gani?
Juzi mlimlaumu lisu kwa kutoitikia wito wa kuongea na Raisi, mkasema ana kiburi, na anapoteza fursa,
Leo Raisi kajishusha kamwita wakutane kwenye ofisi za umma Ili kumwomba mbowe msamaha mnambagaza mbowe kweli?
We ulitaka Raisi amfuate mbowe mikocheni? Hata kama logistic haziruhusu
Shida si wapinzani bali Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania....It’s now not even debatable that CCM know how to play the game of politics better than anybody.
They have an indescribable svengali type of hold on the rest of the opposition parties that renders them [the opposition] functionally ineffective.
For the life of me, somebody explain this to me. Make it make sense;
1. Unakamatwa na kufungwa bila kosa/ makosa.
2. Unafunguliwa mashitaka ya uongo/ kizushi ambayo hayana dhamana [ili usote mahabusu].
3. Tunaambiwa eti wewe ni gaidi na ushahidi upo unaothibitisha hilo [licha ya kwamba mtu yeyote mwenye akili anajua wewe siyo gaidi].
4. Kesi inaendeshwa kwa mwendo wa konokono kwa makusudi tu ili uendelee kutaabika jela.
5. Kwa vile mashitaka ni ya uongo/ kizushi, kesi inadhihirika kuwa kituko baada ya mashahidi kuanza kutoa ushuhuda wao.
6. Baada ya miezi takriban minane [8], mwendesha mashitaka ananena kuwa hana nia ya kuendelea na kesi.
7. Sijui hiyo nia ya kutotaka kuendelea na kesi imemjia lini? Labda alioteshwa usiku 🤣.
8. Mashitaka yanatupiliwa mbali. Unaachiwa huru baada ya kusota lupango kwa muda wote huo.
9. Wamekupotezea muda kwa mambo ya kizushi. Wamekutesa. Wamekunyanyasa. Wamekuvunjia heshima. Wamekuzushia mambo ya ajabu.
10. Licha ya yote hayo ambayo ni dhahiri shahiri waliyafanya kwa makusudi tu ili unyanyasike, hutopewa fidia yoyote ile.
11. Ulichoambulia ni kualikwa ikulu kwenda kukutana na mtu aliyesababisha madhila yote hayo dhidi yako. Kwenye picha nilizoziona, sikuona bilauri za juisi kama tulivyowahi kuziona hapo zamani mlipoitwa ikulu baada ya kupigwa virungu na kumwagiwa maji ya upupu. Safari hata juisi ya Sayona hukupewa! Au ulikunywa?
12. Unatoka jela, badala ya kukutana na kuongea na watu waliosimama na wewe muda wote huo ambao uliporwa uhuru wako, wewe unaenda moja kwa moja kuonana na kucheka cheka na mtu aliyekusababishia madhila yote hayo uliyoyapitia katika hizo siku 200 na kitu.
13. Umekosea sana aisee. Yeye ndo alipaswa aje kwako kukuona. Yeye na serikali yake ndo wanapaswa kukuomba radhi kwa usumbufu waliokuletea wewe pamoja na familia yako. Wao ndo wanapaswa kukufidia vyote ulivyopoteza pindi walipokuwa wamekufunga.
14. Umeonyesha udhaifu mkubwa sana ambao CCM wataendelea kuutumia kuwapumbaza na kuwahadaa kwa siku, miaka, na miongo ijayo.
15. CCM wataendelea kuwapiga, kuwanyanyasa, kuwatendea vibaya, na mwisho wa siku watawaalikeni ikulu muende kupiga picha, kunywa juisi, na kula biskuti halafu mnasahau kabisa mabaya yote mliyotendewa. Mko wepesi mno wa kusamehe na kusahau.
Sioni kabisa CCM ikitoka madarakani kwa upinzani huu tulionao. Hata kwenye katiba mpya, kama ikija kupatikana, mtahadaiwa na kurubuniwa tu. Na mtalia weee hadi mtachoka na kunyamaza.
16. Wapinzani wa Tanzania wakiongozwa na CHADEMA, hamna kabisa uti wa mgongo.
Just a bunch of weak weasels.
