BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,988
- 2,012
Unamaana CCM ni Chama Cha Magwepande?
Ndo hivyo mkuu
Unamaana CCM ni Chama Cha Magwepande?
Chama cha Mabwepande kimezidi kuumbuka safari hii ni kwenye mgomo wa wasafirishaji mkoani Kilimanjaro. Jisomee mwenyewe
Uhmmmmmmm naona kizunguzungu! Hii haiwezekani, barua hii imechakachuliwa! Labda iwe kweli CCM imechoka kiasi haioni uzembe wa namna yeyote tena!
Unauliza nini?
Hivi wewe huwajui Usalama Wa Taifa a.k.a UWT?
Ndani ya UWT kuna vikosi maalumu vinaundwa kwa ajili ya kufuatilia na kusambaratisha kitu chochote ambacho kiko kinyume na CCM na Serikali yake. Huo ndiyo mpango.
Yamkini kikosi hiki cha USALAMA WA TAIFA-Kikosi Maalumu Kudhibiti-CHADEMA na WANAHARAKATI ndiyo waliomteka Dr.Ulimboka.
Tumesikia KAULI nyingi sana za viongozi wa Chama(CCM)na Serikali yake wakisema CHADEMa kinaongozwa na WANAHARAKATI si wanasiasa. Kwa hiyo hii barua au waraka wa CCM KUNA UKWELI KABISA KWA ASILIMIA 99.99999999999999999999999 + or- 0.1 per cent![/QUOTE
mimi nashangaa kuona anashangaa hiyo! hivi karibuni kwa macho ya kiadmiral nikafanikiwa kuona kalist fulani ka hawa jamaa! Mungu wangu! watu niliowaona i was very shocked na nikapata jibu kwa nini nchi hii haiendelei na kwa kweli itataka kuitoa ccm madarakani na kuvunja kabisa idara hii maana si kwamba ni tawi la ccm kama wengi mnavyodhani, bali ni ccm yenyewe kabisa
Hii ni zaidi ya kufulia, inaonyesha kwamba utawala wa sheria haupo kabisa. Yaani anawaamrisha watu wafanye fujo halafu anawaahidi kwamba hawatachukuliwa hatua hata kama maafa yatatokea!!!!!!!!!HUYO KATIBU ALIYEANDIKA BARUA HIYO APIMWE AKILI.
Chama cha Mabwepande kimezidi kuumbuka safari hii ni kwenye mgomo wa wasafirishaji mkoani Kilimanjaro. Jisomee mwenyewe
tena kwa malipo!Ukweli sijaielewa mkuu ccm wanapanga mgomo!?
Wanamgomea nani!?
Wanaigome Manispaa ya Moshi, labda kwasababu inaongozwa na CHADEMA!!!!