Ndoa JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 1,033 Reaction score 254 Jan 5, 2013 #81 Hata kwa kuchakachua kura hawapati ushindi. Vyama vikongwe na fikra zao kongwe zisizo na mashiko vijana wa leo wamevichoka kama alivyochokwa Gadafi.
Hata kwa kuchakachua kura hawapati ushindi. Vyama vikongwe na fikra zao kongwe zisizo na mashiko vijana wa leo wamevichoka kama alivyochokwa Gadafi.
E elementary Member Joined Jan 19, 2012 Posts 36 Reaction score 3 Jan 5, 2013 #82 aaaaah! kumbe ni Mwigulu basi sawa.