Ndio kwani ajabu kitu gani,?Kwamba Madam President Samia kamuomba Chairman Mbowe msamaha?
Wewe!!
Alitekwa?Una hakika alikwenda mwenyewe au alipelekwa na watesi wake?
Kwa kuwa wewe si mwanasiasa unapaswa kusamehewa kwa ulichokiandika. Tuna references nyingi sana za matukio kama hayo duniani, lakini hazikuwamaliza watu kisiasa bali ziliwapaisha
Hiyo ni mifano miwili iliyotokea hapa jirani kwetu, mazungumuzo,majadiriano,na watawala ndio njia pekee inayoweza kumfikisha mbowe na CHADEMA kwenye malengo yao.
- NELSON MANDELA: Hakuna binadamu aliekaa jela kwa wakati mrefu kwa kesi ya mchongo ya uhaini kama yeye lakini hakuomba msamaha kwa watesi wake ili wamwachie ingawa walitamani sana afanye hivyo, alipotoka Gerezani hakuwasusa maadui zake kisiasa waliomfunga na kumtesa kwa miaka 27 alikaa nao wakazungumuza kichozaliwa ndio hiyo afrika kusini ya sasa.
- JOMO KENYATTA: Alifungwa kwa kesi ya uhaini ya kuchonga na kukaa gerezani kapengurya,alipotoka alikaa chini na watawala wakajadiriana ndio hiyo kenya unayoiona leo.
Njia anayopaswa kuipita mbowe ni ile waliyopita kina Nelson Mandela mashujaa wa afrika,Kwa hiyo akisusa atakuwa anamkomoa nani?
Kamwe Mbowe hataingia kwenye njia za kihaini na kigaidi ili kupigania haki za watanzania, na njia halali ndio hiyo ya kuzungumuza.
Lakini kwenu vijana poleni sana maana ujana ni maji ya moto.
Muhimu ni kwamba watu wanaelewa. Na Mbowe ni kama ame shake hands... na kutaka waanze ukurasa mpya kama mandela alivyofanya. Ni fundisho pia japo hoja yako ina mantiki.It’s now not even debatable that CCM know how to play the game of politics better than anybody.
They have an indescribable svengali type of hold on the rest of the opposition parties that renders them [the opposition] functionally ineffective.
For the life of me, somebody explain this to me. Make it make sense;
1. Unakamatwa na kufungwa bila kosa/ makosa.
2. Unafunguliwa mashitaka ya uongo/ kizushi ambayo hayana dhamana [ili usote mahabusu].
3. Tunaambiwa eti wewe ni gaidi na ushahidi upo unaothibitisha hilo [licha ya kwamba mtu yeyote mwenye akili anajua wewe siyo gaidi].
4. Kesi inaendeshwa kwa mwendo wa konokono kwa makusudi tu ili uendelee kutaabika jela.
5. Kwa vile mashitaka ni ya uongo/ kizushi, kesi inadhihirika kuwa kituko baada ya mashahidi kuanza kutoa ushuhuda wao.
6. Baada ya miezi takriban minane [8], mwendesha mashitaka ananena kuwa hana nia ya kuendelea na kesi.
7. Sijui hiyo nia ya kutotaka kuendelea na kesi imemjia lini? Labda alioteshwa usiku [emoji1787].
8. Mashitaka yanatupiliwa mbali. Unaachiwa huru baada ya kusota lupango kwa muda wote huo.
9. Wamekupotezea muda kwa mambo ya kizushi. Wamekutesa. Wamekunyanyasa. Wamekuvunjia heshima. Wamekuzushia mambo ya ajabu.
10. Licha ya yote hayo ambayo ni dhahiri shahiri waliyafanya kwa makusudi tu ili unyanyasike, hutopewa fidia yoyote ile.
11. Ulichoambulia ni kualikwa ikulu kwenda kukutana na mtu aliyesababisha madhila yote hayo dhidi yako. Kwenye picha nilizoziona, sikuona bilauri za juisi kama tulivyowahi kuziona hapo zamani mlipoitwa ikulu baada ya kupigwa virungu na kumwagiwa maji ya upupu. Safari hata juisi ya Sayona hukupewa! Au ulikunywa?
