CCM yatamba kuzoa majimbo, kata 2015

CCM yatamba kuzoa majimbo, kata 2015

Naona leo C.T.U umeamka na mada moja tu kichwani mwako ya chadema kupoteza majimbo. Propaganda zenu za kitoto nenden lumumba mkajipange tena.
 
Majanikv,
Hakuna hoja hapo ulichofanya umeweka hiyo orodha ambayo umeipenda. Kumbuka Chadema majimbo kama ya Kawe, Ubungo, Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, na mingineyo lazima watayapoteza.

Sasa mbona na wewe umeweka orodha ambayo umeipenda?

Nakala: Majanikv, etc.

TUMBIRI (Upanga, Dar es Salaam - Tanzania),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:
onyesha na dhibitisha una akili timamu kwa kutochagua magamba 2015.

ufisadi umeshughulikiwa mf EPA,MEREMETA,KAGODA,TANGOLD na mengineyo? Wamejivua magamba kama nape alivyo tueleza? Je wizi wameacha? Mwigulu anaona swala la utofauti ulioleta mgawanyiko vingine haoni! Nawaambia kwa hali huku chini tulizonazo! Tulikosea sn kuiweka sisiem madarakani na majimbo hayatarudi bali yataongezeka!
 
Hata mkisema vipi. Mwigulu ni kichwa sana na ni mwiba mkali sana unaochoma upinzani hasa CDM. Mwigulu amejitahidi kujibu hoja za wapinzani kwa umakini mkubwa sana. Nampongeza Mwigulu na kumhakikishia kuwa sisi vijana tuko pamoja naye.
CCM, Mwigulu na serikali wajibu hali ya maisha ya Watz hapo watakuwa wamefanya la maana sana
 
Propaganda za kitoto na hoja dhaifu,ugomvi baina yenu katika majimbo na kata unahusiana nini na kushindwa ku deliver kwa wananchi Watanzania wakati c.c.m ndio imeshka dola??hoja zako dhaifu na porojo hizo peleka kwa wana c.c.m wenzako wasio na uwezo hata wa kupambanua jambo dogo,majority ya Watanzania imeamka sasa,uelewa unawaingia,mfano mzuri ni Mtwara jana!believe me c.c.m itapoteza majimbo mengi zaidi 2015 na hata kama zitatokea chaguzi ndogo kama Igunga,Sumbawanga,Ifakara na Monduli,majibu mtayoyapata ndio yatareflect chaguzi ya 2015
 
Majanikv,
Hakuna hoja hapo ulichofanya umeweka hiyo orodha ambayo umeipenda.

Kumbuka Chadema majimbo kama ya Kawe, Ubungo, Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, na mingineyo lazima watayapoteza.

Ritz tatizo unasukumwa na ushabiki wa chama kuliko uhalisia wakati ukweli wa mambo unaujua!kisa ni kua tu ndugu yangu fulani ni mtu fulani ndani ya c.c.m,kwa Kawe,Nyamagana na Ubungo ilo jambo sahau ni sawa na kujiaminisha kua unaweza kukausha bahari kwa kuyanywa maji yote ya bahari.
 
Last edited by a moderator:
Hata mkisema vipi. Mwigulu ni kichwa sana na ni mwiba mkali sana unaochoma upinzani hasa CDM. Mwigulu amejitahidi kujibu hoja za wapinzani kwa umakini mkubwa sana. Nampongeza Mwigulu na kumhakikishia kuwa sisi vijana tuko pamoja naye.

Kama ni kichwa basi kinaumwa vibaya. Singida kaifanyia nini mkoa hata king'amuzi haijafika. Singida ni mkoa wa mwisho katika listi ya mikoa maskini. Hana ushuhuda wa ukweli. Ajiandae kupoteza jimbo lake.
 
Ni kweli tutashinda uchaguzi mkuu kwasababu hizi.
1.tumepata wahitimu weengi vyuo vikuu ajira hakuna na tumewaambia wajiajiri tu bila hata mtaji wowote.
2.tumejenga shule nyingi za sekondari bt wanafunzi hawajui kusoma wala kuandika,walimu hakuna,vitendea kazi hakuna.
3.graduate wajiajiri kwani watoto wetu wao wanasoma nje na wakirudi tu,tunawapa kazi maofs nyeti kama TPA,TRA etc,ila wengine mjiajiri tu jamani.
4.tutamtumia Zitto kuhakiksha CHADEMA hapakaliki ili Dr.slaa asigombee.
CCM OYEEEE ONGEZENI MENGINE MAKADA WENZANGU WA MAGAMBA.
 
2015 hakuna tena uchaguzi kila kabila litarejeshewa utawala wake wa jadi yaani mazumbe machifu na watemi ili kila kabila na koo isimamie rasilimali zake. Mambo ya katiba mpya.
 
