JF ndiyo MZEE wapo wachache sana, nawe mmoja wao. Si kila kisemwacho nikiunge mkono kwa vile tu anayesemwa simpendi, NOOOOOOOO.............Mzee unaonekana imani yako ndogo kabisa. Waache wahusika ndo wakanushe kwamba siyo ya kwao. Usinunue kesi isiyo yako bure baba.