12. Unatoka jela, badala ya kukutana na kuongea na watu waliosimama na wewe muda wote huo ambao uliporwa uhuru wako, wewe unaenda moja kwa moja kuonana na kucheka cheka na mtu aliyekusababishia madhila yote hayo uliyoyapitia katika hizo siku 200 na kitu.
13. Umekosea sana aisee. Yeye ndo alipaswa aje kwako kukuona. Yeye na serikali yake ndo wanapaswa kukuomba radhi kwa usumbufu waliokuletea wewe pamoja na familia yako. Wao ndo wanapaswa kukufidia vyote ulivyopoteza pindi walipokuwa wamekufunga.
14. Umeonyesha udhaifu mkubwa sana ambao CCM wataendelea kuutumia kuwapumbaza na kuwahadaa kwa siku, miaka, na miongo ijayo.
15. CCM wataendelea kuwapiga, kuwanyanyasa, kuwatendea vibaya, na mwisho wa siku watawaalikeni ikulu muende kupiga picha, kunywa juisi, na kula biskuti halafu mnasahau kabisa mabaya yote mliyotendewa. Mko wepesi mno wa kusamehe na kusahau.
Sioni kabisa CCM ikitoka madarakani kwa upinzani huu tulionao. Hata kwenye katiba mpya, kama ikija kupatikana, mtahadaiwa na kurubuniwa tu. Na mtalia weee hadi mtachoka na kunyamaza.
16. Wapinzani wa Tanzania wakiongozwa na CHADEMA, hamna kabisa uti wa mgongo.
Just a bunch of weak weasels.
🤣🤣Kwamba Madam President Samia kamuomba Chairman Mbowe msamaha?
Wewe!!
Hata kama inaenda mrama, wapinzani are not capitalizing on it!
Very disappointing.
Mgosi kuna wakati ukishiba pears unaongea ukweli na akili inarudi utafikiri sio msambaa.Mandela alifungwa miaka 27 na Makaburu! Alipotoka hakuchagua kulipa kisasi. Badala yake alichagua maridhiano ili nchi ya Afrika Kusini isonge mbele. Na leo tunaiona Afrika Kusini ilipo.
Hivyo mimi naungana na Mh. Mbowe na Raus Mama Samia. Ifikie wakati siasa isiwe ni uadui na chuki kati yetu.
Watanzania tulio wengi tunahitaji maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa! Na siyo malumbano na mivutano isiyoisha kati ya ccm na chadema.
Hangaya ni hodari sana wa contradictions!
Labda jiulize alialikwa au aliamua kwenda mwenyewe?Alitekwa?
Kesi ilifunguliwa July 2020 na Mbowe akakamatwa July 2021???Hii kesi ilifunguliwa tangu July, 2020! Je, kipindi hicho Hangaya alikuwa Rais? Je, Hangaya ndiye aliye watuma akina Kingai, Sabaya, J4, Goodluck, na Swilla kuendesha kikundi cha watu wasio julikana?
Usihamishe magoli mheshimiwa. Hii kesi ilifunguliwa wakati wa yule kipenzi wako magufuli. Na ndiyo muasisi wa huu utaratibu wa kutengeneza matukio, na mwisho anakuja kuyatatua ili kujiongezea ujiko.
Tuliona wakati wa kikotoo kwa wafanyakazi, wakati alipo watumbua kwa fedheha wateule wake yeye mwenyewe, nk. Lakini pia ni magufuli huyo huyo ndiye muasisi wa huu mgawanyiko mkubwa kwa watanzania, baada ya kuendekeza ubaguzi, ukatili, uonevu, dhuluma, kuwakumbatia matapeli kama akina Sabaya, nk.
Sasa anapotokea Mtawala mwingine, akachagua njia tofauti na mtangulizi wake, nadhani ni wakati wetu wapenda maridhiano kumtia moyo.
It’s now not even debatable that CCM know how to play the game of politics better than anybody.
They have an indescribable svengali type of hold on the rest of the opposition parties that renders them [the opposition] functionally ineffective.
For the life of me, somebody explain this to me. Make it make sense;
1. Unakamatwa na kufungwa bila kosa/ makosa.
2. Unafunguliwa mashitaka ya uongo/ kizushi ambayo hayana dhamana [ili usote mahabusu].
3. Tunaambiwa eti wewe ni gaidi na ushahidi upo unaothibitisha hilo [licha ya kwamba mtu yeyote mwenye akili anajua wewe siyo gaidi].
4. Kesi inaendeshwa kwa mwendo wa konokono kwa makusudi tu ili uendelee kutaabika jela.
5. Kwa vile mashitaka ni ya uongo/ kizushi, kesi inadhihirika kuwa kituko baada ya mashahidi kuanza kutoa ushuhuda wao.
6. Baada ya miezi takriban minane [8], mwendesha mashitaka ananena kuwa hana nia ya kuendelea na kesi.
7. Sijui hiyo nia ya kutotaka kuendelea na kesi imemjia lini? Labda alioteshwa usiku [emoji1787].
8. Mashitaka yanatupiliwa mbali. Unaachiwa huru baada ya kusota lupango kwa muda wote huo.
9. Wamekupotezea muda kwa mambo ya kizushi. Wamekutesa. Wamekunyanyasa. Wamekuvunjia heshima. Wamekuzushia mambo ya ajabu.
10. Licha ya yote hayo ambayo ni dhahiri shahiri waliyafanya kwa makusudi tu ili unyanyasike, hutopewa fidia yoyote ile.
11. Ulichoambulia ni kualikwa ikulu kwenda kukutana na mtu aliyesababisha madhila yote hayo dhidi yako. Kwenye picha nilizoziona, sikuona bilauri za juisi kama tulivyowahi kuziona hapo zamani mlipoitwa ikulu baada ya kupigwa virungu na kumwagiwa maji ya upupu. Safari hata juisi ya Sayona hukupewa! Au ulikunywa?
12. Unatoka jela, badala ya kukutana na kuongea na watu waliosimama na wewe muda wote huo ambao uliporwa uhuru wako, wewe unaenda moja kwa moja kuonana na kucheka cheka na mtu aliyekusababishia madhila yote hayo uliyoyapitia katika hizo siku 200 na kitu.
13. Umekosea sana aisee. Yeye ndo alipaswa aje kwako kukuona. Yeye na serikali yake ndo wanapaswa kukuomba radhi kwa usumbufu waliokuletea wewe pamoja na familia yako. Wao ndo wanapaswa kukufidia vyote ulivyopoteza pindi walipokuwa wamekufunga.
14. Umeonyesha udhaifu mkubwa sana ambao CCM wataendelea kuutumia kuwapumbaza na kuwahadaa kwa siku, miaka, na miongo ijayo.
15. CCM wataendelea kuwapiga, kuwanyanyasa, kuwatendea vibaya, na mwisho wa siku watawaalikeni ikulu muende kupiga picha, kunywa juisi, na kula biskuti halafu mnasahau kabisa mabaya yote mliyotendewa. Mko wepesi mno wa kusamehe na kusahau.
Sioni kabisa CCM ikitoka madarakani kwa upinzani huu tulionao. Hata kwenye katiba mpya, kama ikija kupatikana, mtahadaiwa na kurubuniwa tu. Na mtalia weee hadi mtachoka na kunyamaza.
16. Wapinzani wa Tanzania wakiongozwa na CHADEMA, hamna kabisa uti wa mgongo.
Just a bunch of weak weasels.
Shida si wapinzani bali Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania....
CCM ni imani....
CCM ni mzimu wa taifa letu pendwa....
Mzimu hauong'olewi hataaa....
#Siempre CCM🙏
#Naipenda Kijani😍
Hakukuwa na haja ya kumkamata Mbowe, period!Unaanzisha uzi huku ukiwa mweupe kichwani! Makomandoo walikamatwa mwaka gani? Na hicho kikundi cha watu wasiojulikana kiliasisiwa na nani? Msihamishe magoli. Kama huyu mama wa watu amechagua njia ya maridhiano ili kuijenga Tanzania mpya, tunatakiwa tumtie moyo.
Hii nchi siyo ya Wahutu wapenda ubaguzi, chuki, uonevu na dhuluma! Ni ya Watanzania tuliojaliwa upendo, umoja na mshikamano.