Wapuuzi sana eti bango lilibebwa na mwananchi wakati ni mwanachama wao,waliliandaa wao wenyewe kwa utashi wao wa kiubaguzi waache kujitetea hapaNo way.....kuweni specific.Bango halikubebwa na Mwanachi mmoja bali lilibebwa na Mwanachama wa CCM akiwa mbele akiongoza wengine huku akiwa amevaa sare za ccm.Kwani kabla ya kuanza maandamano hawakukaguwa mabango au kila mtu alikuwa anaandika atakavyo...????hapo inaonesha wako dis organized....SHAME.....SHAME....SHAME...hii ni dhambi mbaya saana na itawatafuna milele.Mzee Karume muasisi wa mapinduzi aliowa Muarabu wakajaaliwa watoto machotara sasa leo anatukanwa.NO.....NO....NO.
apa kwa wenye akili timamu wanapata jibu kuwa hata hayo mazungunzo yanayoendelea ccm wanamchukulia maalim seif kwa mtazamo wa hilo bango.Huyo ni mwananchi wa kawaida au ni vijana wa CCM ambao wako kwenye maandamano kabisa na askari wapo.
Acheni kufanya watu wote wana akili kama zenu.
Ndio ukweli serikali haikuwa serious muda woteh
apa kwa wenye akili timamu wanapata jibu kuwa hata hayo mazungunzo yanayoendelea ccm wanamchukulia maalim seif kwa mtazamo wa hilo bango.
TAARIFA KWA UMMA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye moja ya Bango lililobebwa na mmoja wa wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya Sherehe za Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaomba radhi kwa ujumbe huo, kinapinga na kinakemea kabisa fikra, hisia na mitazamo yoyote yenye maudhui ya kibaguzi.
Ujumbe huo sio tu kuwa una maudhui ya kibaguzi bali pia unaenda kinyume kabisa na falsafa na Shabaha ya waasisi wa Mapinduzi hayo Matukufu ya mwaka 1964 na unapingana na misingi na itikadi ya CCM inayohimiza Umoja na Mshikamano wa Kitaifa.
Daniel Chongolo
Mkuu wa Mawasiliano na Umma CCM.
12/01/2016
View attachment 316495
nini wabunge na mawaziri wahindi, hata Marekani ina Rais mweusi lakini ubaguzi dhidi ya mweusi upo.Tz baada ya uhuru na hata muungano pamekuwa na Mawaziri na wabunge: wazungu, wahindi, waarabu etc kwa vile ni watanzania. Kigezo/Sifa ni uraia na sio rangi ya bendera. Pole sana kwani taifa letu lapoteza mwelekeo.
Ubaguzi huwa ni jambo baya sanaHii sera ya ubaguzi ipo na ilianza kuota mizizi hadi sasa .kama mnakumbuka dk. SALIM AHMED SALIM alipotaka kugombea uraisi wa tanzania ,wajumbe kutoka zanzibar walimpinga walisema ni muarabu na akatoswa .na wala hawakuulizwa kama huo ulikua ni ubaguzi .lakini marekani wazungu walimchagua obama muafrica .hii kuomba radhi ni unafiki uliotukuka .
hii reply ya huyu mwamba naipa hadhi ya nyota tano kabisa! Kumbe sio mimi tu nnaewaona wanaccm kama wadudu flan nzi wa kijaniW
Wapuuzi sana eti bango lilibebwa na mwananchi wakati ni mwanachama wao,waliliandaa wao wenyewe kwa utashi wao wa kiubaguzi waache kujitetea hapa