CCM yatamba kuzoa majimbo, kata 2015

CCM yatamba kuzoa majimbo, kata 2015

Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.

Kwa nini iwe majimbo na si kata?Misuguano ndiyo itakayopitisha CHADEMA katika TANURU la moto.Hoja yako haijasimama na hujatueleza ni kwa namna gani umefikia hitimisho hilo.Usijenge hoja nje ya mantiki
 
Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.

nakubali kuwa kitapoteza baadhi ya majimbo wanayoyashikilia kwa sasa,but am also sure kuwa wataongeza majimbo mengine mengi ambayo yapo chini ya ccm kwa sasa.fact
 
Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.

Halafu kikishapoteza? Wewe gamba kinachokuuma ni nini? Acha unafiki nenda kwa Msomali ukachukue Ujira wako wa pesa za pembe za ndovu wetu sasa.
 
Kwa nini iwe majimbo na si kata?Misuguano ndiyo itakayopitisha CHADEMA katika TANURU la moto.Hoja yako haijasimama na hujatueleza ni kwa namna gani umefikia hitimisho hilo.Usijenge hoja nje ya mantiki

Ben saanane vipi mambo?
 
Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.

mm nafikiri gt kuna baadhi ya waleta mada humu wanahitaji kupimwa akili ili tujue kama ziko sawa au zimefyatuka ili wapate matibabu kabla hawajatufyeka na mapanga

mods angalieni hili, watu waletao umbeya muwafute/ wapigwe ban kabisa
 
Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.

kawadanganye watoto wanao anza kutembea, ukiwaambia hili watoto wa chekechea watakuona mpumbavu
 
Kuna majimbo ambayo ni ya wazi ka chadema yako kama 30 haya ni majimbo mapya kabisa.
1.Ukonga
2.Kibaha mjini
3.Siha
4.Moshi vijijini
5.Kilombero
6.Kisarawe
7.Mkuranga
8.Moro mjini
9.Tarime
10.Arumeru magharibi
11.Simanjiro
12.Babati mjini
13.Babati vijijini
14.Sumbawanga
15.Kwa mama makinda sababu hagombei
16.Muheza
17.Kwa nchemba hapa dr kitila ana nafasi
18.Mwanga
19.Same mashariki
20.Same magharibi
21.Kagera mjini lwakatare pale
22.Kigoma kusini
23.Kigoma mjini
24.Igunga
25.Mtawara kuna majimbo mawili yako wazi lile la cuf na moja jingine
26.Peramiho kwa jenista
27.Kinondoni
28.Shiyanga mjini
29.Mbeya vijijini
30.Mbozi moja
 
Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.

tafuta kazi ya kufanya kipofu siyo yule asiyeona tu au kiziwi siyo yule asiye sikia tu kuna vipofu/viziwi wa aina nyingi sana,POLE
 
Kuna majimbo ambayo ni ya wazi ka chadema yako kama 30 haya ni majimbo mapya kabisa.
1.Ukonga
2.Kibaha mjini
3.Siha
4.Moshi vijijini
5.Kilombero
6.Kisarawe
7.Mkuranga
8.Moro mjini
9.Tarime
10.Arumeru magharibi
11.Simanjiro
12.Babati mjini
13.Babati vijijini
14.Sumbawanga
15.Kwa mama makinda sababu hagombei
16.Muheza
17.Kwa nchemba hapa dr kitila ana nafasi
18.Mwanga
19.Same mashariki
20.Same magharibi
21.Kagera mjini lwakatare pale
22.Kigoma kusini
23.Kigoma mjini
24.Igunga
25.Mtawara kuna majimbo mawili yako wazi lile la cuf na moja jingine
26.Peramiho kwa jenista
27.Kinondoni
28.Shiyanga mjini
29.Mbeya vijijini
30.Mbozi moja

Ni mpumbavu pekee ambaye anaweza kukubaliana na wewe ulichoandika.
 
nyiny mnaopinga hili shaur zenu ndo mana mi nasemaga wanachama wa CDM wamepewa unga wa ndere. Subirin muone
 
kwa nini iwe majimbo na si kata?misuguano ndiyo itakayopitisha chadema katika tanuru la moto.hoja yako haijasimama na hujatueleza ni kwa namna gani umefikia hitimisho hilo.usijenge hoja nje ya mantiki

atakaye tetea jimbo lake ni mbowe na zito tu...mengine yote yanarudi ccm..ukweli majimbo mengine cdm walishinda kutokana na misuguano ndani ya ccm..sasa ccm iko level iyane iyena 2015....
 
mm nafikiri gt kuna baadhi ya waleta mada humu wanahitaji kupimwa akili ili tujue kama ziko sawa au zimefyatuka ili wapate matibabu kabla hawajatufyeka na mapanga

mods angalieni hili, watu waletao umbeya muwafute/ wapigwe ban kabisa

nadhani wewe umepewa unga wa ndere ..huon wala husikii.. shauri yako
 
Ni mpumbavu pekee ambaye anaweza kukubaliana na wewe ulichoandika.
Ritz,mkiendelea na ubishi wa aina hiyo majimbo ya Mtwara utayakuta kwenye orodha hiyo yameongezwa.Nikufanya kazi kwa bidii na kuacha ufisadi pekee ndio tiba ya kuiponya CCM isipoteze viti.Ila haya ya kuwapa vyeo wauza pembe za ndovu Na mnajifanya Hamuoni wakati watu wanaona!haya
 
ni mpumbavu pekee ambaye anaweza kukubaliana na wewe ulichoandika.

wanawaza kuzaa wakati uzazi hawana.... Ni zitto na mbowe ndio ambao watatea majimbo yao.
 
Wana jamvi ni ukweli usiopingika kwamba chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitapoteza majimbo mengi kiliyoyapata 2010 kutokana na misuguano ndani y chama hiko ambayo inazidi kukibomoa chama hiko.

we chiz kweli hiyo kweli yako isiyopingika changanya na za wafuasi wako kama 1000=ujinga!
Njoo Musoma,Ar,Tb uone sisiem wanavyohaha na kupelekewa moto! Halafu ndio urudi na matamko yako! Uongee ukweli ,sawa kijana?
 
Back
Top Bottom