CCM yawataka Maaskofu wavue majoho...


CV namba moja....1. Chakula ya wazee.
 
nadhani haya mauaji ya arusha ni malipo ya ile dhambi ya chadema kuuwa mtu pale maswa kipindi cha kampeni. Twende mbele turudi nyuma ukweli ndio huo.

maaskofu wanaendelea kujiumbua - kanisa = chadema = mauaji ya kimbari.

kama unayoyaandika ndio unayo yaamini heri iwe pamoja nawe, lakini kama ni ujasiri unaoupata kupita mavazi ya kijani siku yaja hambayo utotaka kukumbuka uliandika nini humu jf
 
Jukumu la Viongozi wa Dini ni kukemea maovu na uovu siyo zinaa na ulevi tu,ni pamoja na uporaji wa madaraka kwa kuchakachua uchaguzi na kuiba kura katika kuteua Meya, ni uhuni wa hali ya juu na lazima wahuni wakemewe na wasitambuliwe na viongozi wa dini
 
Nimemuona yule mama akiongea na press..kwa hakika ni ZERO brain,to be honest ajiuzulu kabisa ili uchunguzi wa kisheria ufanyike sio kubwabwaja pumba..These are the type of ppl CCM they want,just wapigadebe wasiojua wakifanyacho wao bora mkono uende kinywani na misifa....hafai,hafai..i daught mwisho wake utakuwaje!
 
Ni kweliChama chake CCM kimempangia Arusha au kakaa huko ili iwe rahisi kuchakachuliwa na waliompatia madaraka huku mumewe akiwa Iringa. Hili ni tatizo la aina ya viongozi wanaopewa kwa kuvua ........aibu na kichefuchefu. Pamoja na jamii kumwona EL hafai angalu kwa hili aliliona na kulikemea mapema Kichaa Makamba akaona heri damu imwagike iwe kafara za uongozi wao wanng'arishe nyota zinazonukua maana watalaamu wote ufundi umepungua mkulu nyota haing'ai tena
 
We need 2 tight nuts a little more on ccm. they have done enough stupid stuffs. we should pull them out!
 

Au angekufa mwanawe wa kwanza
au Mke wake wa kitandani
au mama yake mzazi

Watu kama hawa ni kuwaombea nao wapatwe angalau kidogo halafu wanaone uchungu ni kitu gani!!!
 
kama unayoyaandika ndio unayo yaamini heri iwe pamoja nawe, lakini kama ni ujasiri unaoupata kupita mavazi ya kijani siku yaja hambayo utotaka kukumbuka uliandika nini humu jf

sijawahi kuvaa nguo ya kijani hata siku moja. hilo ni jicho langu la ndani. Nimechelea pasije kusemwa "Hawakuwepo watu wa kutuonya na kutukumbusha"
 
Mary Chatanda + Yusuf Makamba = TRUE CCM which think from the bottom
 

kagumyamuheto ahsante kwa kutukumbusha na posts hizo hapo juu, kama utafuatilia hoja zilizotolewa hapo juu na wahusika utagundua kwamba ni kweli wakati mwingine viongozi wa dini ni wachochezi wa migogoro mingi ya kisiasa na wanatenda bila kuchunguza mambo kwa makini. Wao walipaswa kuwa wasuluhishi wa pande zote, wakijua wana waumini wa pande zote lakini utaona wakati mwingine walishabikia upande mmoja, hiyo ni hatari sana na hayo ndiyo yaliyosababisha hata yale mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda... Hawa walikuwa washawishi nambari one. Mimi naona viongozi hawa wajitahidi kufanya kazi zao za upatanishi hata kama wanajua pande moja inamakosa badala ya kushabikia upande mmoja... That's very dangerous!!! ndio maana kila wakati wanaambiwa wasiingilie masuala ya kisasa, hii ikimaanisha kwamba wanaongoza waumini wa vyama vyote vinavyoshindana, hivyo wakiingilia wataleta hata mgawanyiko katika kanisa. Vyanzo vya madhehebu ni hivyo lakini madhehebu hayakubaliki mbele za Mungu. Mungu alitazamia kuwepo na Dini moja, Imani moja (Waefeso 4:4-6).
 
katumwa na mbakaji makamba huyo wala msimlaumu
 
Kwa nini CCM hawamwambii Gertrude Rwakatare naye kuvua joho? Very stupid -- CCM leaders!!!
 

Well said Mary waache unafiki maaskofu kama wanataka siasa tunawakaribisha ila wasiingilie fani zisizowahusu. Hawa ndio wachochezi wa vita vingi barani afrika hatutaki litokee Tanzania.
 
Mary chatanda shut up,,,,,,,,,,,,,,,,,,wewe ni mamluki ulisababisha vifo vya wasiokuwa na hatia,,,ndiwe ulieharibu uchaguzi,na damu zote ziwe juu ya kichwa chako

Wanahatia kwa sababu walikiuka amri ya polisi kutokuandamana!
 

Huyo Chatanda anafikiri?
 
kwani viongozi wa dini hawana haki yakutoa maoni yao
 
Aaaash,wamesahau hao hao ndo huwa wana wapamba mda wa kampeni ukifika?
 
Hayawahusu vipi wakati nao ni wananchi?Ina maana wao hawana haki ya kumkubali au kumkataa mtu anaetaka awaongoze??Nashawishika kuamini kwamba uwezo wa makuruta wa CCM wa kufikiri hautofautiani na wale wanaoambiwa wana upungufu wa akili maana maoni yao hua yanashangaza kweli!
 
Tuache udinimktk hili,Kuhusu mauji ya kimbari Rwanda historia yake sidhani kama maaskofu ndo walihusika,nikiangalia movie zote mbili zinazo onyesha mauaji ya Kimbari,kwa mfano some times in april maaskari waliwafuata wanafunzi kwenye shule ya m,asista na kuwaua,na ile ya Hotel Rwanda pia wanajeshi waliwafuata wananchi na kuwaua kanisani,ile vita ilikuwa ya kikabila zaidi(HutusVsTutsi's)any ways labda mimi uelewa wangu ni mdogo naweza kosolewa kwa hilo,kuhusu pale Maswa msafara wa CCM ulivamia mkutano wa chadema,Kuhusu Mwembe yanga ndugu zangu Kwenye misikiti mingi ya kiislamu udini unahubiriwa waziwazi nenda pale kwenye msikiti wa kariakoo na mmoja kwa mfano tu utakuja niambia.TUJENGE NCHI KWA MISINGI WALIOTUACHIA WAASISI WA NCHI HII HUKU TUNAPOELEKEA SIO
 
Huyu Mama ni Typical Celina Kombani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…