2015 hakuna tena uchaguzi kila kabila litarejeshewa utawala wake wa jadi yaani mazumbe machifu na watemi ili kila kabila na koo isimamie rasilimali zake. Mambo ya katiba mpya.

hili nalo neno kuliko ccm warudi 2015 ni bora iwe hivyo au 2gawane nchi mi kwetu kanda ya ziwa kwa wazee wa kazi tutaanzsha jamhuri yetu ole wao mafsad na matoto yao yalete pua ni kubhapeja bhuke,bla kusahau kina mura tutakuwa nao ktaeleweka.
 
hili nalo neno kuliko ccm warudi 2015 ni bora iwe hivyo au 2gawane nchi mi kwetu kanda ya ziwa kwa wazee wa kazi tutaanzsha jamhuri yetu ole wao mafsad na matoto yao yalete pua ni kubhapeja bhuke,bla kusahau kina mura tutakuwa nao ktaeleweka.

Hivi kule kwenu ni nyamwezi land au sukuma land lakini nyie hamkupata uhuru kama zenji. Wenzetu wanajengewa bandari na wengine wanataka The Republic of Ntwarazone.
 
Ni kweli tutashinda uchaguzi mkuu kwasababu hizi.
1.tumepata wahitimu weengi vyuo vikuu ajira hakuna na tumewaambia wajiajiri tu bila hata mtaji wowote.
2.tumejenga shule nyingi za sekondari bt wanafunzi hawajui kusoma wala kuandika,walimu hakuna,vitendea kazi hakuna.
3.graduate wajiajiri kwani watoto wetu wao wanasoma nje na wakirudi tu,tunawapa kazi maofs nyeti kama TPA,TRA etc,ila wengine mjiajiri tu jamani.
4.tutamtumia Zitto kuhakiksha CHADEMA hapakaliki ili Dr.slaa asigombee.
CCM OYEEEE ONGEZENI MENGINE MAKADA WENZANGU WA MAGAMBA.

Hongera chalii
 
Wanajanvi heshima kwenu wakuu!!

Ni kweli mkuu hope1985, sababu za kutufanya CCM tushinde ni nyingi sana, kwa mfano;

  1. Tunatekeleza ilani ya uchaguzi ya chama chetu kwa kuhubiri matusi kwa kuyatumia mavuvuzela yetu (Nape na Mwigulu).
  2. Tumewaingiza watanzania kwenye Richmond mpya ya Ving'amuzi.
  3. Tunasafirisha twiga hai kwenda uarabuni.
  4. Tumeondoa tatizo la hesabu shule za msingi kwa kutunga maswali ya multiple choice.
  5. Tume wahakikishia wananchi wetu Tembo wetu watakuwa salama chini ya usimamizi wa Jangili mzoefu Kinana.

Wanajanvi tuendelee kuchangia kwa kuonyesha mafanikio ya chama chetu.
 
Hivi kule kwenu ni nyamwezi land au sukuma land lakini nyie hamkupata uhuru kama zenji. Wenzetu wanajengewa bandari na wengine wanataka The Republic of Ntwarazone.
Mbona Sudani ya Kusini imepata Republic yao! Hakuna cha ajabu duniani.
 
Ni kweli tutashinda uchaguzi mkuu kwasababu hizi.
1.tumepata wahitimu weengi vyuo vikuu ajira hakuna na tumewaambia wajiajiri tu bila hata mtaji wowote.
2.tumejenga shule nyingi za sekondari bt wanafunzi hawajui kusoma wala kuandika,walimu hakuna,vitendea kazi hakuna.
3.graduate wajiajiri kwani watoto wetu wao wanasoma nje na wakirudi tu,tunawapa kazi maofs nyeti kama TPA,TRA etc,ila wengine mjiajiri tu jamani.
4.tutamtumia Zitto kuhakiksha CHADEMA hapakaliki ili Dr.slaa asigombee.
CCM OYEEEE ONGEZENI MENGINE MAKADA WENZANGU WA MAGAMBA.


ha ha haa!

CCM wakishindwa mwaka 2015 mimi nitawalaumu CHADEMA hasa hasa kwa kauli yao ati "NCHI HAITOTAWALIKA" ona sasa nchi inavyokuwa ngumu kutawalika, matokeo yake ilani ya CCM ya 2010 inashindikana kutekelezeka.
 
kama hata vitongoji huko Urambo wanashindwa kwenye ngome zao watawezaje kata? labda kama ccm ndo inapiga kura na si umma
 
Poleni sana Mwigulu na Masalia !!

Mlisema, CHADEMA ni chama cha msimu, inakuweje kinawatesa hadi kukikalia vikao usiku wa manane?

Nyie endeleeni na vikao, sie twazidi ichakaza CCM na M4C, Kama huamini karibu hapa Iringa ukatize na T-shirt yako ya CCM kisha uangalie kitakacho kukuta.

Ushauri wangu wa bure kwa magamba " Jiandaeni psychologically kuwa wapinzani ifikapo 2015".
 
Inawezekana akawa na hali mbaya jimboni kwake lakini jamaa ni kichwa
inawezekana ni kichwa lakini kichwa cha mguu wa tatu unaohang katikati ya miguu mingine miwili, kwani sifa yake kuu iliyotukuka ni kuchukua wake za watu. obvious ni kichwa
 
Back
Top Bottom