CCM yazidi kuumbuka

yegella

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
3,113
1,102
Chama cha Mabwepande kimezidi kuumbuka safari hii ni kwenye mgomo wa wasafirishaji mkoani Kilimanjaro. Jisomee mwenyewe
attachment.php

Wana bodi asalaam aleykum
Tangu juzi Ijumaa Mji wa Msohi umekumbwa na kadhia ya Wasafirishaji kugoma kusafirisha abiria kati ya mji wa moshi na Arusha pamoja na sehemu zingine za mkoa wa Kilimanjaro.
Hali ni mbaya sana kwani abiria wanalazimika kupanda magari binafsi aina ya Noah. Na magari hayo kupambwa kwa maua kama vile wanaenda Msibani. kwani kuna vijana wamepangwa Njia ya panda Himo,Barabara ya Kibosho kwa ajili ya kupopoa mawe mabasi ambayo yanakaidi mgomo.
Pia nimejaribu kuongea na baadhi ya makundi ya vijana wapopoaji kuhusu theme ya mgomo wao. Cha kwanza kabisa waliniuliza itikadi yangu nikaawaambia mimi ni mwana CDM. Duh. Namshukuru mwenyezi mungu kwa kunijalia Mbio.
Nilichokugundua kuwa Umoja wa Vijana wa CCM wilaya ya Moshi na Mkoa wanachochea mgogoro huu ili kuchonganisha wananchi wa Moshi na Halmashuri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na Chadema. Kuna magari ambayo yanapeperusha bendera za CCM yanabeba abiria bila kikwazo chochote. aliyepo moshi aende barabara inayoenda TPC/Kahe atayaona vizuri tu.

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Kilimanjaro Godliving Moshi. ambaye kimsingi ni mpiga debe wa magari ya Marangu/Holili chini ya mwavuli wa Akiboa ndiye aliyepanga vijana maeneo yote hayo yenye vurugu. Pia warusha mawe hao ni wale vijana wa CCM waliopiga wagonjwa Hospital ya KCMC mwaka 2010
NAOMBA KUWASILISHA
 

Attachments

  • moshi.jpg
    moshi.jpg
    332 KB · Views: 4,781
Wanaigome Manispaa ya Moshi, labda kwasababu inaongozwa na CHADEMA!!!!
 
Ukweli sijaielewa mkuu ccm wanapanga mgomo!?
Wanamgomea nani!?
Unajua Moshi CCM ina madiwani wasio zidi wanne tu kwa hiyo wanaona ikigomewa manipaa ya Moshi maana yake ni kuuizoofisha chadema.
 
Hii ni zaidi ya kufulia, inaonyesha kwamba utawala wa sheria haupo kabisa. Yaani anawaamrisha watu wafanye fujo halafu anawaahidi kwamba hawatachukuliwa hatua hata kama maafa yatatokea!!!!!!!!!HUYO KATIBU ALIYEANDIKA BARUA HIYO APIMWE AKILI.
 
Unajua Moshi CCM ina madiwani wasio zidi wanne tu kwa hiyo wanaona ikigomewa manipaa ya Moshi maana yake ni kuuizoofisha chadema.

okey nimewaelewa na je CDM wakifanya hivyo nchi hii haitatawalika duu!
 
Hii ni zaidi ya kufulia, inaonyesha kwamba utawala wa sheria haupo kabisa. Yaani anawaamrisha watu wafanye fujo halafu anawaahidi kwamba hawatachukuliwa hatua hata kama maafa yatatokea!!!!!!!!!HUYO KATIBU ALIYEANDIKA BARUA HIYO APIMWE AKILI.
Hawa mabwepande wameishwa kabisa mbinu za kisiasa.
 
I'll be the last person to believe that:

  • The silly ccm works on Sunday ( refer to the letter written/sent on 8/07/2012)!
  • The letter reached all concerned the same day!
  • The time of 24hours sufficed preparations for the strike!
  • Money/allowance was to be distributed at a know place!

What I can believe immediately are:
  • ccm to use Green guards
  • ccm to destroy civilian properties
  • ccm to promise defense to all criminals
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom