CCM yaunda 'ukawa' yake dhidi ya CHADEMA

Sio wa kwanza wewe kusema hivyo. Alianza Wassira kunako 2010. Akapotea yeye kwanza. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kipindi cha wasira ulikuwa utawala wa shamba la bibi.
Ikulu grasi ziliisha kila mkisusa mnaitwa ikulu kunywa juis mnaondoka na glasi.Utawala wa sasa hakuna ubwege kama huo.
 
Wanaosema kuwa cdm imekufa hawajui walitendalo
 
Haaaaa hapo patamu .lakini aminia CHADEMA LAZIMA WAPETE
 
Ule mziki wa 2015 mpaka leo CCM wameingiza ubaridi hawatamani kabisa kusikia neno CDM.
Mkuu,kama sheria ingeruhusu matokeo ya uraisi kupingwa mahakamani,basi amin amin nakwambia sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine.
Vijana waliokuwa wakimtumikia kafiri pale Masaki wanakiri kabisa ngoma ilikuwa vise versa.
 
Mkuu CCM ya sasa hata isipopiga kampeni ushindi ni 98% Kwasababu Chadema imechokwa sana na Watanzania kwa tabia zake kutumika na Mabeberu.

Ni wazi hatutakuwa na mpinzani mwenye ushawishi km Lowasa kwa miaka 50 ijayo.
Chadema bado inanguvu kubwa
 
Mkuu uko sahihi kwa kiasi flani.
Mm natamani tungebeti kukiingiza chama chochote cha upainzani madarakani ili kuondoa hofu ya kuwa bila chama tawala maisha hayapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…