Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,225
Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.
Kwa nini iwe majimbo na si kata?Misuguano ndiyo itakayopitisha CHADEMA katika TANURU la moto.Hoja yako haijasimama na hujatueleza ni kwa namna gani umefikia hitimisho hilo.Usijenge hoja nje ya mantiki